ni ushaur mzuri sana na wakueleweka mkuu hebu jalibu kuufanyia kaz huuKatika kuwekeza kuna mambo makuu mawili:-
Muda na Mtaji.., wengi huwa wanaangalia mtaji tu lakini muda nao una nafasi yake kubwa sana.., sasa kama na muda pia hauna hii inaweza ikaleta shida kidogo
Ila kwa bahati kubwa nchi zinazoendelea labor cost ni ndogo sana.., ila tatizo la kumweka mtu akufanyie biashara yenye mtaji mdogo (mfano kuuza maji / barafu / uji /matunda au kusambaza chakula) ni rahisi sana huyo mtu baada ya kufanya kwa muda mfupi akakugeuka na yeye akaanza kufanya kile kile kwa wateja wale wale ukizingatia mtaji wake ni mdogo.., unless otherwise ni ndugu au mke wako.
Pia kama muda unao unaweza ukaanza biashara kwa mali kauli, kama wewe ni muaminifu unakwenda kwa mwenye mali unamwambia akupe mali na ukishauza ndio utamlipa. Au kwa watu wenye knowledge fulani kama mwalimu n.k. wanaweza kutengeneza study materials na kuziuza bila kuwa na kianzio cha pesa.
Hivyo basi utaona kwamba issue kubwa hapo huenda isiwe una kiasi gani cha pesa bali ni shughuli gani unaweza kuifanya na kwa kuwekeza muda wako kiasi gani. (Ukizingatia biashara za Bongo ni za kuigana igana na za msimu kwahio inahitaji sana ku-manage muda wako na kuuwekeza vizuri)
Habar wakuu.
chonde naomben msaada wa mawazo yenu(tafadhali) nina Tsh 50000 nashindwa niwekeze vipi niko mazingira ya town ila sina muda wa kufanya kiinshu kingine kwa mm mwenyewe kulingna na kazi ninayofanya.
naogopa kuipoteza kwani nimeipata kwa jasho sana.
Heshima kwenu
Wekeza na tigo.
Mkuu EVARM elfu 50 itaweza kutosha kwa mtaji wa chakula kwel.
wacwac yngu ka haitatosha vile.
ila mnanifumbua macho kwel wakuu wangu.
big up sana...
unamaanisha million 50,000?
Ukipika kilo 4 za mchele maharage kilo 1 nyama kilo 1 mboga za majani za 5000 vitu vidogo ( nyanya vitunguu nk ) vya 10000 mkaa 3000. Pika kabisa nenda kituo cha daladala mchana utauza hutakosa faida ya 20_25. ikiwezekana tafuta mdada akusaidie ukimpa 5000 kwa siku sio mbaya
unamaanisha million 50,000?
Unekuwa una muda wa kutosha na huogopi kuchafuka ningekushauri usome post za biasha 2000 kuhusu biashara ya mkaa
nawe ungeweza kuanza na mtaji wa hata TSH 5000/=
Habar wakuu.
chonde naomben msaada wa mawazo yenu(tafadhali) nina Tsh 50000 nashindwa niwekeze vipi niko mazingira ya town ila sina muda wa kufanya kiinshu kingine kwa mm mwenyewe kulingna na kazi ninayofanya.
naogopa kuipoteza kwani nimeipata kwa jasho sana.
Heshima kwenu
Sio kwa sababu awareness kuhusu entrepreneurship imekua kubwa sana TZ.....ndo kila afikirie ku-invest hata kama hana mtaji wa kutosha....kiukweli kwa hiyo tsh.50,000/= ni bora uitunze na udundulize mpaka atleast ifike tsh.500,000/= ndo ufikirie ku-invest but ukifikiria sasa hivi ku-investvkwa hiyo pesa utakuavunajidanganya tu na biashara utakayofanyavitakua ya kupoteza muda tu