Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

INTERESTING. Kwa Mantiki yako MAYAHUDI na WANA WA ISRAELI ni Tofauti...OK.
Ni tofauti kabisa.
1. Naomba ntajie Majina Referrence ya vitabu vyako hivyo viwili
Vitabu ni :
1.ad-Dirassat fiy ad'yaan "al Yahuud wa al Naswarah"

2. Al Ad'Yaan wa firqah wa madhaahib al Mu'asira.
2. Pia nithibitishie kuwa utatumia wanazuoni wa Ki-islamu tu au na wanazuoni wengine
Hili utaliona mbeleni ila mpaka hapa nipo na wanazuoni wa Kiislamu.H
3. Je utatumia Pia Biblia kama Rejea au hutatumia kwavile imetiwa maneno na wanadamu??
Hili la kuhusu vitabu nje ya mapito yangu, jukumu hili nilikuachia wewe kisha nikakwambia tutakuja kukutaba katika kuulizana maswali na kujenga hoja ili tujue nani mkweli.

Hili bila shaka limeeleweka.
 
JIBU: Ndio kila MYAHUDI ni sehemu ya Muendelezo wa Uzao wa YAKOBO(ISRAEL), na hii ni kwasababu Mtoto Mmoja wapo wa YAKOBO Aliitwa YUDA na Hii ni kwa Mujibu wa TALMUD na BIBLIA......Ila Wayahudi wa Dunia ya Leo inawezekana wasiwe 100% kinasaba kutokana na Muingiliano wa watu wa mataifa mengine walipotawanyika.
Kwa Maana hiyo ni kuwa kauli yenye nguvu na kauli moja ni kuwa si kila Myahudi ni wa uzao wa Yaahudha (Yuda).

Na hitimisho lingine ni kuwa Uyahudi si kabila bali ni dini na ndiyo maana kutokans na Yuda pakazalikana makabila kadha wa kadha.
JIBU: MUSA hakutumwa kwa WAYAHUDI PEKEE, Bali Alitumwa kwa WANA WA ISRAELI wote na WAYAHUDI Wakiwepo Pale Utumwani Misri....Mkuu huwezi Tenganisha WAYAHUDI na WANA WA ISRAELI Maana Wote ni Sehemu ya UZAO wa YAKOBO.
Hapa hutakiwi kuhitimisha kirahisi namna hiyo, unachotakiwa kufanya hapa ni kututhibitishia ya kuwa kipindi Wana wa Israeli wapo utumwani Uyahudi ulikuwepo na ututhibitishie ya kuwa ni katika kitabu gani tamko Uyahudi lilitajwa kutoka katika Taurati au kitabu cha Wayahudi.
JIBU: WAYAHUDI Wanatumia vitabu Viwili Boss
-Cha kwanza BIBLIA YA KIEBRANIA( Wakristo wanaiita AGANO LA KALE)
-Cha pili ni TALMUD
Naomba uthibitisho ya kuwa Wayahudi wanatumia Biblia.
 
Ugonjwa wako Mkubwa Boss Unafikili WAYAHUDI ni TOFAUTI na WANA WA ISRAELI kitu ambacho si sahihi kama nlivoeleza hapo awali.
Huu siyo ugonjwa bali hoja na ukweli ndiyo utakao amua, wewe nithibitishie tu ya kuwa Uyahudi na Uisraili ni kitu kimoja.

Tuendelee....
 
Wayahudi wanakupa tabu sana!
wako wachache mno ila wana kushuhulisheni kupita maelezo.

vipi wahindu na mabudha hawawapi shida ingali wako weeeengi sana?
Watu wanaleta maarifa watu wajifunze ww unaleta mipasho na taarabu.
 
Neno YAHUDI nmeshakuambia kuwa ni Watu na Neno UYAHUDI nmeshakuambia kuwa ni DINI
Safi kabisa, hapa tuko pamoja, na hapa tunatakiwa kuongelea Uyahudi ambao ni dini.
Neno WANA WA ISRAELI inatanabaisha ni watoto wa uzao wa YAKOBO(ISRAEL), na hili Neno limeendelea kutumika hata vizazi vya Baadae vya hao watoto na kama nilivyosema hapo awali YAHUDI ni sehemu ya Muendelezo wa Uzazi wa YAKOBO, kwahiyo Nikisema YAHUDI ni Sehemu ya Uzao wa WANA WA ISRAEL nakua Sijakosea
Uko sahihi kabisa.
 
Ila kitu kimoja tu kinaniudhi kuhusu waislamu kujipendekeza kwa wakristo .....

Yaani wanalazimisha Ibrahim wa kwenye Bible awe ndo yule wa kwenye quran yaani Yesu wa kwenye biblia eti ndio issa bin Mariam wa kwenye quran.......huko ni kikosea heshima Ukristo....

Tangu lini daudi wa buza awe ndo yule daudi wa Masaki?
Point wanalazimisha vitu vifanane
 
Tupe andiko linalosema Uyahudi ni kabila au ni mila fulani.

Siongelei jina la Yuda na ongelea tamko Uyahudi, sababu uyahudi unaingia katika sifa na si jina la mtu.
Wewe ni muislamu alafu unajaribu kulazimisha watu waelewe doctrine ya kislamu, kwa kukusaidia wewe Amin unachoamin na wengine waamin wanachoamin sababu kamwe hutakaa uelewane na watu wengine
 
JIBU: Ndio na hii unaweza ukaipata kwa Mujibu wa tovuti ya "UCHUNGUZI WA VINASABA VYA KIYAHUDI" imeeleza kua baada ya UFALME WA UYAHUDI
Hapa naona unachanganya kabila na dini, nakukumbusha swali langu limelenga dini ya Uyahudi na uzao ila wewe unanionyesha uzao kwa uzao.
Mujibu wa tovuti ya "UCHUNGUZI WA VINASABA VYA KIYAHUDI" imeeleza kua baada ya UFALME WA UYAHUDI kusambaratika, watu walitawanyika sehemu nyingi za Duniani na hapo ikapelekea kuzaliwa kwa makabila tofauti ya Kiyahudi kwa mfano Ashkenazi, Sephardic, Romaniote, Mizrahi,
Marrano na Crypto-Jews.......
Hapa kwanini usiandike ni Wana wa Israeli na baada yake una pwekesha jambo kwa uzao wa Yaahudha (Yuda) hali ya kuwa historia imeandika ni Wana wa Israeli ?

Hii ilikuwa ni kipindi gani ?
Lakini hapa Vinasaba Vinaweza kua vilishachanganyika na Jamii ya watu wengine kutokana na Kuzaliana na hivii Vinasaba Vinaweza Visiwe 100%(Biological point of view) ukilinganisha na wale Wayahudi walokua wanaishi UFALME WA UYAHUDI.
Hapa unazidi kuthibitisha ya kuwa Uyahudi kama dini hauna uhusiano wowote na Yuda zaidi ya kutumia jina lake kama utambulisho wa dini yao. Hii ni kama ilivyo kwa Ukristo na Wakristo.
 
Sasa kama ni "safi kabisa" na "yupo sahihi"----- mjadala wa nini??!!
Sasa kama ulishindwa kujua hicho ulicho quote nimekiandika mimi, vipi uone kama hakuna haja ya mjadala baada ya kushindwa kwako kuelewa matumizi ya neno kwa munasaba wa jambo husika ?
 
Kwa Maana hiyo ni kuwa kauli yenye nguvu na kauli moja ni kuwa si kila Myahudi ni wa uzao wa Yaahudha (Yuda).

Na hitimisho lingine ni kuwa Uyahudi si kabila bali ni dini na ndiyo maana kutokans na Yuda pakazalikana makabila kadha wa kadha.

Hapa hutakiwi kuhitimisha kirahisi namna hiyo, unachotakiwa kufanya hapa ni kututhibitishia ya kuwa kipindi Wana wa Israeli wapo utumwani Uyahudi ulikuwepo na ututhibitishie ya kuwa ni katika kitabu gani tamko Uyahudi lilitajwa kutoka katika Taurati au kitabu cha Wayahudi.

Naomba uthibitisho ya kuwa Wayahudi wanatumia Biblia.
Ibrahimu alimzaa isaka, isaka akamzaa Jacob, Jacob (Israeli)akawa na watoto 12 akiwemo yuda, yusuph, Benjamin, ambao wakaja kuwa kabila 12 ndo likawa taifa la israel
 
JIBU: Kipindi cha MUSSA UYAHUDI haukuwepo ila WAYAHUDI walikuwepo kama Sehemu ya Uzao Wa WANA WA ISRAELI, MUSSA na WANA WENGINE WA ISRAEL walikua wanaamini Katika MUNGU Mmoja aliyefanya Agano na ABRAHAMU, Na Baadae Sana Baada ya Mfalme Solomoni kufariki Wana Wa Israeli waligawanyika katika FALME MBILI YAANI UYAHUDI NA ISRAELI,
Sahihi kabisa, hapa tuko pamoja.
Na hapo Ndipo Neno la Dini ya UYAHUDI Ikachomoza na kushamiri tangu kipindi Cha YESU KRISTO hata Sasa......
Sasa hapa ndipo kuna hoja ya msingi, kwayo unawatenga wana wa Israeli na Uyahudi. Ulichokionyesha hapa ndicho ambacho nakubaliana na wewe ni kuwa Uyahudi ni dini ambayo hata kina Yuda hawakuwa wana bali hata kipindi cha Musa dini hii haikuwepi, swali litakuja Uyahudi ni dini iliyo letwa na mtume gani ? Achilia mbali dini hii kutumia jina miongoni mwa watoto wa nabii Yakub ?
 
Kaka, hebu nikumbushe hicho ulichokiandika nilicho "quote".

Hakuna mtu asiyekuwa na mapungufu.
Soma post # 57 vizuri utaona hicho ulicho kiquote ni sehemu ya maneno yangu.
 
Kwahiyo Utaona Mafundisho ya UYAHUDI ni Yale Yale MUSSA Alofundisha, Sema ile IMANI MUSSA, ABRAHAMU na WANA WA ISRAEL Ikapewa Jina la UYAHUDI.....
Safi kabisa, sasa imani ya Musa ilikuwa inaitwaje ? Na dini ya Musa ilikuwa inaitwaje ?
 
Usitarajie kueleweka kwenye hii Mada maana utaegemea zaidi kwenye Mtizamo wa Ki-Islamu na Kuran......Mada kama hii inabidi uwe Neutral yaani usiegemee upande wowote.
Wayaudi ni sisi Waafrika.
Dini zote mbili zinafahamu hilo ingawa kwa elimu na mafundisho mengi ya leo yameufunika ukweli.
 
Haya mkuu "bhachu" nitakwenda kusoma vyema.🤣
Soma post # 25 mwishoni utaona, ndiyo maana nikakwambia hivi unatakiwa uongese umakini, sababu huyu alivyokuwa anani jibu alikuwa anatumia mtindo mwingine ambao siyo ulio uzoea weww. Nasisitiza ya kuwa ongeza umakini.
 
Uzi badalaujikite kuelezea hiyo Historia umegeuka majibizano ya kidini..[emoji35]
 
Ila ukiangalia Muktadha wa Theolojia ya UKRISTO NA UYAHUDI utaambiwa NeNo UYAHUDI lilianza Tangu ABRAHAMU Alipofanya Agano na MUNGU.
Vipi lilianza tangu zama hizo wakati hata mwenye jina lenyewe hakuwa ni mwenye kutajika, kauli hii inataka ushahidi zaidi ba akili ndogo sana kujua ukweli kwani ukweli uko wazi mno.
 
WAYAHUDI huwezi Watenga na WANA WA ISRAELI Sababu ni Sehemu ya UZAO wa YAKOBO
Lakini uzuri hili umeshalifanya kwa kuwatenganisha Wayahudi na Waisraeli labda kama unaandika mambo bila kuyatafakari.
 
Hil limeshajadiliwa sanna humu, na elimu iko wazi.

Hata wewe mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa Ibrahiim wa Biblia siyi wa Qur'aan, Yesu wa Biblia siyo Issa wa Qur'aan.

Shida yenu huwa mnayaandika haya tatizo linakuja kwenye kuthibitisha haya mnayo yaandika.
Mkuu kuthibitisha Daudi wa mbagala na wa masaki unapataje ugumu..... Labda tu km hauko sawa kichwani
 
Back
Top Bottom