Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Nitumie namba yako nianze kupitia status zetu tuburudishane mpendwa.Ni kweli 😅
Zinafurahisha kwa kweli… Tuendelee kuburudishana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie namba yako nianze kupitia status zetu tuburudishane mpendwa.Ni kweli 😅
Zinafurahisha kwa kweli… Tuendelee kuburudishana tu
Huo ni ukale mcheki Mo dewji yupo active sana kwenye mitandao ya kijamii wanaosema hivo ni wale vijiba roho.
Kuna wale daily wanaweka status kama mataruma ya reli… sifungui unless uwe unawekaga memes.
Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Hata zile video za Tiktok ni pacha wake anarecord sio yeyeUyo kaajiri watu wanaendesha akaunti zake yeye mwenyewe hana muda wa kushinda mitandaoni
Unasema wewe hilo weweUyo kaajiri watu wanaendesha akaunti zake yeye mwenyewe hana muda wa kushinda mitandaoni
Naomba kuona status yako.Hata zile video za Tiktok ni pacha wake anarecord sio yeye
ShikamoMimi siweki sana.. ila nikiamuaa ni bandika bandua, memes twende, video snaps twende, mistari ya bible twende.. yan vurugu tu..
Sorry mkuu, nadhani hio ya mkeo na watu wa dizaini hio inakua Ni 'mental retardation Case'.Me siweki status labda siku moja moja kwel yaan na wala cn kawaid ya kuangalia status za watu labda wachqlache san hawazidi at 5 ili suala la status kila siku nagomban na wife anatak nimuweke status kwa lazima huwa anafikia hatua mpk anasema simpendi kisa simuweki status 😂 kuna kipindi alikua anavizia nimelala anachukua cm yng na kujipost kwa status yng 😂 nikaona huu ujinga nikaifutilia mbali app ya whtsp ivi leo anaenda harusin kwa shoga yake uko tangu jana wimbo ni uwo tu anambia "kwa atakavyopendez leo nisipomuweka status tutagombana" 😀 simuweki nasubir tuje tugombane😁
Najua.. ila yule najua ana IphoneWengine wana view kwa Siri Kama hujui Ndio nakwambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni muongoMe siweki status labda siku moja moja kwel yaan na wala cn kawaid ya kuangalia status za watu labda wachache san hawazidi at 5 ili suala la status kila siku nagomban na wife anatak nimuweke status kwa lazima huwa anafikia hatua mpk anasema simpendi kisa simuweki status [emoji23] kuna kipindi alikua anavizia nimelala anachukua cm yng na kujipost kwa status yng [emoji23] nikaona huu ujinga nikaifutilia mbali app ya whtsp ivi leo anaenda harusin kwa shoga yake uko tangu jana wimbo ni uwo tu anambia "kwa atakavyopendez leo nisipomuweka status tutagombana" [emoji3] simuweki nasubir tuje tugombane[emoji16]
Nakubali mkuu maana imefikia hatua ata anunue chochot kwa hela yake ataweka status na kunishukur me mume kama ndo nimemnunulia vile utasikia "Asante mume wng kwa zawadi hii" 😂 mawifi wakiona inakua jau coz uku unakuta nishaombwa hela na kwa mda uwo inakua sinayo bc inakua kama naonekan stak tu kutoa iyo hela 😂Sorry mkuu, nadhani hio ya mkeo na watu wa dizaini hio inakua Ni 'mental retardation Case'.
Sas niseme uwongo kwa faida gan ? Na jambo gan labda limekufanya unione muongo?Wewe ni muongo
Nimecheka sana mkuu wewe sio smart [emoji1787]Kwamba mtu smart ni yule anaeweka mistari ya bibilia na picha za Yesu?