Mkuu yapo Mambo umeandika yamenigusa,mfano swala la mabeberu,asilimia KUBWA za hospital,mashule na majengo mengine yalikuwa yao, japo Kama serikali kwa Sasa asilimia KUBWA wanayatumia.
Hili jina beberu sio zuri linatuabisha watz ,kwa maana beberu kwa ni mbuzi dume, na hufika mahala Kama ni mbegu nzuri wenye mbuzi jike hupeleka kwa beberu ili apandwe Sasa ndugu Wana JF
Wale watusaidiao tunawaita mabeberu, na wamekupa msahada mkubwa tangu Uhuru na mh BASHIRU ni shaidi.
Swali
Je, watanzania wote bila kujali vyma,dini ,wadhifa wako katika jamii,baba au mama wa familia ,kijana tunapandwa na beberu? KWA maana nyingine sie ni mbuzi jike,maana mh jk aliwai sema ukutaka kula lazima uliwe!
Sasa miaka yote tumekula vingi vya hao muaitao mabeberu, Sasa maana yake ni Nini ,?
Ushauri
Turudishe kila kitu anzia tangu Uhuru then ndo tuwaite majina ya mahajabu vinginevyo kwa majina yenu hayo mnatuzalilisha watanzania, kwamba sie ni mbuzi jike na beberu yuko tiyari kwa kuja au kwenda wenyewe kupanda,STOP Mara moja huo msemo watanzania sio wa hivyo