Ndio hayo macho ushafunguka Sasa,US anaibaka mafuta Syria!Kama alivyofanya huko Iraq,Libya NK!
Yeye ni maslahi yake kwanza bila kuangalia damu!Sasa kawaingiza mkenge Ukraine,kamgombanisha na jirani yake na Sasa anafanya biashara ya Silaha Kwa malipo ya damu za waukraine!
Baada ya hii SMO,Ukraine atalipa Kwa miongo mingi sana!
Nenda kaulize UK kamaliza kulipa deni lini Kwa US la WW2!
πππ,unakwepa kabisa kutaja Ukraine!Hiyo Syria ya maarabu ambayo huwa mnayaabudu yanapenda kuuana tangu hiyo dini inavumbuliwa imeenezwa kwa kuuana, uarabuni kote huko ni kuuana tu na kulipukiana, na wataibiwa mafuta mpaka wakome.
πππ,unakwepa kabisa kutaja Ukraine!
Huko unakotaja nilishakubali kuwa US ni mshenzi Kwa kuchochea vita na umwagaji wa damu Kwa interest zake!Hilo nimeshakubali,Sasa vp huko Ukraineππππ!
Sawa,Ukraine vp?Halafu hii hapa inaonyesha mtanange Uarabuni kote, yanauana na kuibiwa mafuta majinga sana haya halafu mnayaabudu kwenye dini...
acha siasa mkuu fuatilia details za kijeshiMnaoishabikia Urusi muendelee kupata aibu, kataifa namba 22 kamezingua hadi basi tu.
I wish Ukraine wangepewa silaha za masafa marefu, pangenoga sana, jamaa wanajituma kama sisimizi.
Kwa ambavyo wamemchosha Urusi ni dhahiri NATO wakitia guu pale, Urusi atafutika.
Globalfire