Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
in my own opinion sidhani kama wanashindana. however ninachoona ni scope ya malengo yao.Inawezekana unachosema. Ila kwanini wamekimbia kutoa taarifa ? Ndipo napopata mashaka nao, kwasababu wote wanataka ku prove kwamba ni bora na kuonesha matundu ya system.. ina indicate kuna kitu na kwao hakipo sawa, na hata wanafunzi wao walio waacha ni hivyo, like father like son.. ingawa haiwork 100%
mmoja ni real activist.. mwingine anafanya kwa manufaa yake.
huyu real activist hayuko mwenyewe. and probably yuko deep within taasis yenyewe. na ana team yake.
mwingine hana access na deep informations