Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Kuwafananisha Wachaga na Wakinga ni dalili ya kuchelewa kuijua Dunia

Unakariri maisha. Wakinga wa zamani sio wa siku hizi. Wakinga wa siku hizi ni wafanyabiashara wa Africa. Ukienda Congo, Zambia, Malawi, Africa kusini kote wanaenda kupeleka mzigo
 
Kwema wadau!

Nianze kwa kusema nchi hii hatuendekezi Ukabila, hatuupendi, na hatuutaki. Hivyo mada zinazogusa Ukabila isichukuliwe kwamba ni uhamasishaji wa hisia za chuki za kikabila ndani ya Jamii. Kiasili mimi ni Mnyamwezi wa Urambo lakini nimeishi na kukulia Kilimanjaro. Ninadamu ya Kinyamwezi, Kisukuma, Kihaya na kichaga.

Kabila la Wachaga ni moja ya makabila makubwa hapa nchini hasa katika ishu za biashara, Kufananisha Wachaga na vikabila vidogo ni dalili ya kutokuwa na exposure ya kitaifa na kimataifa.

Kumlinganisha Mchaga na Mkinga ni dalili ya wendawazimu. Ni dalili ya mtu ambaye hafuatilii mambo au akii yake iko limited.
Huwezi mfananisha Mchaga na Muha, sijui mpemba, au makabila yeye tabia ya kuji-limit.

Nimeishi na wachaga, ninawafahamu vyema kabisa. Ni kabila ambalo kwa hapa nchini ndilo linaongoza kwa watu wajanja na wenye akili kupitiliza, na ndilo kabila hilo hilo linaloongoza kwa watu mandezi na wapumbavu waliopitiliza.

Kama unataka watu wajinga waliopitiliza ndani ya nchi yetu basi nenda uchagani, utakutana na vijana walevi walioshindikana wasio na mbele wala nyuma, Kuanzia Tarakea, Holili, Rombo, Mwika, Marangu, Uru, Kibosho, Uru, Machame, Sanya juu, n.k kila sehemu kuna walevi hasa ambao maisha yao yanakatisha tamaa. Yaani wajinga sana, muda wote ni pombe tuu na ukiingalia miaka yao ni chini ya miaka thelasini yaani vijana kabisa.

Lakini hilo lisije kukufanya ukafikiri wachaga wote wako hivyo, 😀 😀 Yaani utakuwa umekosea Mno. Lipo kundi la pili la wachaga, hawa ndio kiboko, yaani ni wajanja kupitiliza, wanaakili na maarifa ya kila namna, Kwa ujumla wachaga hawako Limited na hio ndio sifa ya jamii yenye nguvu.

Jamii yenye nguvu haipaswi kuwa limited yaani kuwa na mipaka. Wachaga ukiwataka wajinga wapo, mashoga wapo, malaya wapo, majambazi wapo, walevi wapo, wachawi na washirikina wapo, na sifa zote mbaya uzijuazo, na sio kwa level ya chini yaani kimkoa hapana, ni level ya kitaifa.

Wachaga ukiwataka wasomi wa aina yoyote uijuayo wapo, wafanyabiashara za aina zote wapo, wakulima wapo, wamiliki makampuni wapo, wamiliki makanisa wapo, madalali wapo, Mashekhe na maparoko wapo, wanasiasa wakubwa wapo, wadangaji wakubwa wapo, wamiliki wa vyombo vikubwa vya habari wapo, wamiliki makampuni ya ndege wapo, wamiliki makampuni ya vipuri vya magari kama Saba General wapo, Ombaomba wapo, wamiliki mahospitali makubwa wapo, wamiliki mashule makubwa wapo, wana muziki wakubwa wapo, waigizaji wakubwa wapo,

Kiufupi wachaga hawapo Limited yaani hawana mipaka. Na hiyo ndio siri yao kubwa, yaani wao kila fursa wanaitaka.

Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu

Wakinga wao ni mashuhuri kwa Biashara tena sio kitaifa bali kikanda, yaani Iringa, Mbeya, na Dar es salaam, pia ni wakulima wa viazi, na mbao, na uchawi mambo matatu tu. Waha wao ni mashuhuri kwa biashara ndogo ndogo za kikanda sio nchi nzima katika maeneo ya Morogoro, Dar, Kahama, Kigoma na maeneo ya kanda ya ziwa, uganga na uchawi. na sanaa za uimbaji Mambo matatu tuu.
Wapemba, ni mashuhuri kwa Biashaara za kikanda na uchawi mambo mawili tu ya uparoko, askofu na uchungaji, kilimo cha ndizi, mambo manne tu.

Wasukuma, Ufugaji wa ng'ombe, Kilimo na biashara kidogo(awamu hii ndio wameanza), na uchawi, mambo matatu tu.

Nani kabaki? Kabila gani wamebaki?

Yaani ukiondoa wahindi na waarabu na jamii za nchi ya nje anayebaki hapa nchini kwetu ni mchaga.

Sisi makabila mengine tujifunze kupanua huduma zetu na shughuli zetu, tusiwe kama wakurya au wazaramo, ati kwa Vile Babu mwanajeshi basi ukoo mzima unataka kuwa wanajeshi, Sisi makabila mengine tuache ulimbukeni, ati kwa vile Baba ni daktari basi na matoto yote yanataka kuwa madaktari au mainjinia.

Huko kwa Wahaya kwa vile Baba ni Profesa basi atataka kila mtoto wake awe Profesa tuache uzwazwa.

Wachaga wamejitawanya asee, utashangaa familia au ukoo mmoja kuna watoto wanasheria, madaktari, madalali, wafanyabiashara, waalimu, na askari. Na ndio maana kwenye hii nchi hakuna sekta ambayo hutakosa mchaga, hakuna na haitakuwepo.

Nenda Zanzibar utamkuta mchaga
Nenda Nairobi utamkuta mchaga
Nenda Cape Town, Afrika kusini utamkuta mchaga,
Nenda Marekani, utamkuta mchaga,
Nenda ulaya utamkuta mchaga
Nenda Asia, utamkuta mchaga,
Nenda Freemason utawakuta wachaga

Nenda hata kwenye biashara ya mbao utamkuta mchaga
Nenda kwenye Biashara ya madini utamkuta mchaga
Nenda Jela utamkuta mchaga.

Wachaga ni Unlimited, hawana mipaka.

Sio sisi waluguru, mtoto akitaka tuu kwenda hapo Mwanza kikao cha ukoo kitakaa ati kujadili, mnajadili nini sasa, yaani ati wanahofia usalama wa mtoto wao, na hawa ndugu zangu Wazaramo, ni rahisi kumkuta shetani peponi kuliko kumkuta Mzaramo ati yupo mwanza anatafuta maisha.

Makabila mengine tunaule mtazamo kuwa maisha ni Dar pekeake, watu walioko mikoani hasa vijana ndoto yao kubwa ni kwenda kutafuta maisha, hii ni tofauti ni Wachaga(sio wote ila wengi wao) wanajua kuwa maisha ni popote, wanawaza kwenda nchi za nje, au mkoa wowote hapa Tanzania.

Wachaga kuwashinda ni ngumu japo inawezekana kama makabila mengine hatutaji-limit katika shughui za utafutaj mali.

Siku hizi wachaga wamevamia fani zifuatazo;
Udalalali
Uganga na uchawi
Kuuza mitishamba ya nguvu za kiume
Manabii nafikiri hapa wanataka kuchuana na Wanyakyusa
Uprojuza wa miziki
Umario kwa vijana
Udangaji kwa kinadada
Biashara za hatari

Kingine, wachaga wengi wao hasa kina dada wanapata airtime na upendeleo kwa kujipitisha pitisha na kwa watu wenye pesa na wakubwa, mathalani, viongozi wakubwa hapa nchini karibia nusu yao wameoa wachaga, yaani vichaga ni vimutu vya kujichomeka chomeka tuu bila kujali matokeo.

Kingine wachaga walichojitengenezea ni kasumba ya kuogopwa, yaani vijana wa makabila mengine huogopa kuwaoa mabinti wa kichaga kwa kuhofia kuwa wanapenda hela na watatozwa mahari kubwa, hii inapelekea vijana wengi wakipata pesa ndio wanaenda kuoa upande wa uchagani hii inafanya jamii ya kichaga kunufaika indirect kwa watoto wao kuolewa na watu wenye uwezo(japo sio wote).

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, kwanza tuna ile kasumba kuwa mtoto akiolewa akitolewa mahari sio kama unamuuza hivyo mahari tunaiweka ndogo au tuwatoe binti zetu sawa na bure. Hili jambo linapelekea dada zetu kuzidi kuolewa na vimtu vimasikini visivyo na mbele wala nyuma.

Kingine wanawake wa kichaga pia wanatabia ya kuleta fujo kwa mume wake hasa wa makabila mengine ikiwa atakuona huna mbele wala nyuma, kisha anakunyang'anya watoto na anawalea yeye mwenyewe kwa msaada wa ndugu zake wenye uwezo, wale watoto wakisoma na kufanikiwa ni mara chache sana kutukumbuka sisi baba wengine wa makabila ya nje.

Pia Wakwe wa kichaga ni rahisi kukunyanyasa kama huna muelekeo na hata ukisusa mke na watoto kwao sio shida wanawachukua watoto na mkeo anaweza kuolewa na mwingine au kubaki single mother.

Kunyang'anywa watoto ni kumalizwa nguvu hasa za uzeeni, kwani watoto wata-base zaidi upande wa kiukeni kuliko kwetu wanaume.

Hii ni tofauti na sisi wa makabila mengine, yaani unakuta dada zetu wanang'ang'ania mume hana mbele wala nyuma bado anampiga au ni mlevi kupitiliza na wazazi nao wanamshinikiza mtoto wako avumilie ndoa, pengine ni kwa sababu ya umasikini.

Wachaga kuwafananisha na Wakinga, au waha, au wapemba au kabila lolote ni dalili ya kutowajua vizuri na kutotembea ndani na nje ya nchi.

Mwisho; Sisi wote ni Watanzania, ukitaka kuwa mchaga unaruhusiwa, ukitaka kuwa Mhaya unaruhusiwa, ukitaka kuwa mkinga unaruhusiwa, unaruhusiwa kuoa yeyote ndani ya nchi hii. Usiumie ukiona kabila jingine linasifiwa.

Nawasilisha
Nitarudi
 
Cjapenda ulivowadhihaki wakwe zangu waking,hao wachaga unaowasifia hata sioni maajabu yao wakawaida tu tena asilimia kubwa ni watu wenye roho mbaya ,wanathamin Sana pesa kuliko utu,acha ukabila mbwa ww
 
Ni kweli jamii fulani hubeba hisia za mafanikio mbele ya jamii zingine, napenda kuona changamoto positive juu ya nchi yangu lkn hilo ni jema sn km sitosikia chumvi za kuongezwa na ukabila au ukanda.

Ni kweli wachaga wamekua wakifanya vizuri sn kwa miaka mingi lkn hilo lina maana kidg san ktk jamii ya sasa.

Mkinga anafanya biashara sana, wamefanikiwa sana na kwa miaka ya hivi karibuni wamekua wakizigalagaza sana jamii zingine. Well done wakinga.

Lkn ukweli tunaweza kuuweka katika makundi makuu ma3.

Uchumi (biashara)
Jamii (hasa elimu na ujanja)
Utawala (siasa na uongozi)

Uchumi kikabila, kuna zana mbili kuna ratio ya watu katika kabila fulani, na kuna gaps katika kabila fulani. Mfano kbila lenye wastani mzuri wa uchumi yan kabila ambalo halina masikin wengi ni WANYAKYUSA. hawa jamaa hawana kelele sana lkn pamoja na nguvu ya wakinga lkn hawawez kufikia level ya wastani wa maisha mbele ya mnyakyusa jamaa wako mbali sana, kweli majina ya matajir wa kinyakyusa mfano S.H AMON, FQ ambele na wengine ni kidg sana kuyasikia lkn jamaa hawana kelele wanajua nin wanafanya,

Katika biashara mchaga anamajina makubwa sana kuriko kabila lolote tanzania jamaa wanamajina sana japo wastan wa jamii yao uko ovyo sana kuna matajir na masikin hasa, kuna watu wapo Kilimanjaro mpk hii leo wanatoa funza miguuni, kuna watu hawajui hata kiswahili yan masikini mno.

Wakinga hawana majina makubwa kwasababu hawajafikia ule utajir wa kutikisa nchi au wa kuamulu uchumi wa nchi, utasikia fred vunja bei, utasikia machemba, yan bado sio wakubwa kiivyo japo wanakuja kasi sana, wanaposhindwa ni kwenye deals hawana roho ngumu kama wachaga na wanyakyusa na hapo ndipo wanabaki nyuma.

Kijamii hasa elimu na ujanja.
Wahaya, wanyakyusa na wachaga hapa ndio kwao, hayo makabila yamesoma na yamesomesha sana vijana wao, kila familia katika jamii hizo ina degree. Ni ngumu sana kukutafamilia ya bukoba haina degree, au moshi au tukuyu huko. Jamaa shule wameenda mno mno.

Shule huleta ujanja na maamuzi, katika ujanja hatuwez kuweka kabila lolote mbele ya mnyakyusa ndio anafuata mchaga, hapa ntaweka hivi, ujanja naamini n ile akili ya mtu kuchakata mambo kwa kutumia akili ili apate pesa bila kutumia nguvu au unyang'anyi. Kwanini nawaweka wanyakyusa mbele. Ukienda soweto mbeya utaelewa nini namaanisha, wajanja na matapeli wengi Tanzania ni watu wa mbeya tena chimbuko lao ni soweto. Hata kama utakutana na mchaga muhaya au mkinga au msukuma ni mjanja lakini master wake alikua n mtu wa mbeya.

Ujanja pia ni mfano katika makanisa wanyakyusa waliona tobo huko wakapamban sana kuweka utawala wao huko na walifanikiwa miaka mingi sana, mzee wa upako, mwakaseghe, mwamposa na wengine wengi wakubwa sana. Japo ujanja wa unyang'anyi wachaga ndio wenye roho ngumu hiyo wao ni wadhulumati sana lkn hawawezi kutumia akili na kuchukua pesa kama watu wa mbeya.

Siasa na uongozi,

hakuna kabila lililofanikiwa zaidi ya wachaga ktk sector hii, chadema ni yao, Tlp ni yao na kwa miaka mingi wamekua na balaza kubwa la mawaziri kutoka kwao. Hata leo hii ukiongelea CCM imefika hapo ilipo kwasababu ya mchaga pia jamaa sio wanasiasa wazuri lkn kwasababu ya kujiamn wamekua wakipenya kirahisi.

Lkn nyuma ya mchaga katika siasa hakuna kabila linalofuata katika siasa na uongozi isipokua mnyakyusa, ukiangalia wanyakyusa wanaongoza katika nyanja nying sana, kwenye majeshi ni wao tu, ukiingia ktk sector huko ndani utakuta jamaa wamejaa sana ni wengi sana. Hata siasa ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa ukitoa mchaga bas huamuliwa na mnyakyusa, na watatu ni mhaya. Wahaya sio wazuri katika kugombea gombea kwa kura, lkn shauli ya elimu yao ktk uongozi wapo sana sana sana... Na wataendelea kuwepo sana.

Miaka ya hivi karibun wasukuma walipewa nafas sana chin ya chuma lkn bado wametolewa sana nje ya mfumo na bi mkubwa.

Lkn kwa ujumla mafanikio ya jamii moja kuzidiwa na nyingine sio shauli ya ukabila ila mazingira ndio huamua zaidi mafanikio ya jamii hizo,

Mfano wahaya, wachaga na wanyakyusa wameendelea sana kwasababu za kihistoria na kijografia, wakoloni kukaa kwao na kuwahi kuoata elimu.

Biashara kwa makabila hayo hutofautiana pia kuringana na jiografia, na hulka za kihistoria, shauli ya ugumu wa maisha wa wachaga kwao huko ndio ukapelekea waondoke huko kwao na kwenda kutafuta kwingine huko hawakuwa na ardhi hivyo wakawa wafanyabiashara kwasbabu ndio kitu pekee wangeweza fanya, walifanikiwa ktk hilo na kukua sana kwasbb walikua hawana majukum familia ziko mbali moshi yeye yupo kigoma hata simu hakuna hivyo alifanya biashara yeye mwenyew na mpk alipofanikiwa na kurudi kwao.

Mkinga anafanya vizuri kwasasa kwasababu nao walikimbia makwao kama wachaga kwao kulikua na njaa sana ni kugumu mno, hivyo wengi walikimbilia chunya, iringa, mbeya makambako na maeneo ya jirani kwenda kusaka maisha sababu za kutokua na majukum walifanikiwa sana ndio haya tuyaonayo leo.

NB. Kuna sifa zingine ni za kawaida mfano kuogopwa kwa jamii moja ni kutokana na hulka za jamii hiyo kiutawala.

Mnyakyusa, mchaga na mhaya huogopwa sana ktika ndoa kwasababu za hulka zao.

Huwez kuoa mnyakyusa arafu ukataka kumtawala huwez kabisa, hilo libapelekea watu kuwaogopa sana, huko nyanda za juu kusini wakinga wabena wahehe wafipa wanyiha waandali na wasafwa humuogopa sana mnyakyusa maana yeye ni mtawala wao ni ngumu kumuweka chini, pia mchaga huogopwa na mmasai, muarusha, muarumeru, muiraq, mmbulu, mfyonji na mmang'ati kwasababu ya utawala ni mtawala na jeuri sana. Hata muhaya pia huogopwa sana na jamii zote za huko kanda ya ziwa hata msukuma humuogopa sana mhaya wakimuona haereweki kwasababu ya utawala. Sumu ya kuogopwa imeenea nchi nzima kwa makabila hayo ma3. Lkn katika hayo ma3 lipi huhofiwa na mwingine. Kiukweli mchaga na mnyakyusa huogopana zaid. Na ni rahisi mnyakyusa kuenda moshi au arusha kuweka utawala wake bila kuwaza mara mbili kulinganisha na mchaga kwenda mbeya au songwe kuweka utawala ni ngumu kidg.

Kwa ujumla.
1. Mchaga
2. Mnyakyusa
3. Mhaya
4. Msukuma
5. Mkinga.
 
Ni kweli jamii fulani hubeba hisia za mafanikio mbele ya jamii zingine, napenda kuona changamoto positive juu ya nchi yangu lkn hilo ni jema sn km sitosikia chumvi za kuongezwa na ukabila au ukanda.

Ni kweli wachaga wamekua wakifanya vizuri sn kwa miaka mingi lkn hilo lina maana kidg san ktk jamii ya sasa.

Mkinga anafanya biashara sana, wamefanikiwa sana na kwa miaka ya hivi karibuni wamekua wakizigalagaza sana jamii zingine. Well done wakinga.

Lkn ukweli tunaweza kuuweka katika makundi makuu ma3.

Uchumi (biashara)
Jamii (hasa elimu na ujanja)
Utawala (siasa na uongozi)

Uchumi kikabila, kuna zana mbili kuna ratio ya watu katika kabila fulani, na kuna gaps katika kabila fulani. Mfano kbila lenye wastani mzuri wa uchumi yan kabila ambalo halina masikin wengi ni WANYAKYUSA. hawa jamaa hawana kelele sana lkn pamoja na nguvu ya wakinga lkn hawawez kufikia level ya wastani wa maisha mbele ya mnyakyusa jamaa wako mbali sana, kweli majina ya matajir wa kinyakyusa mfano S.H AMON, FQ ambele na wengine ni kidg sana kuyasikia lkn jamaa hawana kelele wanajua nin wanafanya,

Katika biashara mchaga anamajina makubwa sana kuriko kabila lolote tanzania jamaa wanamajina sana japo wastan wa jamii yao uko ovyo sana kuna matajir na masikin hasa, kuna watu wapo Kilimanjaro mpk hii leo wanatoa funza miguuni, kuna watu hawajui hata kiswahili yan masikini mno.

Wakinga hawana majina makubwa kwasababu hawajafikia ule utajir wa kutikisa nchi au wa kuamulu uchumi wa nchi, utasikia fred vunja bei, utasikia machemba, yan bado sio wakubwa kiivyo japo wanakuja kasi sana, wanaposhindwa ni kwenye deals hawana roho ngumu kama wachaga na wanyakyusa na hapo ndipo wanabaki nyuma.

Kijamii hasa elimu na ujanja.
Wahaya, wanyakyusa na wachaga hapa ndio kwao, hayo makabila yamesoma na yamesomesha sana vijana wao, kila familia katika jamii hizo ina degree. Ni ngumu sana kukutafamilia ya bukoba haina degree, au moshi au tukuyu huko. Jamaa shule wameenda mno mno.

Shule huleta ujanja na maamuzi, katika ujanja hatuwez kuweka kabila lolote mbele ya mnyakyusa ndio anafuata mchaga, hapa ntaweka hivi, ujanja naamini n ile akili ya mtu kuchakata mambo kwa kutumia akili ili apate pesa bila kutumia nguvu au unyang'anyi. Kwanini nawaweka wanyakyusa mbele. Ukienda soweto mbeya utaelewa nini namaanisha, wajanja na matapeli wengi Tanzania ni watu wa mbeya tena chimbuko lao ni soweto. Hata kama utakutana na mchaga muhaya au mkinga au msukuma ni mjanja lakini master wake alikua n mtu wa mbeya.

Ujanja pia ni mfano katika makanisa wanyakyusa waliona tobo huko wakapamban sana kuweka utawala wao huko na walifanikiwa miaka mingi sana, mzee wa upako, mwakaseghe, mwamposa na wengine wengi wakubwa sana. Japo ujanja wa unyang'anyi wachaga ndio wenye roho ngumu hiyo wao ni wadhulumati sana lkn hawawezi kutumia akili na kuchukua pesa kama watu wa mbeya.

Siasa na uongozi,

hakuna kabila lililofanikiwa zaidi ya wachaga ktk sector hii, chadema ni yao, Tlp ni yao na kwa miaka mingi wamekua na balaza kubwa la mawaziri kutoka kwao. Hata leo hii ukiongelea CCM imefika hapo ilipo kwasababu ya mchaga pia jamaa sio wanasiasa wazuri lkn kwasababu ya kujiamn wamekua wakipenya kirahisi.

Lkn nyuma ya mchaga katika siasa hakuna kabila linalofuata katika siasa na uongozi isipokua mnyakyusa, ukiangalia wanyakyusa wanaongoza katika nyanja nying sana, kwenye majeshi ni wao tu, ukiingia ktk sector huko ndani utakuta jamaa wamejaa sana ni wengi sana. Hata siasa ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa ukitoa mchaga bas huamuliwa na mnyakyusa, na watatu ni mhaya. Wahaya sio wazuri katika kugombea gombea kwa kura, lkn shauli ya elimu yao ktk uongozi wapo sana sana sana... Na wataendelea kuwepo sana.

Miaka ya hivi karibun wasukuma walipewa nafas sana chin ya chuma lkn bado wametolewa sana nje ya mfumo na bi mkubwa.

Lkn kwa ujumla mafanikio ya jamii moja kuzidiwa na nyingine sio shauli ya ukabila ila mazingira ndio huamua zaidi mafanikio ya jamii hizo,

Mfano wahaya, wachaga na wanyakyusa wameendelea sana kwasababu za kihistoria na kijografia, wakoloni kukaa kwao na kuwahi kuoata elimu.

Biashara kwa makabila hayo hutofautiana pia kuringana na jiografia, na hulka za kihistoria, shauli ya ugumu wa maisha wa wachaga kwao huko ndio ukapelekea waondoke huko kwao na kwenda kutafuta kwingine huko hawakuwa na ardhi hivyo wakawa wafanyabiashara kwasbabu ndio kitu pekee wangeweza fanya, walifanikiwa ktk hilo na kukua sana kwasbb walikua hawana majukum familia ziko mbali moshi yeye yupo kigoma hata simu hakuna hivyo alifanya biashara yeye mwenyew na mpk alipofanikiwa na kurudi kwao.

Mkinga anafanya vizuri kwasasa kwasababu nao walikimbia makwao kama wachaga kwao kulikua na njaa sana ni kugumu mno, hivyo wengi walikimbilia chunya, iringa, mbeya makambako na maeneo ya jirani kwenda kusaka maisha sababu za kutokua na majukum walifanikiwa sana ndio haya tuyaonayo leo.

NB. Kuna sifa zingine ni za kawaida mfano kuogopwa kwa jamii moja ni kutokana na hulka za jamii hiyo kiutawala.

Mnyakyusa, mchaga na mhaya huogopwa sana ktika ndoa kwasababu za hulka zao.

Huwez kuoa mnyakyusa arafu ukataka kumtawala huwez kabisa, hilo libapelekea watu kuwaogopa sana, huko nyanda za juu kusini wakinga wabena wahehe wafipa wanyiha waandali na wasafwa humuogopa sana mnyakyusa maana yeye ni mtawala wao ni ngumu kumuweka chini, pia mchaga huogopwa na mmasai, muarusha, muarumeru, muiraq, mmbulu, mfyonji na mmang'ati kwasababu ya utawala ni mtawala na jeuri sana. Hata muhaya pia huogopwa sana na jamii zote za huko kanda ya ziwa hata msukuma humuogopa sana mhaya wakimuona haereweki kwasababu ya utawala. Sumu ya kuogopwa imeenea nchi nzima kwa makabila hayo ma3. Lkn katika hayo ma3 lipi huhofiwa na mwingine. Kiukweli mchaga na mnyakyusa huogopana zaid. Na ni rahisi mnyakyusa kuenda moshi au arusha kuweka utawala wake bila kuwaza mara mbili kulinganisha na mchaga kwenda mbeya au songwe kuweka utawala ni ngumu kidg.

Kwa ujumla.
1. Mchaga
2. Mnyakyusa
3. Mhaya
4. Msukuma
5. Mkinga.
Kama kuna uzi wa ajabu ni huu. Ni lini msukuma akamwogopa mhaya ? Wasukuma wamejaa vijiji vya Muleba, Karagwe na kufanya makazi yao. Leo unasema mhaya anaogopwa na msukuma ? Hauko serious kabisa.
 
Kama kuna uzi wa ajabu ni huu. Ni lini msukuma akamwogopa mhaya ? Wasukuma wamejaa vijiji vya Muleba, Karagwe na kufanya makazi yao. Leo unasema mhaya anaogopwa na msukuma ? Hauko serious kabisa.
Kujaa watu sehemu fulani ni jambo la kawaida sana as long as nchi yetu n huru sn. Hata wafyonji wamejaa sn arusha na Kilimanjaro hiyo haina maana kuwa hawawaogopi wachaga, wasukuma ni kweli wamejaa muleba kalagwe na maeneo ya wahaya lkn haina maana kuwa hawawaogopi, hata wasafwa ni wengi tu maeneo ya kiwira, isyonje na maeneo hayo lkn haina maana kuwa hawawaogopi wanyakyusa.

Kuogopwa sio kwa kuwakimbia hapana, wanawaogopa kwa misingi ya kuwa familia moja, yan msukuma kumuoa muhaya. Ni heri muhaya akimuoa msukuma kidg hiyo n fresh sana lkn sio vice versa.

Wasukuma wananguvu na ushawishi katk nchi yetu, je kwaww unahisi ushawishi na nafas ya muhaya nchini ni ndogo ukiringanisha na msukuma kweli...????
 
Uzi mrefu halafu ni porojo na pumba tupu. Cheki utumbo ulioandika hapa bila kua na taarifa sahihi.
Sio kama makabila mengine ambayo wao wameji-limit kwa jambo fulani au mambo mawili tu. Mfano, Wanyakyusaa, wao ni mashuhuri kwa nyimbo za injili, makanisa ya upako, kilimo cha Mpunga na elimu. Mambo matatu
Wanyakyusa wanaolima mpunga ni wa ilaya kama 2 tu.

Yaani hizi propaganda za makabila nadhani zilikua miaka hiyo mkuu, siku hizi muingiliano wa watu ni mkubwa mno.
Mada kama hizi wanaoandika wengi ni watu wazima sana waliokataa mabadiliko ya kifikra
 
Ni kweli jamii fulani hubeba hisia za mafanikio mbele ya jamii zingine, napenda kuona changamoto positive juu ya nchi yangu lkn hilo ni jema sn km sitosikia chumvi za kuongezwa na ukabila au ukanda.

Ni kweli wachaga wamekua wakifanya vizuri sn kwa miaka mingi lkn hilo lina maana kidg san ktk jamii ya sasa.

Mkinga anafanya biashara sana, wamefanikiwa sana na kwa miaka ya hivi karibuni wamekua wakizigalagaza sana jamii zingine. Well done wakinga.

Lkn ukweli tunaweza kuuweka katika makundi makuu ma3.

Uchumi (biashara)
Jamii (hasa elimu na ujanja)
Utawala (siasa na uongozi)

Uchumi kikabila, kuna zana mbili kuna ratio ya watu katika kabila fulani, na kuna gaps katika kabila fulani. Mfano kbila lenye wastani mzuri wa uchumi yan kabila ambalo halina masikin wengi ni WANYAKYUSA. hawa jamaa hawana kelele sana lkn pamoja na nguvu ya wakinga lkn hawawez kufikia level ya wastani wa maisha mbele ya mnyakyusa jamaa wako mbali sana, kweli majina ya matajir wa kinyakyusa mfano S.H AMON, FQ ambele na wengine ni kidg sana kuyasikia lkn jamaa hawana kelele wanajua nin wanafanya,

Katika biashara mchaga anamajina makubwa sana kuriko kabila lolote tanzania jamaa wanamajina sana japo wastan wa jamii yao uko ovyo sana kuna matajir na masikin hasa, kuna watu wapo Kilimanjaro mpk hii leo wanatoa funza miguuni, kuna watu hawajui hata kiswahili yan masikini mno.

Wakinga hawana majina makubwa kwasababu hawajafikia ule utajir wa kutikisa nchi au wa kuamulu uchumi wa nchi, utasikia fred vunja bei, utasikia machemba, yan bado sio wakubwa kiivyo japo wanakuja kasi sana, wanaposhindwa ni kwenye deals hawana roho ngumu kama wachaga na wanyakyusa na hapo ndipo wanabaki nyuma.

Kijamii hasa elimu na ujanja.
Wahaya, wanyakyusa na wachaga hapa ndio kwao, hayo makabila yamesoma na yamesomesha sana vijana wao, kila familia katika jamii hizo ina degree. Ni ngumu sana kukutafamilia ya bukoba haina degree, au moshi au tukuyu huko. Jamaa shule wameenda mno mno.

Shule huleta ujanja na maamuzi, katika ujanja hatuwez kuweka kabila lolote mbele ya mnyakyusa ndio anafuata mchaga, hapa ntaweka hivi, ujanja naamini n ile akili ya mtu kuchakata mambo kwa kutumia akili ili apate pesa bila kutumia nguvu au unyang'anyi. Kwanini nawaweka wanyakyusa mbele. Ukienda soweto mbeya utaelewa nini namaanisha, wajanja na matapeli wengi Tanzania ni watu wa mbeya tena chimbuko lao ni soweto. Hata kama utakutana na mchaga muhaya au mkinga au msukuma ni mjanja lakini master wake alikua n mtu wa mbeya.

Ujanja pia ni mfano katika makanisa wanyakyusa waliona tobo huko wakapamban sana kuweka utawala wao huko na walifanikiwa miaka mingi sana, mzee wa upako, mwakaseghe, mwamposa na wengine wengi wakubwa sana. Japo ujanja wa unyang'anyi wachaga ndio wenye roho ngumu hiyo wao ni wadhulumati sana lkn hawawezi kutumia akili na kuchukua pesa kama watu wa mbeya.

Siasa na uongozi,

hakuna kabila lililofanikiwa zaidi ya wachaga ktk sector hii, chadema ni yao, Tlp ni yao na kwa miaka mingi wamekua na balaza kubwa la mawaziri kutoka kwao. Hata leo hii ukiongelea CCM imefika hapo ilipo kwasababu ya mchaga pia jamaa sio wanasiasa wazuri lkn kwasababu ya kujiamn wamekua wakipenya kirahisi.

Lkn nyuma ya mchaga katika siasa hakuna kabila linalofuata katika siasa na uongozi isipokua mnyakyusa, ukiangalia wanyakyusa wanaongoza katika nyanja nying sana, kwenye majeshi ni wao tu, ukiingia ktk sector huko ndani utakuta jamaa wamejaa sana ni wengi sana. Hata siasa ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa ukitoa mchaga bas huamuliwa na mnyakyusa, na watatu ni mhaya. Wahaya sio wazuri katika kugombea gombea kwa kura, lkn shauli ya elimu yao ktk uongozi wapo sana sana sana... Na wataendelea kuwepo sana.

Miaka ya hivi karibun wasukuma walipewa nafas sana chin ya chuma lkn bado wametolewa sana nje ya mfumo na bi mkubwa.

Lkn kwa ujumla mafanikio ya jamii moja kuzidiwa na nyingine sio shauli ya ukabila ila mazingira ndio huamua zaidi mafanikio ya jamii hizo,

Mfano wahaya, wachaga na wanyakyusa wameendelea sana kwasababu za kihistoria na kijografia, wakoloni kukaa kwao na kuwahi kuoata elimu.

Biashara kwa makabila hayo hutofautiana pia kuringana na jiografia, na hulka za kihistoria, shauli ya ugumu wa maisha wa wachaga kwao huko ndio ukapelekea waondoke huko kwao na kwenda kutafuta kwingine huko hawakuwa na ardhi hivyo wakawa wafanyabiashara kwasbabu ndio kitu pekee wangeweza fanya, walifanikiwa ktk hilo na kukua sana kwasbb walikua hawana majukum familia ziko mbali moshi yeye yupo kigoma hata simu hakuna hivyo alifanya biashara yeye mwenyew na mpk alipofanikiwa na kurudi kwao.

Mkinga anafanya vizuri kwasasa kwasababu nao walikimbia makwao kama wachaga kwao kulikua na njaa sana ni kugumu mno, hivyo wengi walikimbilia chunya, iringa, mbeya makambako na maeneo ya jirani kwenda kusaka maisha sababu za kutokua na majukum walifanikiwa sana ndio haya tuyaonayo leo.

NB. Kuna sifa zingine ni za kawaida mfano kuogopwa kwa jamii moja ni kutokana na hulka za jamii hiyo kiutawala.

Mnyakyusa, mchaga na mhaya huogopwa sana ktika ndoa kwasababu za hulka zao.

Huwez kuoa mnyakyusa arafu ukataka kumtawala huwez kabisa, hilo libapelekea watu kuwaogopa sana, huko nyanda za juu kusini wakinga wabena wahehe wafipa wanyiha waandali na wasafwa humuogopa sana mnyakyusa maana yeye ni mtawala wao ni ngumu kumuweka chini, pia mchaga huogopwa na mmasai, muarusha, muarumeru, muiraq, mmbulu, mfyonji na mmang'ati kwasababu ya utawala ni mtawala na jeuri sana. Hata muhaya pia huogopwa sana na jamii zote za huko kanda ya ziwa hata msukuma humuogopa sana mhaya wakimuona haereweki kwasababu ya utawala. Sumu ya kuogopwa imeenea nchi nzima kwa makabila hayo ma3. Lkn katika hayo ma3 lipi huhofiwa na mwingine. Kiukweli mchaga na mnyakyusa huogopana zaid. Na ni rahisi mnyakyusa kuenda moshi au arusha kuweka utawala wake bila kuwaza mara mbili kulinganisha na mchaga kwenda mbeya au songwe kuweka utawala ni ngumu kidg.

Kwa ujumla.
1. Mchaga
2. Mnyakyusa
3. Mhaya
4. Msukuma
5. Mkinga.
Umeeleza vizuri ila kuhusu umasikini kila jamii ina masikini,ila kuhusu funza jaribu kufanya research upya....mnyakyusa ni jeuri tu ila ni masikini wakubwa kubali ukatae
 
Umeeleza vizuri ila kuhusu umasikini kila jamii ina masikini,ila kuhusu funza jaribu kufanya research upya....mnyakyusa ni jeuri tu ila ni masikini wakubwa kubali ukatae
Kweli kbsa kila jamii ina masikini, lkn kuna ile wastani wa umasikin. Ni rahisi kukuta familia masikini mbeya huko tukuyu au kyela, lkn wanakula milo mi3 heavy kwa siku. Wanasomesha watoto shule za private nzuri tu za hata 1M. Lkn ndio familia masikini.

Kuhusu funza hilo sijaambiwa nimeliona kwa macho yangu mwaka 2020 hapo wala sio miaka mingi sana. Nimeenda huko Kilimanjaro ndani ndani huko.

Hata hivyo haina maana kuwa uwepo wa funza ndio umasikin lkn ni ishara ya umasikin wa jamii hiyo.
 
Mleta mada acha kuwachukila poa Wapemba, Hao watu ni moto wa kuotea mbali.
 
Kweli kbsa kila jamii ina masikini, lkn kuna ile wastani wa umasikin. Ni rahisi kukuta familia masikini mbeya huko tukuyu au kyela, lkn wanakula milo mi3 heavy kwa siku. Wanasomesha watoto shule za private nzuri tu za hata 1M. Lkn ndio familia masikini.

Kuhusu funza hilo sijaambiwa nimeliona kwa macho yangu mwaka 2020 hapo wala sio miaka mingi sana. Nimeenda huko Kilimanjaro ndani ndani huko.

Hata hivyo haina maana kuwa uwepo wa funza ndio umasikin lkn ni ishara ya umasikin wa jamii hiyo.
Mkuu punguza uongo,kuhusu milo 3 heavy hapo sawa anaweza kula ndizi choma kwa parachichi na maziwa.
Huenda wewe ni mnyaki na unajitahidi kuficha yaliyo kwenu ila haibadilishi kitu kuwa nyinyi ni masikini kuliko wachaga.
Kuhusu funza Fanya research vizuri kwanini kule kuna funza na mbeya au mikoa mingine hakuna.
 
Back
Top Bottom