Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Hv bakhresa na mo ni kabila gani..??

Nikiendaga kkoo wengi wafanyabiashara naonaga ni wachina,wahindi,wapemba na makabila mengne na wengne wachuuzi tu...hzo kabila mnazo ziongelea zpo wapi.

Hvi kabila linahusiana vipi na biashara pamoja na mafanikio ya mtu.....?

Fursa yoyote inahitajia ushirikiano,channels/connection,umakini na kujituma...
ukishatoka mhindi na mwarabu anafuata mchaga

Ngoja niweke karata yangu moja mezani

Bus karibu zote zinazoenda mikoa ya kaskazini na kaskazini kwenda nchi nzima wanamiliki wachaga wenyewe/watu wenye asili ya kule

Vingine watasema wengine
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, 😀 😀 Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
Wachagga siyo kabila!
 
Hv bakhresa na mo ni kabila gani..??

Nikiendaga kkoo wengi wafanyabiashara naonaga ni wachina,wahindi,wapemba na makabila mengne na wengne wachuuzi tu...hzo kabila mnazo ziongelea zpo wapi.

Hvi kabila linahusiana vipi na biashara pamoja na mafanikio ya mtu.....?

Fursa yoyote inahitajia ushirikiano,channels/connection,umakini na kujituma...
Wazenji ndo balaa kwa biashara nashangaa

Au labda wanasemea wale wenye maduka ya 400k.


Ila kwa majina maarufu na biashara kubwakubwa sijawahi kusikia mkinga au chagga napo alikuwepo mengi nae ni marehemu.
 
Sitakuwa biased na kabila lolote japo kabila langu limetajwa hapo juu,kibongo bongo mtu yeyote anaweza kufanya biashara ila kuna baadhi kila wanapofanikiwa ndo wanavyozidi kujiongezea matumizi,na hawa ndo hasa wanao-fail.nina jamaa yangu ana pikipiki yeye yupo nje ya mji akija Kariakoo kufungasha pikipiki anailipia parking (I mean anaipak zinakopaki gari wekeni tickets nitalipa) ikikaa masaa manne 2K mara wik&mwezi?jibu unalo!

Yupo mmoja alikuwa amepanga Mwembechai chumba na sebule alipoona ameinuka akaja kupanga town ghorofani upande mzima,mtu alikuwa anapanda bus anaacha anaingia kupanda Bodaboda mpaka kwao 6K asubuhi na jioni hatujui humu humu ndiko tunakopigana ma-gap,wewe unahama chumba na sebule 80K unakuja ghorofani 500K mimi nabaki chumba kimoja 40K nadunduliza nanunua kiwanja najenga nyumba naingia bank nachukua hela naji-boost nakuacha unagara gara ukisema ubishane na mimi kwamba na wewe ujenge ili ukakopee unatoa hela dukani unajengea mpaka mtaji unajiangusha unafunga biashara nyumba imeishia kwenye lintel unabaki huna mbele wala nyuma.

Mimi naamini kabisa wapo watu wameumbwa kufanya biashara na wapo walioumbwa kufanya mambo mengine na wote hao wapo ktk makabila yote so ni mtu kujitambua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaongea Mada za chuki na huna facts leo hii watu wa njombe wabena na wakinga Wana pesa na shule wapo wengi tu vizur changamoto yao huwezi kujua mambo yao ni kwa kuwa huendesha maisha kwa siri Sana hasa mambo yao. History ni wafanyabiashara wazur tokea zamani na hawana ujanja ujanja wa kifala. Hebu tuweke ligi tu Sasa hiv ndiyo makabila yenye nguvu kiuchumi

Huna unachojua Mkuu

Wewe unazungumzia shule ambazo kwa sasa kila jamii imepeleka watoto shule.
Mnapeleka watoto shule kipindi elimu ikiwa haina dili tena 😀 😀 😀

Ukitaka ujue nikisemacho sogea hapa Nairobi, Jobeg, Marekani utaelewaa vizuri,
 
Wazenji ndo balaa kwa biashara nashangaa

Au labda wanasemea wale wenye maduka ya 400k.


Ila kwa majina maarufu na biashara kubwakubwa sijawahi kusikia mkinga au chagga napo alikuwepo mengi nae ni marehemu.
Kwahyo kwako BM au Kidia one sio kubwa? Au tuseme Bus za Kilimanjaro sio kubwa? Ok
 
Sitakuwa biased na kabila lolote japo kabila langu limetajwa hapo juu,kibongo bongo mtu yeyote anaweza kufanya biashara ila kuna baadhi kila wanapofanikiwa ndo wanavyozidi kujiongezea matumizi.nina jamaa yangu ana pikipiki yeye yupo nje ya mji akija Kariakoo kufungasha pikipiki anailipia parking (I mean anaipak zinakopaki gari wekeni tickets nitalipa) ikikaa masaa manne 2K mara wik&mwezi?jibu unalo!

Yupo mmoja alikuwa amepanga Mwembechai chumba na sebule alipoona ameinuka akaja kupanga town ghorofani upande mzima,mtu alikuwa anapanda bus anaacha anaingia kupanda Bodaboda mpaka kwao 6K asubuhi na jioni hatujui humu humu ndiko tunamopigana ma-gap,wewe unahama chumba na sebule 80K unakuja ghorofani 500K mimi nabaki chumba kimoja nadunduliza nanunua kiwanja najenga nyumba naingia bank nachukua hela naji-boost nakuacha unagara gara ukisema ubishane na mimi kwamba na wewe ujenge ili ukakopee unatoa hela dukani unajengea mpaka mtaji unajiangusha unafunga biashara nyumba imeishia kwenye lintel unabaki huna mbele wala nyuma.

Mimi naamini kabisa wapo watu wameumbwa kufanya biashara na wapo walioumbwa kufanya mambo mengine na wote hao wapo ktk makabila yote so ni mtu kujitambua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli kabisa hata ukisoma Kozi ya ujasiriamali ngazi ya shahada wanakuambia biashara wakati mwingine inatokana na asili
Kidunia Wahindi ndio wanaongoza kwa biashara, kwa bongo ni wachaga, waha, wakinga
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, 😀 😀 Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
picha
 
Sitakuwa biased na kabila lolote japo kabila langu limetajwa hapo juu,kibongo bongo mtu yeyote anaweza kufanya biashara ila kuna baadhi kila wanapofanikiwa ndo wanavyozidi kujiongezea matumizi.nina jamaa yangu ana pikipiki yeye yupo nje ya mji akija Kariakoo kufungasha pikipiki anailipia parking (I mean anaipak zinakopaki gari wekeni tickets nitalipa) ikikaa masaa manne 2K mara wik&mwezi?jibu unalo!

Yupo mmoja alikuwa amepanga Mwembechai chumba na sebule alipoona ameinuka akaja kupanga town ghorofani upande mzima,mtu alikuwa anapanda bus anaacha anaingia kupanda Bodaboda mpaka kwao 6K asubuhi na jioni hatujui humu humu ndiko tunamopigana ma-gap,wewe unahama chumba na sebule 80K unakuja ghorofani 500K mimi nabaki chumba kimoja nadunduliza nanunua kiwanja najenga nyumba naingia bank nachukua hela naji-boost nakuacha unagara gara ukisema ubishane na mimi kwamba na wewe ujenge ili ukakopee unatoa hela dukani unajengea mpaka mtaji unajiangusha unafunga biashara nyumba imeishia kwenye lintel unabaki huna mbele wala nyuma.

Mimi naamini kabisa wapo watu wameumbwa kufanya biashara na wapo walioumbwa kufanya mambo mengine na wote hao wapo ktk makabila yote so ni mtu kujitambua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza
 
Back
Top Bottom