Kuwaambia watu kuwa “wameota mikia” ni dharau kubwa

Kuwaambia watu kuwa “wameota mikia” ni dharau kubwa

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
 
Kuna wale waliambiwa ng'ombe wenye mikia iliyokatwa!
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
Gadafi aliwatukana watu wake Mende.
Akawaulize wale askari ni nani aliyemuua kama si walewale aliokuwa anawaamini kuwa watamkingia kifua.
 
Gadafi aliwatukana watu wake Mende.
Akawaulize wale askari ni nani aliyemuua kama si walewale aliokuwa anawaamini kuwa watamkingia kifua.
Gadafi aliwindwa na nchi za magharibi, hakuna kosa kubwa viongozi wa Afrika walifanya kama kutosimama na Gadafi!
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
Mama Dullah ni mtukanaji mzuri tu
 
Gadafi aliwindwa na nchi za magharibi, hakuna kosa kubwa viongozi wa Afrika walifanya kama kutosimama na Gadafi!
Ndio maana tunasema kama watu wa magharibi walifanya kwa Gadafi hata sasa bado wapo.
Aliwaonyesha kiburi sana na vijembe hao watu wa magharibi.
Kwani haukusikia vijembe vilivyotumwa kwao kwa hotuba ile?
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
Umeota mkia eeh?
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
Ikibidi waambiwe tu hakuna kuchekeana!
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
ndivyo ukweli ulivyo Lazima ulete tafsiri kama hiyo but hata hivyo ukweli unabaki ukweli kama ulivyo,

na nikweli kabisa kuna mikia na mapembe vimewaota baadhi ya viongozi wa kisiasa humu nchini 🐒
 
ndivyo ukweli ulivyo Lazima ulete tafsiri kama hiyo but hata hivyo ukweli unabaki ukweli kama ulivyo,

na nikweli kabisa kuna mikia na mapembe vimewaota baadhi ya viongozi wa kisiasa humu nchini 🐒
Samia ndio ameota mkia mrefu zaidi.
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.


Ni kwamba atawakata mikia
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
The hate speech.

Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
Viongozi wa siasa wanapaswa kuwa makini na kauli wanazotoa wawapo majukwaani. Malumbano ya kisiasa hayapaswi kutawaliwa na jazba au mihemko kwa namna yoyote kwani kufanya hivyo kwaweza kuleta kutoelewana kwa pande mbili.

Kiongozi hawezi kuwa sawa kwa mfano kwa kuwaambia wengine kuwa wameota mikia! Kauli hii imebeba dharau na kiburi na haipaswi kutolewa na kiongozi yeyote wa Umma.
Nani kasema hilo?
 
kwani waliokatwa mikia si wako huko huko CCM, Maana yake mikia imeotea huko huko wameanza kusumbua au ikoje, maana yake akina kafulila waliotoka upinzani wakati ule ndo walikatwa mikia
 
Stahmilini enyi wenye mikia. 2025 atarudi visiwani kuvuna karafuu.

Ndani humo humo washampangia replacement yake bila hata ya yeye mwenyewe kujua. Itapigwa tiktaka dakika ya 90 unexepectedly.
 
Gadafi aliwindwa na nchi za magharibi, hakuna kosa kubwa viongozi wa Afrika walifanya kama kutosimama na Gadafi!
Nikweli viongozi wa Afrika walimtelekeza Gaddafi, wamarekani na washirika wake baada ya kumung'oa Saddam Hussein walielekea kwa Gaddafi, wakati ule smart phone 📱 zilikuwa bado hazijatufikia huduma ya internet hadi uende internet cafe
 
kwani waliokatwa mikia si wako huko huko CCM, Maana yake mikia imeotea huko huko wameanza kusumbua au ikoje, maana yake akina kafulila waliotoka upinzani wakati ule ndo walikatwa mikia
Hawa itakuwa niniliu hadi mtoto bembea muda wote
 
Back
Top Bottom