Kuwashwa ukeni

Kuwashwa ukeni

Nami nahisi amefanya hivyo hivi hakuna antibiotics naweza tumia?

unawezaje kujua kwamba ni bacteria infection? na ni gram negative au positive?
inaweza ikawa viral au fungal infection; nenda hospitali mficha uchi hazai.

Ila swali la tuko wangapi wewe halikusumbui inaonekana! na hata kawivu ka mbaaalii sioni dalili yake au ni open relationship?
 
Najua wewe ni mwanamke wa ukweli
Nenda kamuone daktari uje utupe matokeo ili wengine wajifunze
 
unawezaje kujua kwamba ni bacteria infection? na ni gram negative au positive?
inaweza ikawa viral au fungal infection; nenda hospitali mficha uchi hazai.

Ila swali la tuko wangapi wewe halikusumbui inaonekana! na hata kawivu ka mbaaalii sioni dalili yake au ni open relationship?

fuata sana ushauri huu wa Kaunga! kweli jf ni hazina.
 
Watu hamuogopi kufa naona,mtu ametoka safari hujui amefanya na wangapi huko mnafikia tu straight na kugegedana hatari sana....na pole yako.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Jamani watu mbona tunajifanya waangalifu sana! Hivi katika hali ya kawaida mpenzi wako ametoka safari utamwabia akapime? Wewe ukitoka safari mke wako akikuambia ukapime utamwelewa kweli?
Huyo mwanaume anajua alichokifanya na anawajibu wa kumlinda mpenzi wake kama alipita kwenye shamba la ----- alipaswa kumlinda mpenzi wake!!
 
unawezaje kujua kwamba ni bacteria infection? na ni gram negative au positive?
inaweza ikawa viral au fungal infection; nenda hospitali mficha uchi hazai.

Ila swali la tuko wangapi wewe halikusumbui inaonekana! na hata kawivu ka mbaaalii sioni dalili yake au ni open relationship?


heheheheh ndugu yangu weee maisha yenyewe mafupi yanini kujipa stress na mtu niliyekutana naye ukubwani? i love my self too much siwezi kujikosesha furaha wala kuusononesha moyo wangu kwaajili ya mwanaume, nilikuja peke yangu duniani, and yes its an open relationship, asante pia kwa ushauri nimepata dawa na everything ziko fine kwa sasa
 
Wanabodi mwenzenu nawashwa sana ukeni ni baada ya kukutana kimwili na mpenzi wangu peku. Nimejaribu kujiswafi na detto ila bado muwasho upo.naomba mnielekeze dawa za kutumia kuondokana na hili tatizo.

kha! unaliwa peku toba yalaaaaaaaaaaaaaa!!! au una allergy ya shahawa
 
heheheheh ndugu yangu weee maisha yenyewe mafupi yanini kujipa stress na mtu niliyekutana naye ukubwani? i love my self too much siwezi kujikosesha furaha wala kuusononesha moyo wangu kwaajili ya mwanaume, nilikuja peke yangu duniani, and yes its an open relationship, asante pia kwa ushauri nimepata dawa na everything ziko fine kwa sasa

Very right!
Please, PM me asap! natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom