Kuwa sehemu ya historia ya katiba mpya kwa kuweka maoni yako hapa

Kuwa sehemu ya historia ya katiba mpya kwa kuweka maoni yako hapa

Wakuu heshima kwenu!
yakwangu machache ni haya
1. Serikali moja
2. Mamlaka ya kikanda.
3. Kumuondoa DC abaki mbunge ambaye pia atakuwa ni mwenyekiti wa halmashauri
4. Kuondoa kinga ya Rais kuto kushitakiwa
5. Kuondoa nguvu ya Rais kuteua kila nyadhifa na kumuachia baadhi tuu
Eg. Asiteue majaji
sita japo si kwa umuhimu, katiba iwe ndogo kama ya marekani. Katiba ya marekani ina ibara Saba. Yenye vitu imara na vya msingi. Tusiwe na limsahafu kama la walioba linataja mpaka mbolea, ambalo ni kama katiba ya India yenye ibara mia nne na kitu huko. Hii husababisha kuto kuwa na msimamo wa kisheria. Nitie neno kidogo kwenye Tume ya uchaguzi, kama tutaweza kuwa na mahakama huru, ambayo majaji wanapanda vyeo kwa mifumo yao na ubora wao, basi ifikapo uchaguzi suala la uchaguzi liratibiwe na tume ambayo itakuwa sehemu ya mahakama.
Mshana Jr Sky Eclat
Gwappo Mwakatobe
 
Wakuu heshima kwenu!
yakwangu machache ni haya
1. Serikali moja
2. Mamlaka ya kikanda.
3. Kumuondoa DC abaki mbunge ambaye pia atakuwa ni mwenyekiti wa halmashauri
4. Kuondoa kinga ya Rais kuto kushitakiwa
5. Kuondoa nguvu ya Rais kuteua kila nyadhifa na kumuachia baadhi tuu
Eg. Asiteue majaji
sita japo si kwa umuhimu, katiba iwe ndogo kama ya marekani. Katiba ya marekani ina ibara Saba. Yenye vitu imara na vya msingi. Tusiwe na limsahafu kama la walioba linataja mpaka mbolea, ambalo ni kama katiba ya India yenye ibara mia nne na kitu huko. Hii husababisha kuto kuwa na msimamo wa kisheria. Nitie neno kidogo kwenye Tume ya uchaguzi, kama tutaweza kuwa na mahakama huru, ambayo majaji wanapanda vyeo kwa mifumo yao na ubora wao, basi ifikapo uchaguzi suala la uchaguzi liratibiwe na tume ambayo itakuwa sehemu ya mahakama.
Mshana Jr Sky Eclat
Gwappo Mwakatobe
sita japo si kwa umuhimu, katiba iwe ndogo kama ya marekani. Katiba ya marekani ina ibara Saba. Yenye vitu imara na vya msingi. Tusiwe na limsahafu kama la walioba linataja mpaka mbolea[emoji1545][emoji1]
 
2. Wabunge wawe ni wanataaluma waliobobea kwenye taaluma mbali mbali..na vikao vya bunge vizingatie mahitaji ya lazima ya taifa kama kipaumbele

4. Mishahara na marupurupu ya wabunge visiwe tofauti na mapato ya wanataaluma kama walimu, mabwana afya shamba nk[/QUOTE]

5. Mbunge ahudum vipindi visivyo zidi 3.

6. Endapo 4 itazingatiwa majimbo ya uchaguzi yabaki kama yalivyo
 
Madaraka ya Raisi ni makubwa katiba tuliyo nayo inamfanya Raisi kuwa Mungu.
Tupunguze Madara ya Raisi na akiboronga Mambo kwenye utawala wake awajibike.

Tuwe na katiba ambayo Kila mtu yupo chini ya sheria kuepusha haya tunayoyaona Sasa.
Sipingani nawewe, lakini kwa viongozi Hawa waoga na wanafiki , unaona itatufaa kuwa ongezea madaraka?
 
2. Wabunge wawe ni wanataaluma waliobobea kwenye taaluma mbali mbali..na vikao vya bunge vizingatie mahitaji ya lazima ya taifa kama kipaumbele

4. Mishahara na marupurupu ya wabunge visiwe tofauti na mapato ya wanataaluma kama walimu, mabwana afya shamba nk

5. Mbunge ahudum vipindi visivyo zidi 3.

6. Endapo 4 itazingatiwa majimbo ya uchaguzi yabaki kama yalivyo[/QUOTE][emoji1545][emoji1534][emoji817][emoji818]
 
1:ikitokea rais amefariki uchaguzi ufanyike tena.
2: kuwe na serikali 3 Tanganyika irudi
3:kuwe na wagombea binafsi wasiotokana na vyama.


Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Katiba mpya yaja na hili sio jambo geni wala la kubahatisha tena. Tumetoka mbali na tumepitia mengi mabaya na mazuri ya kushangaza na ya kuleta matumaini pia. MOJA LILILO WAZI ni kwamba KATIBA MPYA haizuiliki tena!

Jamii Forums ni mtandao tegemewa kwa mengi hapa Tanzania hasa linapokuja suala la mawazo mbadala yenye tija na chanzo kikubwa cha habari za kuaminika na kujenga.

Mawazo na makala nyingi za katiba mpya aina vinapitia hapa ama vinaanzia hapa
Viongozi wengi serikalini ni watumiaji wakubwa wa huu mtandao wa JF
Vyama vya kijamii, wananchi, waandishi mbalimbali, na watu wengine wote wa kaliba zote ni watumiaji mahiri wa JF

Kwa maana hiyo basi tunapoingia kwenye mchakato muhimu wa katiba mpya, Jamii Forums kupitia wewe inaweza kutoa mchango muhimu na mkubwa kwenye kupata katiba mpya Tanzania

Kuwa sehemu ya historia tukuka! Weka wazo/mawazo yako sasa kuhusu katiba mpya. Kumbuka kati ya mengi tutakayoyaandika hapa machache yataingia kwenye katiba mpya. Historia itakukumbuka, historia itatukumbuka. Jamii Forums itakumbukwa!

Unawaza nini kuhusu katiba mpya? Karibu sasa kama mzalendo na mhitaji wa katiba mpya kwa manufaa yetu sote na vizazi vyetu vijavyo!

Karibuni kwa furaha na moyo wa kujitoa kushiriki hili[emoji1545]

View attachment 2086468
Kila chama cha siasa kiwe na Jeshi lake.
 
Back
Top Bottom