Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

Mkuu sidhani Kama wote wana mienendo mibovu, wapo baadhi Wana jiheshimu na wana heshimu wengine.

Huu uzi ume andika kikatili sana
 
Mkuu

Ume complicate sana mambo!
Kwa uelewa wako ungegundua no umaskini plus akili finyu plus kukata tamaa ndicho wanachopitia hao!!

SINGLE MOTHERS SIO WABAYA KAMA MNAVYOWAONA,WAPO KIBAO HAPA KITAA AND ARE GOOD!!

Endelea kusaidia tu halafu kuwa busy na mambo yako!!

Kansas. Pekee inayowatafuna wanawake wote no moja TU "hawajui kuishi mafanikio"wanapopata ahueni ubinafsi unawaingia!!sio kama sisi men!namshukuru mungu sana mentality tuliyopewa sisi Men!
 
Sisi makontawa tulishatoa onyo kabla hukusikia baada ya kunusurika kuuwawa na wewe unarudi tena kutushauri makontawa kweli?

Ilitakiwa urudi na kusema Kweli Makontawa mpo sahihi na siyo kuja kutuonya.
 
Kutoa msaada regardless unautoa kwa nani sio vibaya.

Ubaya ni kuwa anaeupokea msaada huwa anakuona kama fursa sasa ya yeye kutoboa kimaisha.

Ukiwa mwema sana, watu wanakuchukulia poa wanakuona boya fulani. Tenda wema nenda zako. Usitende wema ili ulipwe ule wema.
 
Sawa, ila sijaelewa hiyo point ya kuwakataa single mothers ilipo kutokana na hy mada.
 
Hapana kwa hili, Nina imani mtaani kwako bado wapo wenye uhitaji zaidi ya hao wamama.

Kuna wajane, wazee na wagonjwa, Endelea kutoa msaada, Ila jiwekee mipaka kulingana hili lilojitokeza, Hakika Mungu atakuongezea.
Utaambiwa unataka kuwatoa kafara mkuu
 
Unajiuza kuwauzia wengine🤔upumbavu.

Masingo mama nao wapo kimya tu.

Huu sio uungwana hata kidogo😂
 
Wewe hujitambui,,,, mazoea mazoea na hao wamama unatoa wapi ? Acha mazoea kabisa ! Mm naweza hamia sehem nakaa hadi miez 6 sina mazoea na mtu ama mtu kunifahamu hata jina,,,, sana sana watajua tu huyu mtu anaishi nyumba ile bas!
 
Wakuu habari.

Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail)

Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani.

Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo.

Mimi Kazi zangu zinanipa Sana Muda maana Mimi ni kiongozi wa kutoa maelekezo.

Sasa Mtaani ninapokaa kuna wale wanawake wanaitwa Single mother.

Yupo mmoja tumezoena kiasi Ila sio kukaa kupiga story.

Sasa huwa nagawa sana Sukari, Mchele na mambo madogo madogo Kwa hawa single Mama huwa sioni umuhimu wa kutoa Vitu Kwa watu wa mbali aliyakuwa kuna Watu wapo mtaani wana shida.

Sasa juzi Kati hapa

Huyo single Mama mmoja na mwenzake (Shosti yake) walinikuta nagawa sukari Kama kilo 10 na kumnunulia mwanae vitu vidogo Vya kula baiti n.k

Sasa kilichofanyika nini?

Wale wa mama walipata jealous kubwa walimfata yule single mama wakamwambia Mimi nina mazoea yaliyopitiliza na mwanae wa kike ambaye Kwa umri anaweza Kuwa na miaka 8-10. Wakakaa kikao -then wakawaza Sana ni namna gani watanipiga hela.

Yule mama wa mtoto ambaye nilimpa sukari na hao wanawake wengine masingo mama wakampanga yule na wakaja kwangu kujifanya wanamkandia rafiki yao kuwa analalamika why nina mazoea na mwanae wa kike mdogo kitu ambacho sio kweli.

Kitu nilichofanya niliwaambia mmeshawahi kulala police. Wakasema hapana nikawaambia endeleeni kuujaribu moto mtaambiana Kama mmejiandaa kwenda kuishi magereza na watoto wenu endeleeni kunifatilia.

Hapo hapo nikaondoka.

Natoa somo: Usithubutu kumsaidia masikini yoyote Mtaani kwako

Jaribu kukaa mbali na single mothers

Hakikisha Mtaani kwako hauna mazoea yoyote na mtu awe mtoto, mzee, kijana au Bibi.

Ukitaka kusaidia nenda katika sehemu special za kutoa msaada Kama kwenye vituo.

Single mothers ni watu waliochafuka roho , yaani anaweza kukutengenezea trap ukajikuta upo sehemu mbaya Mimi kilichonisaidia ni kuwa nina Maarifa ya kudukua akili ya mtu na kujua anawaza nini kuhusu Mimi.
Nljua nn sijui nmewaste katime kangu
 
📌📌📌UMASIKINI NI LAAANAAA,KAA MBALI NA MASIKINI WATAKUPONZA!!!

📌📌📌MASINGO MAZA NI LAANA,USIWAKARIBIE UTAPITEA!!!
 
Wakati mwingine tunawalaumu watu waliofanikiwa wapo smart sana wanaweka mipaka hawataki mazoea kumbe ni kwaajili ya kujilinda
 
Matajiri wanapeana mbinu za uchoyo ku balance utajiri wao.


Nakazia,
Hatusaidii mtu kwa mitaa yetu.
 
Back
Top Bottom