The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hoja ya Dkt. Tulia kusema hili ni bunge la bajeti na siyo la kujadili report ya CAG lipo sahihi, lakini kwa nini report ya CAG ijadiliwe baada ya kupitisha bajeti nyingine ilihali iliyopita ufanisi wake ni sufurisufuri.
Kwanini tisingeanza kujadili madudu ya bajeti iliyopita badala ya kuendelea na nyingine tukimaliza ndo tunanza mjadala wa Bajeti mpya.
kinachotakiwa kila baada ya reoport ya CAG kikao kinachofuata ni kujadili report yake baada ya hapo mjadala wa bajeti nyingine ufuate, sasa unapeleka mjadalawa report ya CAG November so what wezi wengine watakuwa wamekufa na kuficha zaidi pesa zetu.
Kwa utaratibu huu wezi hawatakuja kuisha Tanzania maana saivi wametega mikono yote miwili wanajua pesa zingine zaja.
Kwanini tisingeanza kujadili madudu ya bajeti iliyopita badala ya kuendelea na nyingine tukimaliza ndo tunanza mjadala wa Bajeti mpya.
kinachotakiwa kila baada ya reoport ya CAG kikao kinachofuata ni kujadili report yake baada ya hapo mjadala wa bajeti nyingine ufuate, sasa unapeleka mjadalawa report ya CAG November so what wezi wengine watakuwa wamekufa na kuficha zaidi pesa zetu.
Kwa utaratibu huu wezi hawatakuja kuisha Tanzania maana saivi wametega mikono yote miwili wanajua pesa zingine zaja.