Kuweni makini nyimbo nyengine haziimbwi hovyo,nilichezea banzi!!.

Kuweni makini nyimbo nyengine haziimbwi hovyo,nilichezea banzi!!.

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Nikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!..
Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku yesu aliyosema atarudi!..

Sikiliza nawe inavyosound..
 

Attachments

Nikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!..
Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku yesu aliyosema atarudi!..

Sikiliza nawe inavyosound..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537]mwanna kulifind mwana kuliget
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537][emoji1537]mwanna kulifind mwana kuliget
Nyimbo za lugha isiyoyako ziheshimiwe ndugu ua uziimbe kwenye lika lako alasivyo utachezea kibano cha mbwa Koko.. 😜
 
Nikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu maana kwa ule mmbanzi mpk wageni ilibidi waage tu!..
Lilitua banzi la shingo nikahisi leo ndo ile siku yesu aliyosema atarudi!..

Sikiliza nawe inavyosound..
Mwanakulisaka mwanakulinyaka
 
Kwel hukuonewa mkuu na bahati yako baada ya wageni kuondoka ndo ungeelewa kwann mbwa hujengewa banda lake.
 
Una bahati ningekua m'dingi ako wala sihangaiki nakuhamishia tu karibu na ......................... Ili ujue kwann hawapendi kun....ni.
🙄 Hata sijaelewa
 
Back
Top Bottom