Wazee kama hawa akina Lukuvi na Kabudi wameshafanya kazi za kutukuka kwenye taifa letu. Walitakiwa wawe wameshazalisha vijana wenye uwezo, mawazo na maono kama wao. Lakini kama hawajazalisha vijana wengine mpaka Leo wanaoweza kuchukua nafasi zao sio sawa.
Hata Kama waliteuliwa walipaswa kusema "hapana inatosha". Hii ingenusuru ajira za vijana wetu, Kama vijana hawawezi kufanya kazi kama au zaidi ya wazee hawa watakuwa Wana kasoro kubwa za kimalezi, kielimu, kizalendo na kimaono.
Soma Pia: Ujio wa Lukuvi ( Bunge), Prof Kabudi ( Katiba) na Makonda ( Utawala Bora) kunaifanya CCM kukamilika Idara zote kuelekea 2025
vijana wana mambo mengi.tenda ilitakiwa kiongozi wa serikali anagalau umri uwe 40-50.kama mtu anasema CCM inaibaga kura ,wewe unategemea mzee wa miaka 50 angeropoka hivyo? vijana wana mihemko ya bangi,pombe, michepuko nk
si unaona hata suleiman alipotawazwa kuwa mfalme na huku nikijana,muda mwingi alishinda akiwatia mimba mabinti za watu na mwishoe akaenda kufukiza uvumbe kwenye madhabahu ya baali jambo ambalo baba yake hakufanya.
mfano mwengini ni yule msanii wa UKRAINE.nchi imesambaratika kwa sababu ya utoto wa akili zake na mwili wake
Mfalme Solomoni kadiri ya
Biblia alikuwa mfalme wa tatu na wa mwisho wa
Israeli nzima, akitawala kuanzia
970 KK hadi
930 KK hivi.
Maisha yake

Solomoni katika
ikulu yake (kadiri ya
Ingobertus,
880 hivi).
Alikuwa mwana wa
Daudi na Bath-Sheba (
Betsheba), aliyewahi kuwa
mke wa
Uria Mhiti.
Daudi alimchagua kuwa mrithi wake kwa sababu alikuwa uthibitisho hai wa
msamaha aliopewa na
Mungu kwa
kuzini na hatimaye kumuua Uria.
Ufalme wake ulitazamwa na
Wayahudi kuwa na ustawi usio na mfano, kutokana na
hekima yake na
amani iliyopatikana wakati wote wa utawala wake.
Ufalme wake uliweza kustawi kuliko ule wa baba yake kutokana na msingi imara aliouweka Daudi. Lakini mwenyewe aliudhoofisha na kusababisha mara baada ya kifo chake utokee utengano kati ya makabila ya Kaskazini na yale ya Kusini.
Kati ya kazi muhimu alizozifanya, mojawapo ni kujenga
hekalu la Yerusalemu na kuliweka wakfu kwa sherehe kubwa ya siku saba, ambapo Mungu alionyesha kibali chake kwa kulijaza kwa sura ya wingu (
1Fal 8). Polepole
hekalu hilo likaja kuwa la pekee hata
patakatifu pengine pote pakakatazwa chini ya mfalme
Yosia.
Ingawa Solomoni anasifiwa kwa
hekima yake, alishindwa kukwepa
majivuno na
tamaa, akataka kuwapendeza wake zake waliokuwa 700 (mbali na masuria 300), wengi wao
Wapagani, hata akawajengea mahali pa kuabudia miungu yao akamchukiza Mungu hata akamtabiria mtoto wake atanyang’anywa sehemu kubwa ya ufalme (1Fal 11:1-13) ikawa hivyo.
Hata hivyo mwishoni aliweza kulaumiwa kwa kuzidisha fahari, hasa upande wa wanawake waliomvuta kwenda kinyume cha
imani ya
Mungu pekee.
Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka thelathini na miwili. Alitawala huko Yerusalemu miaka minane.