Kuwarudisha Ndani Washitakiwa Kwa Madai Mahakama Haina Uwezo Wa Kusikiliza Kesi Hiyo, Ikoje?

Unataka kutuambia kuwa sheria nayo ni usanii?
Mahakama kunyimwa haki ya kuamua mustakabali wa mtuhumiwa kukaa rumande laki inapewa mamlaka ya kukazia kuwa mtuhumiwa akae rumande chini ya mlalamikaji katika mazingira katili yafananayo na adhabu akitendewa sawasawa na convict, ni sheria kukubali mahakama itumike kutesa watu wasio na hatia!

Kama ilivyo kwa katiba, hili nalo ni la kuliangalia.
 
Pamoja sana Jembe, Ahsante kwa majibu yako..

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Kama huwezi kuya challenge maelezo hayo kutokana na fani yako ya upishi usiwaaminishe wengine kuwa jamaa katoa bonge la point!
 
Urasimu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ahsante kwa ufafanuzi ila nina swali kutoka kwenye maelezo yako.

Umesema kesi kama za ugaidi na utakatishaji pesa husikilizwa mahakama kuuu pekee, mbona ndama mtoto wa ng'ombe alisomewa mashitaka ya kutakatisha pesa mahakama ya kisutu na akakiri makosa akalipa fidia.

Kama hizo mahakama hazina uwezo wa kusikiliza na mtuhumiwa hatakiwi kujibu chochote ilikuaje kwa ndamà.
 
Umejibu vema Msomi!

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani sasa wabunge wetu Wana haja ya kupitisha sheria ya fidia kwa wale wote watao kuwa wakionekana hawana hatia,
 
Mkuu maelezo yako ni mazuri yamejibu maswali mengi, il mm nna swali: je, hizi procedures huwa zinatumika pia ktk mataifa yaliyoendelea? Au ni huku kwetu tu?

Sent from my SM-A700K using JamiiForums mobile app
 
....

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Kama huwezi kuya challenge maelezo hayo kutokana na fani yako ya upishi usiwaaminishe wengine kuwa jamaa katoa bonge la point!
Nilichouliza nimepata jibu...so sioni haja ya kunitukana...mi cyo mpishi pili acha dharau hata huo ipishi ni fani kma fani zingine hvyo wape heshima zao, uzi nimeleta mimi kutaka kueleweshwa, kile Nilichouliza nimeeleweshwa ni jukumu lako wewe ku challenge pale palipo pinda ili watu waelimika cyo kutukana, nakuona huwa una misaada na majiby ya kiungwana sana humu jukwaani, hayo matusi ys kuwambia wenzko wapishi yanatoka wapi, plz tuheshimiane.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Kama huwezi kuya challenge maelezo hayo kutokana na fani yako ya upishi usiwaaminishe wengine kuwa jamaa katoa bonge la point!
Hlf cha ajabu ambcho hujakiona jamaa kajibu kulingana na sheria tulizo nazo wewe ulitaka ajiwekee sheria ajibu kitu ambcho hakipo kwenye katiba, sasa kma ulikuwa na majibu, hebu yaanike hpa chini niyaone, ndo utaonekana na wewe si mpishi..make hapa nimeuliza swali na ni ruksa mtu yeyote mwenye majibu kujibu, kma huna kma wewe ungepiga kimya tu, au unge prove alichokisema kuwa ni cha uongo kwa kutuletea vifungu vya sheria, hpo ntakuona wa maana na msomi.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
"kulingana na sheria tulizonazo"

Huna ujasiri wa kutaja neno "sheria" maana unajua kuna ombwe kubwa mno!

Nipo kipande hiyo na wewe upo kipande inayokataza rais asishitakiwe nawe upo comfortable.
 

Mkuu naomba ufafanue kidogo. Kama upelelezi hauja kamilika, nini 'basis' au 'justification' ya mtu kukamatwa? Kwanini upelelezi usikamilike ndio akamatwe? Je, inamaana mtu akihisiwa tu anaweza kuwekwa ndani? Kama hamna "charge" mtu si ana uhuru wa kuondoka?
 
"kulingana na sheria tulizonazo"

Huna ujasiri wa kutaja neno "sheria" maana unajua kuna ombwe kubwa mno!

Nipo kipande hiyo na wewe upo kipande inayokataza rais asishitakiwe nawe upo comfortable.
Hujajibu kitu, jamaa kajibu nilichotaka kujua, sasa wewe Rais anaingiaje hpa sasa, fungua uzi wa aina hiyo. jikite kwenye hoja iliyopo mezani, ambyo nilitaka majibu yke mkuu.... ya mahakama kuwadeshi watu kuwa haina mamlaka ya kusikiliza kesi fulani, kwa nini muda upotezwe kupelekwa kesi sehemu hizo wakati zinajua wazi kuwa haziwezi na kwa nini hizo kesi zisipelekwe sehemu husika, hiyo ndo ilikuwa hoja yngu, wewe ukaja na dharau zako za mambo ya upishi, mkuu heshimaa, kutukana tukana mtu ambye humjui cyooo..

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Japo tupo kwenye tawi moja mtini, unachonikera ni kuzifurahia hizo sheria ambazo hatubishani kuwepo kwake.

Tumia elimu uliyonayo kuifanya akili yako nzuri ionekane kufanya kazi.

Usitumie elimu yako kuwathibitisgia walimwengu kuwa ulienda kusoma akili za wenzio huku wewe ukiwa na akili usizoweza kuziamini wala kuzitetea kisomi.
 
Hujajua na wala hujanisoma...siifurahii hii sheria kandamizi hata kidogo na SIUNGI MKONO, umenielewa isivyo ndo maana nikaleta huu uzi kupata mwanga na jamaa nimemuunga mkono kwa kunijibu kwa nini inakuwa hivyo kulingana ni sheria kandamizi zilizopo na hakwenda nje ya hpo...naona hujanisoma kikubwa nnachokitaka ni kubadilishwa kwa hii sheria ambyo inafanya watu wanakosa haki yao ya uhuru kwa kuendelea kusota ndani, thats all kma hunielewa hutanielewa tena.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo upelelez kutokamilila ipo zaid kukomoa tu halafu hadi ifike hiyo hatua ya committal bas mtuhumiwa ameshasota vyakutosha mahabusu wengine inachukua hadi miaka 3-4 ndio kesi inaanza kusikilizwa au baada ya hapo inakuja acquittal proceedings na kuachiwa huru kwamba hana hatia wkt 4yrs amesota mahabusu hii si sahihi kabisa

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…