Kuweka mlango wa mbao wa mbele bila kuweka mlango wa grill ikoje kiusalama?

Kuweka mlango wa mbao wa mbele bila kuweka mlango wa grill ikoje kiusalama?

Scrum Master

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2021
Posts
243
Reaction score
424
Naona inapendeza sana mlango wa mbao wa mbele bila grill. Kwa ambao mna uzoefu wa aina hiyo ya mlango mnanishauri nini. Kiusalama ikoje?

Screenshot_20220803-184500_Instagram.jpg
 
Nenda kwa mafundi tenengeza mlango kwa mbao strong, ukiweza chomeka nondo katikati ya mbao zako zinazo tengeneza huo mlango kisha weka kitasa kinachofunga sehem tatu Yaan juu chini na katikati. Ukishafanya hivyo wala huitaji grili. Nipo najenga nyumba yangu sasaiv wala sina mpango wa kuweka grili. Grili ni ujinga tu kila Nyumba Ina grili mambo ya kuiagana tu.
 
Nenda kwa mafundi tenengeza mlango kwa mbao strong, ukiweza chomeka nondo katikati ya mbao zako zinazo tengeneza huo mlango kisha weka kitasa kinachofunga sehem tatu Yaan juu chini na katikati. Ukishafanya hivyo wala huitaji grili. Nipo najenga nyumba yangu sasaiv wala sina mpango wa kuweka grili. Grili ni ujinga tu kila Nyumba Ina grili mambo ya kuiagana tu.
Kiukweli sipendi grill basi tu.
Mbao ina mvute wake kiukweli.
 
Naona inapendeza sana mlango wa mbao wa mbele bila grill. Kwa ambao mna uzoefu wa aina hiyo ya mlango mnanishauri nini. Kiusalama ikoje?

View attachment 2313105

Utoe kabisa weka playwood paka vanish sending siler changanya na clear iki uonekane flash door ,
Faida zake ;ni bei rahisi,siku ukipoteza funguo unavunja kwa bisibis, usiju ukiwa umelala mtu akiugusa tuu unatoa mlio kukualati kuwa kuna adui.
Onyo:ukishauweka hakikisha ndani huweki vitu vya gharama ili kuepuka mchwa
 
When Push comes to Shove hata ukuta mtu anabomoa..., labda kumchelewesha kibaka (lakini CCTV, Alarm n.k. bado inaweza ikakustua ukamsikia kibaka)

Tunakoelekea cash ni digital...., TV na Radio, fridge na jiko Used sio market kivile hata mtu akiingia ndani aibe nini..., Ndio maana nchi kama UK hata madirisha ni Double Grazing tu (Vioo) hakuna hata nondo..., ukiingia utaiba nini Wall Paper ?, Labda kwenye nyumba ya kina Salah au Ronaldo ndio utakua designers stuffs ili uibe, nyingine ni kujichosha tu bora uende sunday market ukatafute bargains...
 
Hiyo milango inapendeza iwekwe kwenye nyumba ambazo hata fence sio ndefu. Ukiweka huo mlango halafu fence inakuwa ndefu inakuwa haina mvuto.
Pia wezi wa kibongo wakiingia ndani wakikosa cha kuchukua lazima wakuachie maumivu. Bora kumchelewesha ili kujipanga.
Ingawa hamna kupangiana kila mmoja afanye kile anachokiona kiko sawa kwake.
 
When Push comes to Shove hata ukuta mtu anabomoa..., labda kumchelewesha kibaka (lakini CCTV, Alarm n.k. bado inaweza ikakustua ukamsikia kibaka)

Tunakoelekea cash ni digital...., TV na Radio, fridge na jiko Used sio market kivile hata mtu akiingia ndani aibe nini..., Ndio maana nchi kama UK hata madirisha ni Double Grazing tu (Vioo) hakuna hata nondo..., ukiingia utaiba nini Wall Paper ?, Labda kwenye nyumba ya kina Salah au Ronaldo ndio utakua designers stuffs ili uibe, nyingine ni kujichosha tu bora uende sunday market ukatafute bargains...
This is Tanzaniaaaaaaaaaaaaaa-Bugatti
 
Kuna milango niliona inatengenezwa Kariakoo gerezani.
Ndani inakuwa alminium ngumu na frame za mlango ni aluminum ngumu. Sikumbuki kama katikati wanaweka nondo ila wakimaliza wanaupaka rangi unaonekana kama mbao.
Akija kaka jambazi lazima atoe hewa wakati anahangaika kuuvunja na mwisho ataenda lalama mbele ya safari yule mwenyenyumba mchawi....!😅😅

466B3725-14BC-4E71-A892-D06C412B1DEC.jpeg
2FF4F45B-75E1-45D9-9F28-6CED01FBFC26.jpeg


Sample.
 
Back
Top Bottom