Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Ni kama mimi naweza kukaa miezi 3 sijaingia FB ila wasap naingia daily, tatizo nna magroup kama matatu hivi ndo maana naingia mara kwa mara wasap ila FB aisee kwanza siipendi [emoji1787][emoji1787]Sio mbaya kwel ila binafs me sio mtu wa mitandao kiivo nawez kukaa ata siku 3 cjaingia uko whtsp mpk kuna kipind wife ikawa kila akiingia whtsp anakuta ipo vile vile hakuna mabadilik yoyot mpk akanambia "cjui kama cn whtsp nyengin ila nimeificha asijue" [emoji23][emoji23]
Dooh,ama kweli ushamba ni mzigo,Mfano wa meme View attachment 2372105
Sio anatumia gb watsup ana view lakini wewe huoni
Same as facebook - what is on your mind.Uko sahihi ila in this case, (WhatsApp Status) it's more about a person's situation, mood, state of mind, opinion etc.
Hivi Whatsapp Gb unaweza kuipakua huku ukiwa unatumia Whatsapp hii ya kawaida, au lazima Kwanza ufute hii officiallyMimi nimeondoa sehemu ya status (natumia gb whatsapp) kutokana na hali mbaya nayopitia kiuchumi. Kuna watu nina namba zao afu wako vizuri so najiondolea maudhi madogo madogo kama hayo.
Lakini ukiacha hivyo hata kuna kipindi fulani nilikuwa njema lakini nilikuwa naboeka. Mtu anaweka jambo status wakati lilitakiwa mtu afuatwe inbox. Mfano utakuja " Jack mambo yako haya" ukicheki huyo jack humjui. Hasa mimi nione kwa sababu gani.
Btw kuna wengine status zao unafurahia. Ni asilimia ndogo wengine ni [emoji706][emoji706].
Am introvert by the way sipendagi kufuatilia ya watu.
Hivi Whatsapp Gb unaweza kuipakua huku ukiwa unatumia Whatsapp hii ya kawaida, au lazima Kwanza ufute hii officially
exactly, huo ni ukweli kabisa mkuuUgopa Sana MTU anayependa kumtaja taja Mungu, Yesu , Allah, mtume kila mara wengi ni wanafiki Na wachafu vibaya mno
ok, unafanyaje mkuu?, mjukuu wangu hayupo angeniwekea nione ya Dunia babu yakeUkiwa na Duo Phone(Duble Duble line) unaweka fresh tu.
Mimi nina Whatsapp Meta ya Makizubegi na GBWhatsapp ya janikomu zipo kwenye simu moja duble line.
ok, unafanyaje mkuu?, mjukuu wangu hayupo angeniwekea nione ya Dunia babu yake
Avatar yako inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani haina haja ya kueleza unapost nini tuliosomea Cuba tunakua automatically..Mimi mara nyingi naweka status za ujinga ujinga tu
Hivi wale wanaoweka quotes za biblia au quran wanaamini tunazisoma? Maana huwa nazipita kwa kasi ya 5gStatus zina mambo aisee kama mimi huwa nawekaga memes tu.Watu walinisema mpaka wakachoka mi huwa ni memes tu.Sasa kuna wale wa kuwekaga nyimbo za injili mwanzo mwisho na vifungu vya biblia ama mawaidha ya kiislam tu.Lakini nawajuwa ni washenzi kupitiliza.Kuna wengine huwa ni kuweka vijembe mwanzo mwisho kila siku ye vijembe tu[emoji23] kuna wengine wao kuweka maneno ya motivation speaker tu.Yaan status ni tafran sana.
Nakazia.....Kujichoresha tu