Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Mkuu kuthibitisha Daudi wa mbagala na wa masaki unapataje ugumu..... Labda tu km hauko sawa kichwani
Inaoneakana huelewi hata unachokiandika ndiyo maana unayaandika haya. Usipate tabu, uwanja ni wako, tuthibitishie hilo, ila mimi nasema hivi mpaka unakufa,nasema tena mpaka unakufa, hili huliwezi wala hakuna aliye liweza.

Usilo lijua ni kuwa hapa tunaongelea Elimu na siyo story za maskani.

Nipo....
 
Wamefanya editing zao kulazimisha mambo......

Magaidi hawawezi kufanana na wapenda amani...
Mwanadamu hauwezi kumnyamazisha asiseme, ila hoja na elimu ndiyo uhukumu. Weka hoja kama wewe unasema ukweli.
 
Mwanadamu hauwezi kumnyamazisha asiseme, ila hoja na elimu ndiyo uhukumu. Weka hoja kama wewe unasema ukweli.
Hapa sio swala la hoja mkuu.... Swala ni rahisi sn..... Waislamu wasilazimishe kuonesha kuwa vinavyotamkwa kwenye kitabu cha quran ni kile kinachotamkwa kwenye Bible TAKATIFU....

Hata mungu wa kiislamu yaani allah hafanani wala hafananishwi wkt yule Mungu wa kweli wa kwenye Bible alimuumba mtu kwa mfano wake....

Sisi tumeagizwa ktk amri za Mungu tusiabudu miungu wengine na kwetu sisi allah ni moja kati ya miungu tuliyokatazwa kuabudu maana sisi tuna mfano na sura ya Mungu......

KITU GANI HAKIELEWEKI HAPO MKUU!
 
Inaoneakana huelewi hata unachokiandika ndiyo maana unayaandika haya. Usipate tabu, uwanja ni wako, tuthibitishie hilo, ila mimi nasema hivi mpaka unakufa,nasema tena mpaka unakufa, hili huliwezi wala hakuna aliye liweza.

Usilo lijua ni kuwa hapa tunaongelea Elimu na siyo story za maskani.

Nipo....
Nimekujibu kwingineko...... Usitake kulazimisha Noah wa kwenye quran awe ndo huyo wa kwenye Bible maana sisi tunaabudu Mungu aliyetuumba kwa mfano na sura yake nyie mnaabudu mungu asiyefanana wala kufananishwa na chocbote....
 
Hapa sio swala la hoja mkuu.... Swala ni rahisi sn..... Waislamu wasilazimishe kuonesha kuwa vinavyotamkwa kwenye kitabu cha quran ni kile kinachotamkwa kwenye Bible TAKATIFU....

Hata mungu wa kiislamu yaani allah hafanani wala hafananishwi wkt yule Mungu wa kweli wa kwenye Bible alimuumba mtu kwa mfano wake....

Sisi tumeagizwa ktk amri za Mungu tusiabudu miungu wengine na kwetu sisi allah ni moja kati ya miungu tuliyokatazwa kuabudu maana sisi tuna mfano na sura ya Mungu......

KITU GANI HAKIELEWEKI HAPO MKUU!
Huna hoja ndiyo maana nikasema mpaka unakufa, hatuko kijiweni hapa, hapa unatakiwa uandike elimu siyo malalamiko.
 
Nimekujibu kwingineko...... Usitake kulazimisha Noah wa kwenye quran awe ndo huyo wa kwenye Bible maana sisi tunaabudu Mungu aliyetuumba kwa mfano na sura yake nyie mnaabudu mungu asiyefanana wala kufananishwa na chocbote....
Nacheka sana, hayo mafundisho amekufundisheni Yesu au nani ?

Andika elimu na uweke maandiko, uone shughuli yake.

Ahsante.
 
Nacheka sana, hayo mafundisho amekufundisheni Yesu au nani ?

Andika elimu na uweke maandiko, uone shughuli yake.

Ahsante.
Mnaabudu msichokijua kazi yenu kulazimisha ionekane tunaabudu Mungu mmoja......

Sisi Mungu wetu ni wa upendo nyie amewaruhusu kupigania dini yenu na kuua wengine......
 
Huna hoja ndiyo maana nikasema mpaka unakufa, hatuko kijiweni hapa, hapa unatakiwa uandike elimu siyo malalamiko.
Labda tu hujielewi unataka elimu ya madrasa........
Nijibu basi km mungu wenu allah aliwaumba kwa mfano wake km Mungu wetu wa kweli.....
Acha kurandaranda...
 
Mnaabudu msichokijua kazi yenu kulazimisha ionekane tunaabudu Mungu mmoja......

Sisi Mungu wetu ni wa upendo nyie amewaruhusu kupigania dini yenu na kuua wengine......
Jibu swali nililo kuuliza.
 
Huna
Jibu swali nililo kuuliza.
Huna swali la kuniuliza mm ww mjahidina. Endelea kumwabudu mungu wako asiyefanana wala hafananishwi...... Sisi tunaabudu tunachokijua yaani Mungu ambaye alituumba kwa sura na mfano wake.......

Km bado hutaki basi bakupa ruhusa jilipue km wenzako
 
Labda tu hujielewi unataka elimu ya madrasa........
Nijibu basi km mungu wenu allah aliwaumba kwa mfano wake km Mungu wetu wa kweli.....
Acha kurandaranda...
Tatizo lugha hamjui, hakuna maana hiyo katika andiko lolote la kimungu hasa toka kwenye vitabu hivyo, kwa kufasiri kwenu kichwa mchunga kukapelekea mgongano wa maandiko yenu.

Hivi nikikwambia "Nimekutana na mtu wa mfano wake" unaelewa nini ? Kwamba mtu huyo yupo au ? Sasa andiko hilo halimaanishi Mola amemuumba mwanadamu kwa mfano wake kwa maana ya sifa au umbile, hili halipo.
 
Tatizo lugha hamjui, hakuna maana hiyo katika andiko lolote la kimungu hasa toka kwenye vitabu hivyo, kwa kufasiri kwenu kichwa mchunga kukapelekea mgongano wa maandiko yenu.

Hivi nikikwambia "Nimekutana na mtu wa mfano wake" unaelewa nini ? Kwamba mtu huyo yupo au ? Sasa andiko hilo halimaanishi Mola amemuumba mwanadamu kwa mfano wake kwa maana ya sifa au umbile, hili halipo.

Unataka kunipotezea muda tu. Hapo unamaanisha allah au Mungu wa kweli?

Umenifurahisha kwenye kiapo chako cha kijahidina kwenye sentensi ya mwisho😀😀

Lala tu mkuu endelea kuabudu hayo majini ya allah
 
Huu uzi punde utakuwa wa kukashifiana dini na maneno ya hovyo.

Mada iliyowekwa ubaoni ni ngumu na inawataka wasomi wenye kujua maandiko na sio ushabiki na ukereketwa wa dini.
 
UTANGULIZI
Masiku yamepita huku nikitamani sana kuandika chochote kuhusu Uyahudi na Wayahudi. Kuandika kuhusu chimbuko lao, kuandika kuhusu uhusiano wao na wana wa Israeli,kuandika kuhusu itikadi zao, kuandika kuhusu madai yao kwa nabii wa Mola muumba Musa mwana wa Imraan mwana wa Quhaata mwana wa Lawi mwana wa Yaqoub mwana wa Is'haak mwana wa Ibrahiim.

Lakini kalamu zimeshanyanyuka na wino umeshakauka na historia iliandikwa kitambo sana na wakubwa zetu kwa ubora, wakubwa zetu kwa maarifa na wakubwa zetu kwa umri, na nachokifanya mimi ni kurejea kwao na wala sitaandika jipya ambalo wao hawakuliandika,yaani kwa ufupi sitazua.

Maneno nitakayo yahudhurisha kwenu katika mfululizo wa anuani hii "KUYAFUNUA YALIYO FUNIKWA" ni natija au zao la utafiti wangu wa muda mrefu juu ya historia ya watu hawa. Lakini marejeo yangu hasa hasa yamemili katika vitabu viwili, ambavyo nitavitaja mwishoni mwa mada hii, yaani nikiwa nahitimisha somo hili.

Nini maana ya Uyahudi?
Katika kudurusu tamko hili la "Uyahudi" nitapita katika mapito mawili tofauti, pito la kilugha na pito la kiistilahi.

Maana ya Uyahudi kilugha
Wametofautiana wanazuoni juu ya tamko hili, wapo wanaosema tamko hili limetokana na lugha ya kiarabu katika tamko "al Huud" lenye maana ya toba (kutubia) na kurejea katika utiifu (kutokana na maovu aliyo yafanya mtu).

Wengine wakakataa na kusema hakika tamko hili si lenye asili ya Kiarabu, bali limetokana na mmoja wa watu kutoka katika ukoo (uzao) wa wana wa Israeli naye si mwingine bali ni "YAHUUDHA" (Huyu tutamuelezea kwa undani huko mbeleni) au tamko "Uyahuud/Yahuud" limetokana na ile dola iliyo anzishwa kusini mwa nchi ya Palestina baada kupita nabii Suleyman na hii ndiyo kauli yenye nguvu.

Maana ya Uyahudi kiistilahi
Uyahudi kiistilahi maana yake ni wale watu wanao dai ya kuwa wana mfata nabii Musa.

Sehemu ya pili post #28
Wana wa Hajiri mnahangaika saana na upotoshaji wenu
 
Watu wanaleta maarifa watu wajifunze ww unaleta mipasho na taarabu.
Taarab ni aina ya muziki wa kusherehesha na wala sio muziki wa mipasho.

Muziki wa mipasho unaitwa Hip Hop.
Hicho unachokiita mipasho wewe ni ngonjera.
Next time uwe unauliza mambo kabla ya kuandika nilitamani sana nikujibu kihuni ili ujitambue ila nimekuweka kiporo.
 
Tofauti na Mahindu na Mabudha hawa hawajinasibishi na mtume yeyote ila Mayahudi wanajinasibisha na nabii Musa hali ya kuwa hawana uhusiano wowote na nabii Musa,hili nitalithibitisha huko mbeleni panapo majaliwa.
Ahahaha! Tuanzie hapa baba yake Musa na mama yake wanaitwa nani?
Ukishajibu elezea Musa alifikaje Misri na kwanini aliwakomboa wana wa Israel ikiwa hana uhusiano nao?

Ukimaliza tueleze muandishi wa vitabu vitano vya kwanza vya agano la kale anaitwa nani?
 
Ahahaha! Tuanzie hapa baba yake Musa na mama yake wanaitwa nani?
Inaonekana hauko makini na nilichokiandika, suala baba wa Musa nimeshaligusia humu ndani, soma utaona.

Kuhusu jina la mama yake Musa silijui.
Ukishajibu elezea Musa alifikaje Misri na kwanini aliwakomboa wana wa Israel ikiwa hana uhusiano nao?
Ama kuuliza suala la Musa alifikaje Misri, unaonyesha ni kwa namna gani humjui Musa.

Musa ni mzaliwa wa Misri, na amekulia katika nyumba ya Firauni.

Pili, ongeza umakini hakuna aliyesema Musa hana uhusiano na Wana wa Israeli, bali tumesema ya kuwa Uyahudi hauna uhusiano na ukoo wa Wana wa Israeli zaidi ya kuchukua jina mdogo wake nabii Yusuf aliyeitwa Yaahudha.
Ukimaliza tueleze muandishi wa vitabu vitano vya kwanza vya agano la kale anaitwa nani?
Muandishi wa vitabu vitano mimi simjui, kama unamjua tuambie humu na sisi tumjue.
 
Back
Top Bottom