japhet lazqro
New Member
- Apr 20, 2024
- 1
- 0
Vijana wawezeshwe kujitegemea katika kukuza uchumi wa nchi kwa kutumia changamoto kama fursa.
Mungu ametujalia ardhi yenye rasilimali nyingi ambazo asilimia kubwa hatuzitumii katika kuziongeza thamani
Ipo haja serikali kuwasaidia vijana waweze kuongeza thamani katika bidhaa.
Mfano sioni haja ya sisi kuagiza faniture kutoka nje serikali ingezuia uingizwaji wa bizarre zitokanazo na miti au chuma na udingo badly yake serikazi iwawezeshe vijana wazalishe izo bizaa hapa nchini.
Sioni ya thamani za majumbani kutoka nje ya nchi wakati tunavijana hapa wanazarisha kwa ubora wa juu tupeni mitaji.
Mungu ametujalia ardhi yenye rasilimali nyingi ambazo asilimia kubwa hatuzitumii katika kuziongeza thamani
Ipo haja serikali kuwasaidia vijana waweze kuongeza thamani katika bidhaa.
Mfano sioni haja ya sisi kuagiza faniture kutoka nje serikali ingezuia uingizwaji wa bizarre zitokanazo na miti au chuma na udingo badly yake serikazi iwawezeshe vijana wazalishe izo bizaa hapa nchini.
Sioni ya thamani za majumbani kutoka nje ya nchi wakati tunavijana hapa wanazarisha kwa ubora wa juu tupeni mitaji.
Upvote
0