Kuweni makini na huyu mtu

Kuweni makini na huyu mtu

Inawezekana unachosema. Ila kwanini wamekimbia kutoa taarifa ? Ndipo napopata mashaka nao, kwasababu wote wanataka ku prove kwamba ni bora na kuonesha matundu ya system.. ina indicate kuna kitu na kwao hakipo sawa, na hata wanafunzi wao walio waacha ni hivyo, like father like son.. ingawa haiwork 100%
in my own opinion sidhani kama wanashindana. however ninachoona ni scope ya malengo yao.
mmoja ni real activist.. mwingine anafanya kwa manufaa yake.
huyu real activist hayuko mwenyewe. and probably yuko deep within taasis yenyewe. na ana team yake.
mwingine hana access na deep informations
 
in my own opinion sidhani kama wanashindana. however ninachoona ni scope ya malengo yao.
mmoja ni real activist.. mwingine anafanya kwa manufaa yake.
huyu real activist hayuko mwenyewe. and probably yuko deep within taasis yenyewe. na ana team yake.
mwingine hana access na deep informations
Na ndio ilivyo.
 
Yupo mmoja huko nyuma alipewa onyo la kunadili mwenendo wake juu ya mambo matatu aliyokuwa akiyaratibu..
Na wala hakunjua onyo lile limetoka wapi akaanza kufatilia lilikotoka..akapewa la pili na la tatu..kisha maamuzi yakafanyika toka gaboroune room 103..aliishia kula risas 14...
Wanaojua beacon za nchi hii sio diwan wala magifuli
Deep state! Hii nchi ime train manguli waliosambaa nchi kibao za Africa! Labda bado chain of commands ipo (nje ya mfumo) na ndio wanao run nchi!

BTW, thanks for coming one of top JF respected member.
 
Chahali au?

Usimuamini mtu yeyote..jiamini mwenyewe hata huyo kigogo watu wanaomsema ni wale wale..
Sasa wewe unataka umwamini ili iweje,taarifa yoyote huanza kama speculation na badaye huthibitishwa at least yeye 70% zinathibitika badaye.
 
Atakuwa Chahali huyo... kwa great thinker huwez pata tabu kutambua ukweli wa ulichoandika. Ukipitia vizur tweet zake utajua kwamba bado ni mtu wa system.
 
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Kiongozi kigogo2014 sio mtu mmoja. Actually ni alias yenye watu wengi nyuma ila hawazidi 10. They are very smart and they know very much what they do. Be careful unapo process taarifa za kigogo.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Yupo mmoja huko nyuma alipewa onyo la kunadili mwenendo wake juu ya mambo matatu aliyokuwa akiyaratibu..
Na wala hakunjua onyo lile limetoka wapi akaanza kufatilia lilikotoka..akapewa la pili na la tatu..kisha maamuzi yakafanyika toka gaboroune room 103..aliishia kula risas 14...
Wanaojua beacon za nchi hii sio diwan wala magifuli
Interesting
 
Yupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.
Watu wa aina pia hujulikana kama TRAPERS aka Ndoano. Wanarusha Ndoano yenye chambo ili kunasa wajinga.
 
Tatizo hamtumii akili. Mnawaona Watanzania maf*la. Muda huu watu wanataka kufahamu Jiwe yu hai au la nyie mnaleta porojo zenu. Mmewalisha watu matango pori kwa stori za kutengenezwa na TISS kuwa Jiwe yupo Nairobi mara yupo India, na sasa mnatafuta pa kutokea.

Mngekuwa na akili nzuri mngesubiri hili jambo kubwa lipite ndo mhangaike nami, maana jitihada zenu kwa sasa zinawaumbua tu - wenye akili wanajiuliza "ah mbona hawa wanamwandama huyu anayejibidiisha kutufahamisha kinachoendelea chini ya kapeti"? Tatizo mmejipa hatimiliki ya ukweli, mnapokosa cha kudanganya watu basi kila anayeeleza ukweli anakuwa mbaya wenu. Acheni kutumika.

Pia kwa taarifa tu, Kitengo kimefanya bidii endelevu dhidi yangu kwa miaka lukuki lakini hawajafanikiwa. Musiba nae kahangaika mno lakini ndo kwanza ananiongezea followers. Nina kitu ambacho ninyi hamna: INTELLIGENCE.
Ume block kila mtu.

Mshamba sana we jamaa.
 
Back
Top Bottom