Kuwa na wapenzi wengi, ni ujanja ama ushamba?

Kuwa na wapenzi wengi, ni ujanja ama ushamba?

Kuwa na wapenzi wengi,ni ujanja ama ushamba?
Unakuta binti ana wanaume lukuki, kila mmoja anapangiwa muda wake na mbaya zaidi unakuta hawafahamiani. Hivyo hivyo kwa wanaume pia, wanakuwa na mabinti (wanawake) wengi leo Ashura, kesho Mwanaidi, kesho kutwa Merry n.k Je huu ni ujanja ama ni ushamba tu?
Kwahio ili isiwe mbaya zaidi inabidi hao wanaume Wafahamiane?? Sijaona sababu ya Wewe kusema eti "mbaya zaidi hawafahamian" ulitaka wafahamiane ili iweje sasa?? [emoji848][emoji848][emoji848]

Siwatetei wadada ila Uzi waki Ndezi Huu... Una lain Nne mitandao tofauti kwaajili Ya nini labda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio ili isiwe mbaya zaidi inabidi hao wanaume Wafahamiane?? Sijaona sababu ya Wewe kusema eti "mbaya zaidi hawafahamian" ulitaka wafahamiane ili iweje sasa?? [emoji848][emoji848][emoji848]

Siwatetei wadada ila Uzi waki Ndezi Huu... Una lain Nne mitandao tofauti kwaajili Ya nini labda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuja kujitetea
 
Ni ujanja

1. uyu akiwa period unaenda kule, uyu akizingua unaenda kule

2. uyu anapiga mguu mmoja, yule yote miwili,

3. uyu ni milf, anakuhonga, yule ni teen unamhonga

subiri wengine wajazie
 
Alafu mwisho wa siku inakuwaje?
mwisho wa siku mtu anapata alichokua anakitafuta mkuu, akikosa basi atajifunza. mfano "jane" ni binti mkali sana, ila sijui ana ladha gan!? je na kitandan ni mkali!? anajua mambo huyu!?. japo nna mpenzi wangu "lilian" wacha nimuonje "jane" . ukishaonja ndo utajua nn hatima yake!.
 
hahahhaha mkuu huo sio ushamba,... vipi kama huyo ulie kua nae akikuruhusu uwe na mtu mwingine kwa hiyari yake utaweza kukataa...??? .. inaonekana huwa akikubana kidogo hii namba n ya nani huwa unafunguka ukweli kila kitu .....

Hahahaha me nikiwa na man ninayempenda wengine naona kama wanawake wenzangu tu yan hata nikitongozwa full kumwambia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ha ha ha ha hutaki kutangulia mbinguni?

Mbinguni wote tutarejea lakini angalau uwe umefanya kitu ambacho baadae mwanao atasema baba/mama alifanya hichi apumzike kwa Amani sasa nikifa hata 40 sijafikisha tena kwa kufa kizembe kuna sababu gani ya kuzaliwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom