Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)

Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo.

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.

Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother.

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story.

Sasa huwa nagawa sana Sukari, Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa kuna Watu wapo mtaani wana shida.

Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k

Sasa kilichofanyika nini?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10. Wakakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela.

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli.

Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police. Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia.

Hapo hapo nikaondoka.

Natoa somo: Usithubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto, mzee, kijana au Bibi.

Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo.

Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)


Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo .

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.


Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother .

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story .

Sasa huwa nagawa sana Sukari ,Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa. Kuna. Watu wapo mtaani wana shida.


Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 , na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula bites n.k


Sasa kilichofanyika nini ?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10


Wakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela .

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli .



Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police

Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia .



Hapo hapo nikaondoka


natoa somo


Usisuthubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto , mzee ,kijana au Bibi.


Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo .


Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
Nimecheka lakini inaudhi sana... hao jirani zako ni masikini wa akili na mwili.... afu hiyo kitu mbaya sana... heri uwe masikini wa mwili lakini sio akili....
 
Hapana kwa hili, Nina imani mtaani kwako bado wapo wenye uhitaji zaidi ya hao wamama.

Kuna wajane, wazee na wagonjwa, Endelea kutoa msaada, Ila jiwekee mipaka kulingana hili lilojitokeza, Hakika Mungu atakuongezea.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)


Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo .

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.


Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother .

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story .

Sasa huwa nagawa sana Sukari ,Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa. Kuna. Watu wapo mtaani wana shida.


Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 , na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k


Sasa kilichofanyika nini ?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10


Wakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela .

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli .



Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police

Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia .



Hapo hapo nikaondoka


natoa somo


Usisuthubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto , mzee ,kijana au Bibi.


Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo .


Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
Alafu Singo Mama wa zama hizi wanawafundisha Binti zao juu ya Roho mbaya sana na chuki kumuhusu Mwanaume.
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)


Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo .

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.


Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother .

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story .

Sasa huwa nagawa sana Sukari ,Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa. Kuna. Watu wapo mtaani wana shida.


Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 , na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k


Sasa kilichofanyika nini ?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10


Wakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela .

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli .



Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police

Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia .



Hapo hapo nikaondoka


natoa somo


Usisuthubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto , mzee ,kijana au Bibi.


Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo .


Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
Kwani we ni shirika la msaada RedCross kwanini utowe sukali cumvu kwa watoto wadogo, kwani usipeleke sadaka yako kanisani? Mambo mengine ni kujitafutia bure........
 
Mimi nilikuwa natoa kwa hao s.Mama na sio watoto
Kwani wewe ni serekali unajifanya unawapenda kuliko walio wazalisha watoto hicho ni kiherehere, utarogwa bure huo ukarimu wako bora ufungua shirika la msaada mtaani kwako ili uapate watu sahihi.
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)


Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo .

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.


Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother .

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story .

Sasa huwa nagawa sana Sukari ,Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa. Kuna. Watu wapo mtaani wana shida.


Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 , na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k


Sasa kilichofanyika nini ?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10


Wakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela .

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli .



Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police

Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia .



Hapo hapo nikaondoka


natoa somo


Usisuthubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto , mzee ,kijana au Bibi.


Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo .


Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
Woman = Death
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)


Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo .

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.


Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother .

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story .

Sasa huwa nagawa sana Sukari ,Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa. Kuna. Watu wapo mtaani wana shida.


Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 , na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k


Sasa kilichofanyika nini ?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10


Wakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela .

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli .



Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police

Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia .



Hapo hapo nikaondoka


natoa somo


Usisuthubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto , mzee ,kijana au Bibi.


Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo .


Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
NAKUELEWA
 
Back
Top Bottom