Kuwahi/Kuchelewa kuoa

Kuwahi/Kuchelewa kuoa

Pablo Blanco

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
7,328
Reaction score
6,638
Magangsters wengi huwa hatupendi show off sijui kumkiss demu wako hadharani, sherehe kama harusi na birthdays, kulishana keki, kumpigia mwanamke magoti, kucheza mziki na mwanamke hadharani, mzee mzima Sugu kaoa by the way I am a real gangsta, nikifika miaka 45 na mimi nitaoa

Screenshot_20190901-184538~2.jpeg
 
Kabla ya kuoa hakikisha ushapiga show nyingi sana maana maisha ndani ya ndoa ni sawa na kujiteka mwenyewe
hahaha,ngoja walioa oa wake watupatie uzoefu zaidi
 
gangsta kaoa ..

yule mkewe wa zamani anabwabwaja tu uko insta. sijui bado anamiss ukuni wa sugu motochini
 
yulee mkulima wa south alioa na miaka mingapi maana kashikilia li ndege letu ki ganster ganster
 
Back
Top Bottom