Fanya nianze kuona status. βΊοΈβΊοΈβΊοΈIla kiukweli wasioweka weka status mara kwa mara wanajiona/ tunawaona maturity sana π€£
Nimekublock kwa muda, subiri kwanza π€£π€£Fanya nianze kuona status. βΊοΈβΊοΈβΊοΈ
Dah ππNimekublock kwa muda, subiri kwanza π€£π€£
Lia, ukinyamaza usisahu kunywa majiDah ππ
Uliniinspire kununua DoveWateja wangu update wanazipata kupitia status
Sasa anae ona ushamba wakati naingiza pesa nampa pole
Mimi hata kuweka hizo status nilikua sijui na mwezi April ndio nilifundishwa kuweka. Hii kitu inataka mazoea nilijitahidi kuweka kwa kipindi kifupi vyenyewe haiko akilini mwangu mbona nlijikuta naacha [emoji1787]Mwezi mmoja au miwili iliyopita ndio nimejua status Nini, Nilikua najua ndio profile pic.
Na watsup nimeanza kuitumia tangu enzi hizo za Nokia E72(Symbian).
Nadhani Ni addiction mkuu ππππ au hua ni namna ya kisaikolojia ya mtu kuelezea mood yake ya siku hio/Muda huo kwa umma.Wako watu wanaweka status daily naweza sema hii ni addiction, wengine hadi wakikwaruzana wanaweka status aisee ni hatari
Usishangae ni mambo ya preference tu! Mama yeyoo wangu ni mtu wa kuangalia status kila muda kuna muda namwambia Oya hivi huchoki? Anasema anataka kusoma mood za watu kupitia status [emoji1787][emoji1787]Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Emu weka chap basiNoanaga uvivu kuweka statu...
Ngoja nikuweke status...
Ni kweli πUsishangae ni mambo ya preference tu! Mama yeyoo wangu ni mtu wa kuangalia status kila muda kuna muda namwambia Oya hivi huchoki? Anasema anataka kusoma mood za watu kupitia status [emoji1787][emoji1787]
Kingine naona ni kama show off wabongo tunapenda kuvimbiana. [emoji1787][emoji1787]Nadhani Ni addiction mkuu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] au hua ni namna ya kisaikolojia ya mtu kuelezea mood yake ya siku hio/Muda huo kwa umma.
Naandika anatafutwa katoroka...Emu weka chap basi