[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537]mwanna kulifind mwana kuligetNikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!..
Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku yesu aliyosema atarudi!..
Sikiliza nawe inavyosound..
Mwanakulisaka mwanakulinyakaNikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!..
Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku yesu aliyosema atarudi!..
Sikiliza nawe inavyosound..
Una bahati ningekua m'dingi ako wala sihangaiki nakuhamishia tu karibu na ......................... Ili ujue kwann hawapendi kun....ni.Tete kuwanga mkubwa we..π
Sio kosa langu' si ndo maana ukapigwa banzi tatizo ndo hapo lilipoanzia uelewa tu.π Hata sijaelewa