Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama una kipato kiasi, na una ndoto ya kuja kumiliki kiwanda cha ukubwa wowote lakini hujui pa kuanzia; Jaribu kutembelea mitandao mbalimbali inayouza mashine, unaweza kuanza na alibaba na mingineyo. Kutazama tu mashine zilizopo, kuna wazo litakujia ufanye nini. Ila ukitazama bidhaa, unaweza kujikuta wewe ni mnunuzi wa bidhaa mpaka mwisho wa uhai wako.
Nb: Kama una uwezo wa kukopa benki laki mpaka mamilioni kwa jili ya kununua vitu vya anasa; kwanini usitumie fedha hizo kununua mashine/mitambo?
Nb: Kama una uwezo wa kukopa benki laki mpaka mamilioni kwa jili ya kununua vitu vya anasa; kwanini usitumie fedha hizo kununua mashine/mitambo?