Kuwabagua waliosoma private mikopo elimu ya juu kunaenda kuigharimu Serikali

Kuwabagua waliosoma private mikopo elimu ya juu kunaenda kuigharimu Serikali

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Iko hivi. Kama ulisoma O-Level na Alevel au moja wapo private basi kupata mkopo toka Loarn board ni shida. Private secondary school zilikua zinasaidia kupunguza mzigo wa kuendsha elimu kwa serikali. The same vyuo vikuu.

Ujue serikali inafadhiri shule zake kwa idadi ya wanafunzi shuleni. Wazazi wenye uwezo wa wastani amba ndo the majority Tanzanians , taraatibu wameanza kuacha watoto wasome tu hizo shule za serikali ili Kuwa karibu na uwezekano wa kupata mikopo mda ule wa kujoin vyuo. Na hiI nikwasababu wengi wa wanafunzi wanao kosa mkopo nakushindwa kuendelea na elimu ya juu wale waliosoma private.

Tuelewane kidogo hapa. Kama learn board wanadai wazazi wa hawa watoto wanauwezo, nikwanini wanaacha vyuo na kurudi nyumbani? Jibu ni kwamba, to majority of the midle income Tanzanians elimu ya chuokikuu ni expensive.

Secondary ukilipa ada na michango say jumla ya million mbili na nusu kwa mwaka mtoto atasoma atakula nakulala. University za serikali mfano. Ada na michango kwa mwaka million mbili. Kula na accommodation, stationery can amount to million mbili na nusa.

Ole wako mtoto achaguliwe private sasa. ada inaweza Kuwa 5million kwa mwaka. Michango milioni moja per year.

Meal, acmmodation, stationary 2.5million. Mtu kipato cha kati hatomudu na mtoto atarudi nyumbani.

Kuepuka hili kuna taarifa ya congestion kwenye shule secondary za umma. Na bado maana kunahofu mtoto akisoma private secondary school hakopesheki.
 
Chuo miaka mitatu, O-Level na A-Level miaka 6.

Kwahiyo mzazi unamudu vizuri tu.

Mtoto kasoma s/msingi ada mil 2 kwa mwaka, o-level mil 2 kwa mwaka, a-level mil 2 kwa mwaka yaan kugharamia chuo mil , 4 kwa mwaka unaona unaonewa?

Besides ni mkopo, mtu unaomba unaweza ukapewa au ukanyimwa. Shida mnavoomba mnaweka as if kupewa ni lazima.
 
Chuo miaka mitatu, O-Level na A-Level miaka 6.

Kwahiyo mzazi unamudu vizuri tu.

Mtoto kasoma s/msingi ada mil 2 kwa mwaka, o-level mil 2 kwa mwaka, a-level mil 2 kwa mwaka yaan kugharamia chuo mil , 4 kwa mwaka unaona unaonewa?

Besides ni mkopo, mtu unaomba unaweza ukapewa au ukanyimwa. Shida mnavoomba mnaweka as if kupewa ni lazima.
Nyie ndio wale mliovimbewa
 
Chuo miaka mitatu, O-Level na A-Level miaka 6.

Kwahiyo mzazi unamudu vizuri tu.

Mtoto kasoma s/msingi ada mil 2 kwa mwaka, o-level mil 2 kwa mwaka, a-level mil 2 kwa mwaka yaan kugharamia chuo mil , 4 kwa mwaka unaona unaonewa?

Besides ni mkopo, mtu unaomba unaweza ukapewa au ukanyimwa. Shida mnavoomba mnaweka as if kupewa ni lazima.
Kama usemacho ndicho mbona wengi wao wanarudi nyumbani?
 
Chuo miaka mitatu, O-Level na A-Level miaka 6.

Kwahiyo mzazi unamudu vizuri tu.

Mtoto kasoma s/msingi ada mil 2 kwa mwaka, o-level mil 2 kwa mwaka, a-level mil 2 kwa mwaka yaan kugharamia chuo mil , 4 kwa mwaka unaona unaonewa?

Besides ni mkopo, mtu unaomba unaweza ukapewa au ukanyimwa. Shida mnavoomba mnaweka as if kupewa ni lazima.
sio kila siku mtu atakuwa na pesa
 
Mjue nyinyi watoto kuwa mzazi kumsomesha mtoto private, sio kuwa anä uwezo kivile. Walio wengi wamejinyima kwa kukopa kwenye SAcos na vikoba. Mkumbuke pia sio wakati wote mzazi útakūwa na pesa, ajira n.k . Pia kuna watoto wengine nao wanasoma kwa kipato hicho hicho. Kumsomesha mtoto přivate ni kuhairisha mambo mengine ya maEndeleo binafsi angalau mtoto apate elimu bora. Ikumbukwe kuwa kuwa na kiwango duni cha ubora wa elimu kwa shule za serikali ndio sababu ya wazaži ku opt private, sio uwezo. NILITEGEMEA serikali ingewapunguzia mzigo wazazi waliopeleka watoto private kwani ilikuwa ni jukumu la Serikali kuhakiķisha watoto wanapata elimu bora.
 
Hata kama ungekuwa HESLB ungempa priority nani?

1. Aliyesoma st kayumba kuanzia primary hadi advance?
2. Ama aliyesoma english medium kuanzia primary hadi advance?

Mbona loan board wako sahihi sioni cha kulalamika hapo?
Kuwa uýaone ndio utajua hujui. Wangetofautiana kwa % lakini sio kuwa disqualified
 
Chuo miaka mitatu, O-Level na A-Level miaka 6.

Kwahiyo mzazi unamudu vizuri tu.

Mtoto kasoma s/msingi ada mil 2 kwa mwaka, o-level mil 2 kwa mwaka, a-level mil 2 kwa mwaka yaan kugharamia chuo mil , 4 kwa mwaka unaona unaonewa?

Besides ni mkopo, mtu unaomba unaweza ukapewa au ukanyimwa. Shida mnavoomba mnaweka as if kupewa ni lazima.
Bro/ Sister huo mtazamo wako sio sahihi kabisa katika maisha halisi ya mwanafunzi elimu ya juu.
 
Hata kama ungekuwa HESLB ungempa priority nani?

1. Aliyesoma st kayumba kuanzia primary hadi advance?
2. Ama aliyesoma english medium kuanzia primary hadi advance?

Mbona loan board wako sahihi sioni cha kulalamika hapo?
Hujui gharama za kimaisha na kimasomo elimu ya juu, Board itafute vigezo vingine, sio kama hivyo ulivyovitaja.
 
Back
Top Bottom