bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Hili jukumu nakuomba ulifanye wewe, mimi napita katika mapito yangu, kisha tutakuja kuulizana maswali, ili tuone nani mkweli katika hili.
Hakuna shida Boss, Cha Muhimu Reference tuwe tunaweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jukumu nakuomba ulifanye wewe, mimi napita katika mapito yangu, kisha tutakuja kuulizana maswali, ili tuone nani mkweli katika hili.
Safi kabisa, mimi kama nilivyo tangulia katika utangulizi wangu hapo, ni kuwa haya ninayo andika au nitakayo yaandika siyo mapya bali nanukuu toka kwa wakubwa zangu, na mwisho nitaweka marejeo ya vitabu viwili ambavyo kwangu mimi nimeona vimenishibisha juu ya historia ya watu hawa.Hakuna shida Boss, Cha Muhimu Reference tuwe tunaweka.
Safi kabisa, mimi kama nilivyo tangulia katika utangulizi wangu hapo, ni kuwa haya ninayo andika au nitakayo yaandika siyo mapya bali nanukuu toka kwa wakubwa zangu, na mwisho nitaweka marejeo ya vitabu viwili ambavyo kwangu mimi nimeona vimenishibisha juu ya historia ya watu hawa.
Sahihi kabisa, kama ambavyo wewe umerejea katika Biblia, na mimi marejeo yangu ni huko huko, ila tutakuja kuachana katika kujibu maswali na kujenga hoja, sababu ukweli ni mmoja tu siku zote.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Hapo kuna Masuala mawili tayari yamejitokeza
1. "Nukuu toka kwa Wakubwa Zangu" hapa lazima watakua wanazuoni wa Ki-Islamu
2. " Mrejesho wa vitabu viwili ambavyo kwangu mimi nimeona vimeshibisha historia ya hao watu"....natarajia hivyo vitabu viwe Quran na Hadithi
Nway hilo suala nimekisia tu, nangojea hoja zako Boss.
Unaweza kunipa ushahidi ya kuwa uzao wa Yahuudha (Yuda) upo mpaka leo ? Ili kauli yako iwe na nguvu ya kuwa Uyahudi ni muendelezo wa uzao wa Yahuudha ?WAYAHUDI wanajinasibisha na NABII MUSA kwa Mantiki ya kwamba Wao ni Muendelezo wa Uzao wa Kabila la YUDA(Ref Biblia Kitabu Cha MWANZO 29:35),
Hili nakubaliana na wewe bila shaka yoyote.Na YUDA alikua ni Mmoja kati ya Watoto Kumi na Wawili wa Uzao wa YAKOBO(ISRAEL), Katika hao Watoto 12 wa YAKOBO mmoja wao Aliitwa LEVI( Ref Biblia kitabu cha MWANZO29:34)
Nacho taka hapa unithibitishie ya kuwa kipindi cha Musa Uyahudi ilikuwepo, maana hii ni dini, na tunajua Musa hakuwa Myahudi kwa dini.Na Huyu AMRAM ndo Baba Mzazi wa NABII MUSA.....Kwahiyo Ukiangalia hii Family Lineage utaona WAYAHUDI na NABII MUSSA Ulikua Muendelezo wa Uzao wa YAKOBO( ISRAEL)
Hapa unawaongelea wana wa Israeli,yaani Kuamu ya Musa,na ai Wayahudi kama dini. Inabidi tuelewane uzuri hapa.Katika BIBLIA YA KIEBRANIA MUNGU amejitanabaisha kua ni MMOJA kwa Mantiki hii
KITABU CHA KUTOKA20:2-3 inasema "Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Usiwe na miungu mingine ila mimi".......Ukiangalia hapa MUNGU katua Neno "MIMI" kuashiria ni MMOJA.
Safi kabisa, je kila myahudi ni wa ukoo wa Israeli ?Kuhusu Torati kwa Mujibu wa Dini ya UYAHUDI ni Mjumuiko wa Vitabu Vitano Vya Mwanzo katika BIBLIA YA KIYAHUDI vinavyeleza MAFUNDISHO, MWONGOZO na SHERIA kwa Wana Wa ISRAEL, Na hii Torati Iliandaliwa na MUSSA kwa Maono Ya MUNGU WA ISRAEL...Kwahiyo Kwa Mantiki hii WAYAHUDI Moja kwa Moja Lazima wajinasibishe na TORATI ya MUSSA.
Bila shaka haya umeyatoa katika Biblia na si katika vitabu vya Wayahudi, sasa ni kipi kinachokujulisha haya yanawakusudia Wayahudi na si Wana wa Israeli ?KUMBUKUMBU LA TORATI 4:39 inasema "Kwa hiyo ujue, leo hivi, ukaweke moyoni mwako, ya kuwa Bwana ndiye Mungu katika mbingu juu, na katika nchi chini; hapana mwingine. "
Kuna mistari mingine Mingi sana Inayooneshwa katika BIBILIA YA KIEBRANIA KUWA NI MMOJA....Unaweza pitia Na Hii...KUMBUKU LATORATI 6:4, 2
Pia Tukiangalia kwenye KURAN Utaona kuna Mkanganyiko Kidogo Kuhusu Wana wa Israel kuabudu MUNGU MMOJA Mfano Ukiangalia
SURAH AT-TAWBA 9:30 inasema wana wa Israel wanasema kua UZAIR ni Mwana Wa Mungu na Wanamuabudu.....Lakini pia kwene KURAN pia kuna Mistari Inasema Wana wa Israel waliabudu katika Mungu Mmoja.
Hapa tayari uongo hapoTofauti na Mahindu na Mabudha hawa hawajinasibishi na mtume yeyote ila Mayahudi wanajinasibisha na nabii Musa hali ya kuwa hawana uhusiano wowote na nabii Musa,hili nitalithibitisha huko mbeleni panapo majaliwa.
Ukweli ni upi kaka mkubwa.Hapa tayari uongo hapo
Hapo nimekuelewaMaana ya Uyahudi kiistillahi: Ni kundi la watu wanaofata utamaduni na Mila za Dini ya Kiyahudi ambao asili yao ni waebrania wa kizazi Cha Israel hata Abrahamu.
Na UYAHUDI ni Dini inayo amini katika Mungu mmoja aliyejidhihirisha kwa Abrahamu, Mussa na Manabii wengine wa Kiebrania.
Kuwaelezea Wayahudi na Kuja na Hoja nzuri na zakueleweka inatakiwa urejee Vitu hivi
1. Biblia ya kiebrania
2. Biblia ya Wafuasi wa Kristo
3. Ushahidi wa Akiolojia(Archeological eveidence) wa mambo ya kale hapo mashariki ya kati na Historia
4. Talmud ya wayahudi
5. Kuran na Hadithi za wafuasi wa Dini ya Uislamu
Soma biblia kitabu cha Nabii Samweli hata kutoka piaSafi kabisa, sasa vipi Wayahudi wanajinasibisha na nabii Musa huku wakidai wanafata Torati ?
Swali lingine la msingi, sababu Historia imeshaandika, na dhuria ya wana wa Israeli inajulikana, je ni uzao gani au ni nani katika wana wa Israeli walikuwa ni Mayahudi ?
Unaweza kulithibitisha hili ? Naomba ushahidi wa hili.
Unaweza kutuwekea hapa hayo maandiko ili tusome wote.Soma biblia kitabu cha Nabii Samweli hata kutoka pia
Ukweli ni huu Wayahudi ni watoto wa kabila la Yuda. Yuda ni miongoni mwa watoto 12 za Mzee Yakobo jina lingine Israel. Musa ni Mtoto wa ukoo huo huo wa Israel ila yeye ametoka kabila Lawi. Lawi ni miongoni mwa watoto hao 12 pia. Sasa ukisema Wayahudi hawana uhusiano na Musa huoni hapo tayari ni uongo?Ukweli ni upi kaka mkubwa.
Uyahudi ni ukoo au ni dini ?Ukweli ni huu Wayahudi ni watoto wa kabila la Yuda. Yuda ni miongoni mwa watoto 12 za Mzee Yakobo jina lingine Israel. Musa ni Mtoto wa ukoo huo huo wa Israel ila yeye ametoka kabila Lawi. Lawi ni miongoni mwa watoto hao 12 pia. Sasa ukisema Wayahudi hawana uhusiano na Musa huoni hapo tayari ni uongo?
Bila shaka kwa sio tuliosoma biblia mwanzo mwisho historia ya Adamu hadi Yesu. Huwa ipo wazi kabisa na maandiko yake yapo ndio maana nlikupa vitabu hivo uvisome kama mtafiti halafu ulete marejeo.Unaweza kutuwekea hapa hayo maandiko ili tusome wote.
Uyahudi ni ukoo au ni dini ?
Je kuna kitabu chochote kabla ya Musa au kipindi cha Musa kimetaja jina la "Uyahudi"hata katika vitabu vyao wenyewe Mayahudi ?
Naona hujaelewa suala la mjadala likoje, mwenzako nimeona huko juu ana fata adabu za mjadala, anaweka na vifungu.Bila shaka kwa sio tuliosoma biblia mwanzo mwisho historia ya Adamu hadi Yesu. Huwa ipo wazi kabisa na maandiko yake yapo ndio maana nlikupa vitabu hivo uvisome kama mtafiti halafu ulete marejeo.
Na kama ni kukuandika humu mistari tutachoshana tu Soma vitabu vyote hivo utaelewa Chimbuko la Hilo kabilà
Tupe andiko linalosema Uyahudi ni kabila au ni mila fulani.Ukisema Uyahudi ni sawa useme Umasai au Uchagha Ila wayahudi ni kabila na ni ukoo wa Wayuda. 2.Ndio Vitabu vyote vya Musa vimetaja jina La kabila la Yuda.