At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Sasa mtoa mada. Ulitaka st kayumba anyimwe alafu apewe wa Private.
Labda ungesemea tu kuwa loan na serikali waangalie namna ya kuongeza bajeti.
Japo inaumiza kukosa mkopo. Ila ni maumivu makali kwa alieasoma St Kayumba kukosa.
St Kayumba akikosa mkopo hata chuoni haendi. Achana na hio ya kukatisha masomo.
Labda ungesemea tu kuwa loan na serikali waangalie namna ya kuongeza bajeti.
Japo inaumiza kukosa mkopo. Ila ni maumivu makali kwa alieasoma St Kayumba kukosa.
St Kayumba akikosa mkopo hata chuoni haendi. Achana na hio ya kukatisha masomo.