Kuweni makini na huyu mtu

Ukielezea tu bila kujimwambafwai kuwa "ooh nina kitu ambacho ninyi hamna-INTELLIGENCE" inatosha.

Intelligence hupimwa na wataalam au AI kwa viwango na mtu hajisifu.
 
Unamzungumzia yule alikuwa Mhasibu wao enzi za JK, Mlugulu yule alikuwa ana pesa chafu za madili, alipigwa Risasi za kutosha na hadi leo waliomuua hawajulikani
Ile sio kazi ya kutamani, inafaa kuwa wito. Ukienda kwa kutamani wata ku eliminate tu.. mie mwenyewe ningekuwaga huko najua kifo au kufukuzwa kungenihusu 😀😀
 
Ukielezea tu bila kujimwambafwai kuwa "ooh nina kitu ambacho ninyi hamna-INTELLIGENCE" inatosha.

Intelligence hupimwa na wataalam au AI kwa viwango na mtu hajisifu.
Haujawahi pita mikonini mwa Chahali kwani ? Au unachoma madaraja baada ya kuvuka ?
 
muandiko wako mkuu ni exactly na wa jamaa mmoja kwenye mtandao maarufu duniani
 
Juu ya diwan,wapo wanne na ambao yeye mwenyewe hawajui na hawaripoti kwake..na hawapo nchini....
Mmmh, si mchezo kn code ya mji hapo ,kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…