Kuwaita wafadhili wetu “mabeberu”, kabla hatujaweza kujitegemea, ni ushamba unaoweza kuliangamiza Taifa tusipokuwa makini!

Wewe ndo wale wanaume waoga bada ya kuoa unaita mkeo mama yangu sbb huna uhakika kama una uwezo wa kumtia mimba ktk ndoa.

Tunaita mabeberu kwa kuwa ni mabeberu kweli. Hatuwezi waita mbuzi wenye ndevu.
 
Unapoteza utu wako Kwa sababu ya fedha? Wakati unao uwezo wa kujenga uzalendo ukapata fedha tu Kama kila mtazania ataelewa umuhimu wa Uzalendo
Nani amepoteza utu wake kwasababu ya fedha? Hivi una akili wewe? Uzalendo maana yake ni kitu gani? Inawezekana umechotwa akili. Bure kabisa.
 
Wewe ndo wale wanaume waoga bada ya kuoa unaita mkeo mama yangu sbb huna uhakika kama una uwezo wa kumtia mimba ktk ndoa.

Tunaita mabeberu kwa kuwa ni mabeberu kweli. Hatuwezi waita mbuzi wenye ndevu.
Huna akili hata kidogo. And I mean it.
 
Hilo neno linatumika kama propaganda kuendelea kupata sapoti za nyumbu wasiojitambuwa. Yani #BureKabisa
 

Kwa kujitegemea ni stahili hipi.
Nchi nyingi zinazotaka kuvuka malengo zinapata misukosuko na hao wanaosema bado.
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada hupiga magoti kuwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Kwa kujitegemea ni stahili hipi.
Nchi nyingi zinazotaka kuvuka malengo zinapata misukosuko na hao wanaosema bado.
Hata kama ingekuwa ni kweli, bado huelewi! Na hata jambazi akikuvamia, na huku akijiamini kuwa hamfahamu, kisha ukaanza kusema unamfahamu, atakuacha? Sasa ukifa siyo ushamba? Acheni propaganda za kisemgerema mkaharibu Taifa.
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila jwtzccm ni weupe sana
 
Hakuna maendeleo Tanzania licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani pesa za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso kwa wapinzani badala ya maendeleo
 
Hata kama ingekuwa ni kweli, bado huelewi! Na hata jambazi akikuvamia, na huku akijiamini kuwa hamfahamu, kisha ukaanza kusema unamfahamu, atakuacha? Sasa ukifa siyo ushamba? Acheni propaganda za kisemgerema mkaharibu Taifa.

Ueleweki
Unataka ujitegemee kwa stahili hipi.
Sababu zilizopo si kwa kuwa ni wafadhiri kutaka kufanya kama sehemu ya shamba lao.

Nipe jibu unataka hao mabeberu waseme sasa tunaweza jitegemea ni hizi
 
Na ni mbuzi jike kweli!😂
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani,Pesa zote zinapotelea kwenye mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa kama walivyofanya sasa kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Baada ya kichapo cha mbwa mtu kwenye box la kura naona unaibuka na nyuzi za kitoto. Unajua nini maana ya Beberu? Unadhani kila mfadhili ni Beberu. Unafahamu dhana nzima ya Imperialism? Tumia akili zako unapofanya ukosoaji wa kiuchambuzi.
Kichapo kipi hicho? Uchaguzi upi huo? Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika Tanzania zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Sasa CCM yote hawatumii Akili zao kufanya kazi wameazima kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM tu
 
We are busy picking a fight that we all know, we can't win.
 
Mtanzania gani angechagua mbunge wa Chadema?
Watanzania wapiga kura wote wenye Akili timamu waliichagua chadema lakini Polisiccm NECCCM Tumeccm na wakurugenziccm wakaisimika CCM ikulu kienyeji pasipo idhini ya wapiga kura kwa njia haramu za kishetani
 
Ueleweki
Unataka ujitegemee kwa stahili hipi.
Sababu zilizopo si kwa kuwa ni wafadhiri kutaka kufanya kama sehemu ya shamba lao.

Nipe jibu unataka hao mabeberu waseme sasa tunaweza jitegemea ni hizi
Kama tokea uhuru mumeshindwa kuondoa huo umasikini na ujinga, unataka kusema hilo halipo chini ya uwezo wenu siyo?
 
Nani amepoteza utu wake kwasababu ya fedha? Hivi una akili wewe? Uzalendo maana yake ni kitu gani? Inawezekana umechotwa akili. Bure kabisa.
Uzalendo wa CCM ya sasa ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani kutafuna pesa za corona na kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu huo ndiyo Uzalendo wa CCM ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…