Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Ni swala la muda tu, hawa wakinga aisee ni wachache sana lakini kwa spidi wanayokuja nayo kiasi cha kuanzishiwa maada za kulinganishwa na wachaga basi ni dhahiri sio wa kubezwa.

Wakinga na wachaga wote nmekaa nao.

mkinga ni ushirikiano na matumizi kidogo sana

Wachaga ni ubepari na matumizi mengi sana hasa pombe ila mda wa kazi ni kazi haswa.

Kwa huku mbeya wakinga ni kama washaimeza kiuchumi.

kumbukeni tu, wakinga ni wachache sana, lakini kwa hii spidi, mhh, acha kabisa, wao hawana time na mambo ya ajira wao ni biashara kama biashara tu.

Wachaga naona salary hizi zimeanza kuwadumaza na kuacha utamaduni wao wa biashara kadri siku zinavyoenda.

Hapo dar tu naona kuna mkinga anatikisa sana na hizi nguo jina limenitoka, Jamaa wanakuja kwa kasi ya ajabu saizi wana kampuni yao ya kuagiza mizigo kutoka china na huko china ni wamejazana sana
 
huu uzi kuna chai nyingi sana

Wachaga gani wamevamia uchungaji kiasi cha kutikisa.

Viongozi nusu wameoa wachaga ulikwishawai ona wapi 😂😂
 
Hawajatembea wapi?

Matajiri wa nchi hii tunawajua wachaga, sasa wewe sijui umetembea wapi huko wasipowajua hao jamaa

Wachaga wanaongoza Karibu kila biashara kubwa uijuayo.

Media kubwa
Itv, EAtv, Capital yawachaga

Mtandao MKUBWA wa kijamii Afrika mashariki
Jamii Forum, ni Mhaya na mchaga

Makampuni ya Mabasi ya 30% ni wachaga

Kampuni za ndege mbili Fastjet na Precise airline wachaga

Mashule binafsi mengi ya wachaga

Benki karibia tatu zinamilikiwa na wachaga

Nusu ya makampuni ya utalii hapa nchini humilikiwa na wachaga

Makamouni ya kuagiza vipuri vya magari kama 7General mengi humilikiwa na wachaga

Huwajui vizuri hao watu kamuulize Babaako au wakuu wa nchi wakuambie.

Wachaga wanamiliki baadhi ya vyuo hapa nchini

Wachaga wanashule za kutosha mathalan Baobao High school, Dar prime high school, na SHULE kubwa maarufu jina kapuni.

Huwajuit
Embu polepole basi mkuu...

Kumbe ndo mlivyo so ata rais angekuwa mchaga mngeimilikisha Tanzania yetu iwe ya mchaga....ndo mana yule jamaa walimpiga ban

Embu njoo na facts kwa hvyo unavyovitaja....usije ukawa kama wale shabiki wa wasafi kusema wasafi media inamilikiwa na mond kumbe kuna mtu ana own majority shares.😃😅

Hivi na yule aliekuwa na kiwanda cha chibuku ni mchaga??😅😃
 
acheni mambo ya ukabila humu kawaulize wenzetu wakenya jirani na , wakikuyu na wajaruo yaliyo wakuta watu zaidi ya efu moja waliuwana shauri ya ukabila kila siku mada zenu zinawausisha wachaga tu. Msije mkajengeana chuki bure nendeni Rwanda watu zaidi ya milion moja waliuwawa acheni kuleta ujinga humu . Makabila hayawezi kuwa yote sawa , kuna wakulima , wengine wafungaji , wengine wajenzi, wengine wavuvi, wengine wafanya biashara, wengine wawindaji, wengine mafundi tu wa magari, wengine wezi na majambazi. wengine ni uchawi tu. makabila mengine wanapesa wanakula chakula cha hovyo, wanavaa hovyo, wengine wanawake wao una pesa . hakuna ndoa wala mapenzi . makabila hayawezi kufanya mengine mtoto akiingia na lori limejaa mali za wizi baba na mama na watoto wote wanaingiza ndani na kumpa pongezi kijana na kumuombea Mungu. wakati makabila mengine ukileta mali ya wizi nyumbani unakimbizwa na risasi na baba na mama, kama hana risasi anapiga simu police. tusiangalie utajiri au umasikini, kuangalie tunafuata amri za Mungu. wako wengi utajiri walio kuwa nao wameuacha duniani unaliwa na Mchwa. acheni ukabila , Mkumbuke, Bwana Mungu maana kuishi kwetu ni Neema ya Mungu , sio fedha wala majumba wala mabus wala Maduka maana hatujui siku wala saa. pia Mungu akikujalia uwe dini gani , au kabila gani neno la Mungu linasema tuwasaidi Masikini, Yatima na wajane na wasiojiweza na wagonjwa. kabila lako na utajiri wako hauwezi kukupeleka Mbinguni . tulitoka kwa udongo , mavumbini tutarudi. tutafute Mungu vyote tutazidishiwa kwa maana Neno la Mungu linasema fedha na dhahabu na vyote vilivyomo juu ya uso wa nchi ni Mali ya Bwana Mungu wetu. wenye masikio na asikie Neno hii . hata shetani ana Mali pia sio kila Mwenye Mali kapata mali kwa njia ya Mungu wengi wamepata kupitia njia zisizo halali. jiulize habari ya tajiri na lazaro.
 
😂😂😂 rafiki yangu usipende ukabila kabisa. Acha hivyo vitu sio vizuri.
Kila mmoja anaweza kusifia chake Kama ulivyofanya wewe, na sio gharama, halafu unasifia hadi tabia za kijinga kabisa.
Mada hii ungeweza kuweka kwa namna nyingine endapo lengo lako ni kuamsha watu wapambane kupata kwa maendeleo.
Ungeweza angalia watu wenye mafanikio na wamepitia njia gani.
Ukabila hauna maana ndugu, hausaidii kabisa.
Watu wenye maendeleo yanayoweza kushawishi wengine kupitia njia zao wapo wakubwa tu wengi, Tanzania na Africa ukipenda, tupate stori zao za maendeleo tuwaambie watu, sio eti wachaga wanaodanga, wachaga wana.....
Weka mada inayotoa njia kwa wote ili usaidie jamii ya Tanzania
 
Sijawahi kuona Mchaga mwenye biashara Makambako.. Kama yupo aje hapa Villa Park.
 
Kwa hiyo una advocate kwamba tupande mabasi kikabila let me hii ?? Kwa mantiki hii huamini kuwa chini ya kiongozi ambaye si kabila lako??
Akili yako inakutosha kuvuka barabara tu
 
Akili yako inakutosha kuvuka barabara tu
Maana ukienda sijui wapi unapanda basi au mnapanda mabasi ya watu wa kwenu nafikiri ukienda bar ni hivyo hivyo na wengine wakienda kwao wanapanda mabasi ya watu "wengine"
 
Kwa nini sisi waafrika tukianza kujadili mafanikio na matatizo ya familia ,koo,kabila watu wanabeza? Ina maana sisi waafrika baada ya miaka 300 historia yetu juu ya mafanikio itakuwa ya kukisia kuksia tu.Haya mambo lazima yajadiliwe yaandikwe kwa manufaa ya vizazi vijavyo Wenzetu wanadocument kila jambo lao why not us? Watu was sayansi ya hamii kaxime wafanye kaxi yao na viwepo vitabu,majarida yakiekezea maisha yetu.Historian no muhimu sana bika kujali in duni au on njema.Tuandike tuandike.
Mwenzenu kuna jambo nataka kudocument watu hawatamini, kinanichelewesha mambo hajatulia but I must survey and document the issue.Unajua ukidocument mafanikio na matatuzo ya familia koo kabila zetu unaweza uza ukawa milionea, maana hakuna aliefanya hilo.Tuamke.
 
mmmh! mkipunguza kidogo ulevi mtaanza kuwafikia wanyakyusa mm sio mnyakyusa ila kwa mambo ya baraka za mungu kibongo kibongo hao ndio frame of reference. Lakini kujilinganisha na waisrael ni mbingu na ardhi
Sio kujilinganisha mkuu, fuatilia katika history ilo liko wazi.
 
Umechanganya damu zote hzo kwa formula gani? Hawa jamaa wa world records hawajakuona?
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, 😀 😀 Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
Umeongea uharo tu. Unachambua makabila kwa upendeleo. Ngoja nikwambie sasa hivi kila jamii katika nchi hii wamepiga shule. Usijidanganye kabisa. Sasa hivi wachagga ni mafukara wa kutupwa baada ya kubanwa na serikali maana waliendekeza upendeleo na kugushi vyeti ndio maana wakajaa kwenye kika secta. Sasa hivi wachagga wengi ni maskini wa na wanauza viwanja na majumba katika miji yote mikuu kwa sasa hawana namna. Kwa hiyo uchambuzi wako hauendani na hali halisi. Kajipange upya uje na facts zinazotosheleza hoja yako.
 
Msukuma anakuja kwa kasi sana "ulimora" wabeja sana
Kwenye madini mchagga hatumuoni. Ni ngosha kwa kwenda mbele. Njoo kwenye uvuvi mchagga hayupo leo anatuambia eti yuko kila mahali. Sasa wachagga wamebanwa mpaka hoteli kubwa ngurudoto zinageuzwa hosteli. Kwadanganye wachagga wenzio.
 
Muha ni mchuuzi tu. Nitajie muha mmoja tu mwenye biashara kubwa inayofahamika mbali na kuwa vimeza kwenye masoko. Bora hata msukuma wapo wenye biashara za kueleweka.
Kweli kabisa hata ukisoma Kozi ya ujasiriamali ngazi ya shahada wanakuambia biashara wakati mwingine inatokana na asili
Kidunia Wahindi ndio wanaongoza kwa biashara, kwa bongo ni wachaga, waha, wakinga
 
Back
Top Bottom