Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Nilikuwa na mwanamke alinipost nilimfuata nikamkanya. Hajawahi nipost tena.
Kuna mwingine aliniumiza kihisia sana nikaamua kuachana nae. Kumbe kaumia sana akapost zile status za kujipa moyo ila unajua tu hapa kapata cha moto. Nililijua wala siku view niliona kwa mbali lile duara la status maneno fulani hivi be happy nk. Siku hiyo nimemuacha ndio nilitoa restriction ya kutoona status ili nujue atapost nini. Nilivoona kapost huo upuuzi nikaona case closed. Kumbe kaumia ukichek na me aliniumiza sana.
By the way siangalii status kabsa
Kuna mwingine aliniumiza kihisia sana nikaamua kuachana nae. Kumbe kaumia sana akapost zile status za kujipa moyo ila unajua tu hapa kapata cha moto. Nililijua wala siku view niliona kwa mbali lile duara la status maneno fulani hivi be happy nk. Siku hiyo nimemuacha ndio nilitoa restriction ya kutoona status ili nujue atapost nini. Nilivoona kapost huo upuuzi nikaona case closed. Kumbe kaumia ukichek na me aliniumiza sana.
By the way siangalii status kabsa