Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nimekutana na hii mada kwenye platform moja ya wazungu.
Naomba kuwasilisha hapa ili nasisi tuijadili.
"Kuwachanganya wenye elimu na wasio na elimu kwa kazi siziso hitaji elimu ya darasani ndio kunafanya wasio na elimu waidharau elimu"
Wewe maoni yako ni yepi juu ya hili.
Naomba kuwasilisha hapa ili nasisi tuijadili.
"Kuwachanganya wenye elimu na wasio na elimu kwa kazi siziso hitaji elimu ya darasani ndio kunafanya wasio na elimu waidharau elimu"
Wewe maoni yako ni yepi juu ya hili.