Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 kwa Watumishi wa Serikali, baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi

Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 kwa Watumishi wa Serikali, baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi

Moaz

Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
88
Reaction score
127
Kutokana na uongezeko la wasomi nchini imefika wakati sasa kungekuwa na mikataba kwa watumishi wa Serikali. Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi ambao kama ni wa kuridhisha katika kiwango ambacho kimeweka anaweza akaongeza mkataba mwingine huku akipanda ngazi na mwisho wa kuongeza mkataba katika eneo la kazi ni miaka 10 kwa maana kusiwe na Mtumishi akafanya kazi mahala kwa miaka zaidi ya 20.

Kwa watumishi ambao watakuwa hawajafika viwango stahiki hawataongezewa mikataba hivo kuweka nafasi wazi kwa ambao hawana ajira kuweza kupata kazi. Hii itasaidia kuongeza ufanisi na uwajibikaji makazini. Serikali itakuwa na kazi kubwa kusimamia uwajibikaji pasina kwa na presha kwa kuwa Mtumishi mzembe hatuweza kuongezewa mkataba.

Swala la watumishi kuwa na ukomo mpaka kustaafu kunatengeneza Watumishi ambao sio wawajibikaji ni muda sasa wa kuwa na mabadiliko kila baada ya miaka 2. Angalau kila Mwananchi aweze kuitumikia nchi. Nafikiri kama kutakuwa na utaratibu huu hakika itapunguza hili swala la kila Mwananchi kuamini katika kuajiriwa kwasababu ajira zitakosa huo ulinzi hivo kila mwananchi atakuwa na jukumu la kujitengenezea ustawi wake kwa kufikiria nje ya Box.

Watumishi watapunguza kuiba maana nchi yetu Watumishi wa serikalini ndio wanaongoza kuiba kuanzia juu mpaka chini kiasi imekuwa kama utaratibu wa kuwa Mwizi ndio kujiongeza. Kila mtumishi awe na miaka 2 akiiba hana ajira pamoja na taarifa ya wizi wake kiasi akisema aombe ajira sehemu nyingine hii sifa inakuwa sehemu ya CV yake kwamba alishawahi kuiba. Nafikiri hii inaweza kuleta mtazamo mpya nchini katika hii Karne ya 21. Ni muda sasa wa Kuivunja hii Security wanayoipata watumishi wa Serikali kwa kuwa ina hasara nyingi sana kuliko faida katika hii Karne ya 21.
 
Mbona wana Mikataba kabisa?

Kuna mikataba ya aina mbili katika Utumishi, Wa Kudumu na usio wa kudumu (Wa Kurenew)

Haiwezekani Mtumishi wa Umma umpe huo mkataba wa Temporary

Na akipewa wa kudumu akizingua kuna mamlaka ya kumuadhibu?...hata katika Ualimu hiyo mamlaka ipo
 
Kutokana na uongezeko la wasomi nchini imefika wakati sasa kungekuwa na mikataba kwa watumishi wa Serikali. Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi ambao kama ni wa kuridhisha katika kiwango ambacho kimeweka anaweza akaongeza mkataba mwingine huku akipanda ngazi na mwisho wa kuongeza mkataba katika eneo la kazi ni miaka 10 kwa maana kusiwe na Mtumishi akafanya kazi mahala kwa miaka zaidi ya 20. Kwa watumishi ambao watakuwa hawajafika viwango stahiki hawataongezewa mikataba hivo kuweka nafasi wazi kwa ambao hawana ajira kuweza kupata kazi. Hii itasaidia kuongeza ufanisi na uwajibikaji makazini. Serikali itakuwa na kazi kubwa kusimamia uwajibikaji pasina kwa na presha kwa kuwa Mtumishi mzembe hatuweza kuongezewa mkataba. Swala la watumishi kuwa na ukomo mpaka kustaafu kunatengeneza Watumishi ambao sio wawajibikaji ni muda sasa wa kuwa na mabadiliko kila baada ya miaka 2. Angalau kila Mwananchi aweze kuitumikia nchi. Nafikiri kama kutakuwa na utaratibu huu hakika itapunguza hili swala la kila Mwananchi kuamini katika kuajiriwa kwasababu ajira zitakosa huo ulinzi hivo kila mwananchi atakuwa na jukumu la kujitengenezea ustawi wake kwa kufikiria nje ya Box. Watumishi watapunguza kuiba maana nchi yetu Watumishi wa serikalini ndio wanaongoza kuiba kuanzia juu mpaka chini kiasi imekuwa kama utaratibu wa kuwa Mwizi ndio kujiongeza. Kila mtumishi awe na miaka 2 akiiba hana ajira pamoja na taarifa ya wizi wake kiasi akisema aombe ajira sehemu nyingine hii sifa inakuwa sehemu ya CV yake kwamba alishawahi kuiba. Nafikiri hii inaweza kuleta mtazamo mpya nchini katika hii Karne ya 21. Ni muda sasa wa Kuivunja hii Security wanayoipata watumishi wa Serikali kwa kuwa ina hasara nyingi sana kuliko faida katika hii Karne ya 21.
havisomeki, boresome and not friendly to read.

Kwahiyo unasema ili kila mmoja aweze kuajiliwa at some tme kuwa na mikataba. Mkataba ukiisha anaajiliwa mwingine . It seems huna ajira! au nakosea?
 
Kuna hasara nyingi kuliko faida ya wasio na ajira kutamani kuajiriwa.Kama ajira/kuajiriwa ni changamoto,imekosekana njia mbadala ya kuokoa jahazi?Kwani issue ni nini hasa?
1-Kuajiriwa AU
2-Kuwa na uhakika wa maisha endelevu,imara,yenye kipato imara na furaha?
 
havisomeki, boresome and not friendly to read.

Kwahiyo unasema ili kila mmoja aweze kuajiliwa at some tme kuwa na mikataba. Mkataba ukiisha anaajiliwa mwingine . It seems huna ajira! au nakosea?
Ameshindwa kupangilia hoja alizonazo kichwani kwa kuandika.Kuandika unachukua muda na unapata nafasi ya kuhariri ukitakacho.Vipi kama angepewa prompt speech aserereke?Kujieleza kwa umakini na umahiri bado ni changamoto nchini.
 
Kutokana na uongezeko la wasomi nchini imefika wakati sasa kungekuwa na mikataba kwa watumishi wa Serikali. Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi ambao kama ni wa kuridhisha katika kiwango ambacho kimeweka anaweza akaongeza mkataba mwingine huku akipanda ngazi na mwisho wa kuongeza mkataba katika eneo la kazi ni miaka 10 kwa maana kusiwe na Mtumishi akafanya kazi mahala kwa miaka zaidi ya 20. Kwa watumishi ambao watakuwa hawajafika viwango stahiki hawataongezewa mikataba hivo kuweka nafasi wazi kwa ambao hawana ajira kuweza kupata kazi. Hii itasaidia kuongeza ufanisi na uwajibikaji makazini. Serikali itakuwa na kazi kubwa kusimamia uwajibikaji pasina kwa na presha kwa kuwa Mtumishi mzembe hatuweza kuongezewa mkataba. Swala la watumishi kuwa na ukomo mpaka kustaafu kunatengeneza Watumishi ambao sio wawajibikaji ni muda sasa wa kuwa na mabadiliko kila baada ya miaka 2. Angalau kila Mwananchi aweze kuitumikia nchi. Nafikiri kama kutakuwa na utaratibu huu hakika itapunguza hili swala la kila Mwananchi kuamini katika kuajiriwa kwasababu ajira zitakosa huo ulinzi hivo kila mwananchi atakuwa na jukumu la kujitengenezea ustawi wake kwa kufikiria nje ya Box. Watumishi watapunguza kuiba maana nchi yetu Watumishi wa serikalini ndio wanaongoza kuiba kuanzia juu mpaka chini kiasi imekuwa kama utaratibu wa kuwa Mwizi ndio kujiongeza. Kila mtumishi awe na miaka 2 akiiba hana ajira pamoja na taarifa ya wizi wake kiasi akisema aombe ajira sehemu nyingine hii sifa inakuwa sehemu ya CV yake kwamba alishawahi kuiba. Nafikiri hii inaweza kuleta mtazamo mpya nchini katika hii Karne ya 21. Ni muda sasa wa Kuivunja hii Security wanayoipata watumishi wa Serikali kwa kuwa ina hasara nyingi sana kuliko faida katika hii Karne ya 21.
Wapo wanaopewa mikataba but under task maalumu. Hawa ni mbali na wale wa ajira ya permanent
 
Nilishawahi kuleta idea ya namna hii miaka ya nyuma ila nilikutana na upinzani mkali😁!

Watu hawataki kuachia ngazi wengi wakisingizia kuwa tutakosa experts. Mimi nili suggest watu wakae angalau 3-5 years wawe phased out. Ila warekebishe malipo yawe mazuri tu ili mtu akitoka hapo anakuwa ana mtaji wa kuendelea na maisha mengine. Hili linafanyika sana kwenye mikataba ya ma NGO. Unapewa miaka 5 ya kupambania kombe ukimaliza unarudi mtaani ila kwa kuwa mishahara ni minono ukiwa mzuri kwenye ku save unarudi na fungu la kueleweka mtaani.😁
 
Ngoja waje watumishi kukuambia kwa nini haiwezekani, ila msitegemee hiyo ndio italeta ufumbuzi wa tatizo la ajira
Ishu sio kuleta ufumbuzi wa ajira swala la ajira ni swala la kidunia ila itaondoa hii ujimilikishaji wa ajira as if kwamba hakuna mbadala hata kama mtumishi akiwa mzembe na kutowajibika najua Watumishi ni mtaji wa Serikali kuwatumia kwenye kukandamiza Demokrasia ila kiukweli kama itatolewa hiyo Utumikishwaji holela unaofanyika unaweza kupungua
 
Nilishawahi kuleta idea ya namna hii miaka ya nyuma ila nilikutana na upinzani mkali😁!

Watu hawataki kuachia ngazi wengi wakisingizia kuwa tutakosa experts. Mimi nili suggest watu wakae angalau 3-5 years wawe phased out. Ila warekebishe malipo yawe mazuri tu ili mtu akitoka hapo anakuwa ana mtaji wa kuendelea na maisha mengine. Hili linafanyika sana kwenye mikataba ya ma NGO. Unapewa miaka 5 ya kupambania kombe ukimaliza unarudi mtaani ila kwa kuwa mishahara ni minono ukiwa mzuri kwenye ku save unarudi na fungu la kueleweka mtaani.😁

Kwenye NGO ukipata mabeberu wazuri miaka miatano ni sawa na mshahara wa Mwalimu wa miaka 20-25


Sasa ukimwambia mwalimu ambaye anatengeneza mil 7 Kwa mwaka aachie ngazi

Lazima atarudi mtaani akiwa 0-0
 
Mbona wana Mikataba kabisa?

Kuna mikataba ya aina mbili katika Utumishi, Wa Kudumu na usio wa kudumu (Wa Kurenew)

Haiwezekani Mtumishi wa Umma umpe huo mkataba wa Temporary

Na akipewa wa kudumu akizingua kuna mamlaka ya kumuadhibu?...hata katika Ualimu hiyo mamlaka ipo
Nafikiri huu watemporary ndio wenyewe huo wa kudumu unawalinda sana kiasi wakifanya Madudu utakuta wanahamishwa tu nafasi au eneo
 
Nilishawahi kuleta idea ya namna hii miaka ya nyuma ila nilikutana na upinzani mkali😁!

Watu hawataki kuachia ngazi wengi wakisingizia kuwa tutakosa experts. Mimi nili suggest watu wakae angalau 3-5 years wawe phased out. Ila warekebishe malipo yawe mazuri tu ili mtu akitoka hapo anakuwa ana mtaji wa kuendelea na maisha mengine. Hili linafanyika sana kwenye mikataba ya ma NGO. Unapewa miaka 5 ya kupambania kombe ukimaliza unarudi mtaani ila kwa kuwa mishahara ni minono ukiwa mzuri kwenye ku save unarudi na fungu la kueleweka mtaani.😁
Hakika hii ingewasadia hata wale ambao wanafanya kazi ambao hawazipendi ila inawalazimu so angejipanga katika muda wake huo halafu akimaliza anarudi zake kwenye sehemu ambayo anaona anaweza akaperform vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom