Kuwakamata Mwabukusi au Mdude hakutasimamisha maandamano 9/11

Kuwakamata Mwabukusi au Mdude hakutasimamisha maandamano 9/11

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.

Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, vitisho au hata mtutu wa bunduki?

Kwenu polisi ni kupewa taarifa tu. Mnadhani katiba ilikosewa kuwapa ninyi mipaka ya wazi hivyo kuhusiana na wananchi wenye jambo lao?

Kwamba mmefikia kujiapiza kuvunja watu miguu au hata kuwaua? Ama kweli huku ni kuvuka mipaka kuliko pitiliza mno, kunakofuzu kuitwa ushweitwani kazini.

Kwamba mmekuwa mkizisumbua hadi familia zao? Hivyo sasa mnadhani hatujui nia yenu ni kuwakamata wawili hawa kwa sababu zozote, ili 9/11 wasiwepo medani za Tahrir? Hilo tunalijua na tuko kamili gado!

Ila kaeni mkijua:

F-URiILWkAA8MHl.jpeg

9/11 tupo Tahrir "with or without Mwabukubusi, Mdude, Slaa au awaye yote."

Mmetuchosha na tabia zenu za usiginaji wenu wa katiba wa wazi. Wavunja katiba dhidi ya walinda katiba tukutane Tahrir.

Hatutabeba jiwe, rungu wala sindano, bali damu na roho zetu.

Mkitaka kita umana!
 
20190817_IRD001_11.jpg


Freedom of speech Freedom of expression ni HAKI yetu ya Kikatiba.
 
Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.

Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, hata vitisho au mtutu wa bunduki?
Binafsi natoa wito kwa Jeshi la Polisi kuthibiti maandamano haya haramu, kuchukua hatua kali kwelikweli kwa wakaidi wote watakaoshiriki ujambazi huu wa kuharibu amani na utulivu, kupora mali katika vibanda na maduka ya watu na kwa kwakutokutii sheria bila shuruti wakabiliwe na wawajibishwe vilivyo ili iwe fundisho kwao na kwa familia zao.....

huwezi kudhulumu mali na fedha za watu kwa kupora vibanda na maduka watu kisha unaenda kudai haki serikalini...
hili haliwezekani,
 
Wafuasi wa Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile aliyeonewa kwa kufungwa zaidi ya Miaka 3 ati kwa kuhubiri bila kibali wajitokeze kwenye Maandamano ya AMANI.


View: https://youtu.be/MVOm4KOS8V8?si=PU-2d5yPyq8D5hUz


Siyo hao tu. Kwa hakika yeyote atakayefichama ndani wakati agenda ni:

1. Kudai katiba mpya
2. Kudai rasilimali za watanzania ni kwa watanzania.

tofauti yake na ma CCM na vibaraka wao kwa kujua au kutokujua itakuwa nini?

Kwani wewe utafichama ndani ndugu?
 
Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.

Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, hata vitisho au mtutu wa bunduki?

Kwenu polisi ni kupewa taarifa tu. Mnadhani katiba ilikosewa kuwapa ninyi mipaka ya wazi hivyo kuhusiana na wananchi wenye jambo lao?

Kwamba mmefikia kujiapiza kuvunja watu miguu au hata kuwaua? Ama kweli huku ni kuvuka mipaka kuliko pitilizs mno, kunakofuzu kuitwa ushweitwani kazini.

Kwamba mmekuwa mkizisumbua hadi familia zao? Hivyo sasa mnadhani hatujui nia yenu ni kuwakamata wawili hawa kwa sababu zozote, ili 9/11 wasiwepo medani za Tahrir? Hilo tunalijua na tuko kamili gado!

Ila kaeni mkijua:


9/11 tupo Tahrir "with or without Mwabukubusi, Mdude, Slaa au awaye yote."

Mmetuchosha na tabia zenu za usiginaji wenu katiba wa wazi. Wavunja katiba dhidi ya walinda katiba tukutane Tahrir.

Hatutabeba jiwe, rungu wala sindano, bali damu na roho zetu.

Mkitaka kita umana!
Twanga hayo kwa pepper smokes bombs, nyau hao!
 
Hilo ni Eneo la Spika wa Bunge la JMT na Rais wa IPU

Nawakumbusheni tu!

Hujasahau neno "uchwara" mahali ndugu? Supika? Huyo anapaswa kutuunga mkono kuilinda katiba ya nchi Kwa nguvu zetu zote.
 
Binafsi natoa wito kwa Jeshi la Polisi kuthibiti maandamano haya haramu, kuchukua hatua kali kwelikweli kwa wakaidi wote watakaoshiriki ujambazi huu wa kuharibu amani na utulivu, kupora mali katika vibanda na maduka ya watu na kwa kwakutokutii sheria bila shuruti wakabiliwe na wawajibishwe vilivyo ili iwe fundisho kwao na kwa familia zao.....

huwezi kudhulumu mali na fedha za watu kwa kupora vibanda na maduka watu kisha unaenda kudai haki serikalini...
hili haliwezekani,
Tena wawabonde kweli kweli😁😁
 
Niwe mkweli nim
Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.

Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, hata vitisho au mtutu wa bunduki?

Kwenu polisi ni kupewa taarifa tu. Mnadhani katiba ilikosewa kuwapa ninyi mipaka ya wazi hivyo kuhusiana na wananchi wenye jambo lao?

Kwamba mmefikia kujiapiza kuvunja watu miguu au hata kuwaua? Ama kweli huku ni kuvuka mipaka kuliko pitilizs mno, kunakofuzu kuitwa ushweitwani kazini.

Kwamba mmekuwa mkizisumbua hadi familia zao? Hivyo sasa mnadhani hatujui nia yenu ni kuwakamata wawili hawa kwa sababu zozote, ili 9/11 wasiwepo medani za Tahrir? Hilo tunalijua na tuko kamili gado!

Ila kaeni mkijua:


9/11 tupo Tahrir "with or without Mwabukubusi, Mdude, Slaa au awaye yote."

Mmetuchosha na tabia zenu za usiginaji wenu katiba wa wazi. Wavunja katiba dhidi ya walinda katiba tukutane Tahrir.

Hatutabeba jiwe, rungu wala sindano, bali damu na roho zetu.

Mkitaka kita umana!
Niwe mkweli hakuna wa kuandamana hapo. Wabongo waoga sana
 
Back
Top Bottom