Kuwepo kwa mikataba angalau ya miaka 2 kwa Watumishi wa Serikali, baada ya mkataba kuisha kuwe na utaratibu wa kukagua utendaji kazi

Hiu ni kwa ajiri tu sie watumishi wa kawaida au hata central government???? eg presdaa,vice,pm n k???
 
Nani kakwambia ukisoma na usipoajiriwa huwezi kuitumia nchi?? Vipi mkulima na mfanyabiashara hawaitumikii nchi??
Yeah swali zuri ila wasomi wengi wanasoma ilinwaje wawe watumishi wa serikali ni Kweli Wakulima na wafanyabishara wanalitumikia Taifa lakn itakuwa sio sawa Taifa linatengeneza madaktari, walimu, wafu wa usalama je na wao wawe Wakulima na Wafanyabishara? Kama ndio hivo kuna haja gani ya kuzalisha hizi nafasi ambazo kwa ndio walalamishi wa swala la ukosefu wa ajira?
 
Shukran Kwa Elimu Mkuu. Hoja yangu ya Kuwa na mikataba ni kwa ajili ya kuufanya hata huo mfumo wa PERMIS uweze kuleta matokeo mazuri kama Mtumishi atakuwa na mkataba halafu matokeo kutoka PERMIS ndio yatamfanya aweze kupewa mkataba na kuongezewa mshahara na kupanda daraja kwa pamoja nafikiri ingeupa mfumo heshima hata kutokana na mshahara mdogo watumishi wangejituma kwa kuwa wanajua fika asipoperform vizuri mshahara hautopanda na atapoteza kazi. Tunajua Watumishi au waajiriwa ndio watu rahisi sana kuwacontrol ni kumfanya asiwe salama na kazi yake tu maana watumishi ni waoga kupoteza kazi zao.
 
Hilo jambo zuri ila hasara itakayopata serikali wananchi ndio mtaumia zaidi.
Ndani ya miaka 2 kijana atakuwa ashajenga ghorofa lake zuri in case mkataba ukibuma analigeuza hotel.
Wafanye waone moto.
Mishahara midogo hiyo pesa itumike kwenye kila jambo.
Serikali yenyewe imebariki ufisadi indirect
 
Akili uzitoe wapi ? Sema wewe ni jobless .
Mpeni DP WORLD awekeze kwenye suala la ukosefu wa ajira. Mbwa nyie hakuna mnachoweza Sasa hivi tofauti na kukandamiza watanzania wenzenu. Mbwa nyie Ma CCM
 
Kwamba wataiba Sana hii nchi inatengeneza sana wezi kila sehemu inafikia hatua hatuamini kama tunaweza kuishi bila kuiba.
 
Huo nao utakuwa mlango wa rushwa na majungu kwa wenye nafasi na uwezo wa kuzitumia kwa manufaa yao na genge lao.Na pia itakuwa dirisha la fitna na majungu sehemu za kazi.
 
Tujikite kutengeneza fursa mpya kwa kizazi chetu kinachoendelea kuongezeka lakini sio kunyang'anya wenye nazo!
Hayo mawazo ya kimaskini yalishajaribiwa kwenye UJAMAA matokeo yalikuwa hasi sana!
 
Serikali hawawezi kuchambua nyaraka kila baada ya miaka miwili...


Cc: Mahondaw
Wakague ili iweje nyieeeeee!
Acheni zenyuuuuu😁😁!

Ukiingia ukayatimba hapo umejitafutia shida mwenyewe mbali na hapoo aaaaaahhh burudani kabisa!!

Mbeleeeee kwa mbeleeee
 
Tujikite kutengeneza fursa mpya kwa kizazi chetu kinachoendelea kuongezeka lakini sio kunyang'anya wenye nazo!
Hayo mawazo ya kimaskini yalishajaribiwa kwenye UJAMAA matokeo yalikuwa hasi sana!
Lengo la hoja sio kunyanganya watu tukiogopa kufanya mabadiliko ni kivp tutaweza kutengeneza hizo fursa? Unafikiri kama kutakuwa na mikataba ndio matatizo yataisha hapana lengo ni kuongeza ufanisi na uwajibikaji. Swala la UJAMAA na UBEPARI ni shule tofauti kabisa mpaka sahv wengi tunaaminishwa ujamaa ulifeli lakini hatujawahi kuuliza je huo UBEPARI umefaulu wapi?
 
Huo nao utakuwa mlango wa rushwa na majungu kwa wenye nafasi na uwezo wa kuzitumia kwa manufaa yao na genge lao.Na pia itakuwa dirisha la fitna na majungu sehemu za kazi.
Mabadiliko yana changamoto zake kama faida itakayopatikana ni kubwa kuliko hizo sababu kwann tusijaribu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…