ivan1212
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 932
- 2,441
Habarini wana jamvi. Naamini mko salama kabisa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Naandika uzi huu kuwakumbusha tu muishi nao kwa akili na pia umakini na kufatilia mambo kwa hawa wake zenu.
Leo katika harakati zangu za kutoa genyerh mwilini katika hoteli flani ivi nikapishana na mke wa mtu ninaemfahamu kabisa akiwa ndo anaingia chumbani kwa hiyo hotel na kijana mdogo tu kiumri na hata kimwili. Hata hivyo hakuweza kunifahamu sura kwasababu nilikuwa nimevaa barakoa(si unajua tena ili kujikinga na hili balaa la uviko-19).
Hii ilinifanya nimuwaze familia aliyoiacha nyumbani, na apo unakuta mme wake ameshadanganywa kwahiyo ame relax tu hana shida. Ikabidi niendelee zangu na safari maana huwezi jua mahusiano yakoje baina ya watu wawili au kuhukumu mahusiano ya watu.
Wanaume waliooa jitahidini kufanya chochote juu ya uwezo wenu ili wake zenu msichapiwe. Na sisi wengine huku tuwe makini tuwapo na mali za watu jamani, msije baadae mkaanza kujutia.
#bemaskedbesafe
Naandika uzi huu kuwakumbusha tu muishi nao kwa akili na pia umakini na kufatilia mambo kwa hawa wake zenu.
Leo katika harakati zangu za kutoa genyerh mwilini katika hoteli flani ivi nikapishana na mke wa mtu ninaemfahamu kabisa akiwa ndo anaingia chumbani kwa hiyo hotel na kijana mdogo tu kiumri na hata kimwili. Hata hivyo hakuweza kunifahamu sura kwasababu nilikuwa nimevaa barakoa(si unajua tena ili kujikinga na hili balaa la uviko-19).
Hii ilinifanya nimuwaze familia aliyoiacha nyumbani, na apo unakuta mme wake ameshadanganywa kwahiyo ame relax tu hana shida. Ikabidi niendelee zangu na safari maana huwezi jua mahusiano yakoje baina ya watu wawili au kuhukumu mahusiano ya watu.
Wanaume waliooa jitahidini kufanya chochote juu ya uwezo wenu ili wake zenu msichapiwe. Na sisi wengine huku tuwe makini tuwapo na mali za watu jamani, msije baadae mkaanza kujutia.
#bemaskedbesafe