Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamiii forum tuwe tunaingia kwa interview sasa ukute kuna la saba wengi humu..... sasa hujui kuzaliana ni kwa ajili ya survival of the species .... rudi soma mtu anaitwa charles darwin......next time jamii forum muwe mnaomba vyeti vya member matunguli kama haya yanachafua jamii forumMwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
kuna siku nilijiuliza hili swali. mimi niliwaza kuhusu babu yangu aliyekuwa na watoto wengi kama 60 hivi na wajukuu wa kutoshaMwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
There is no life purpose.find your life purpose
mkuu nadhani hujaelewa vizuri swali lake,, kapitie tena upya.Jamiii forum tuwe tunaingia kwa interview sasa ukute kuna la saba wengi humu..... sasa hujui kuzaliana ni kwa ajili ya survival of the species .... rudi soma mtu anaitwa charles darwin......next time jamii forum muwe mnaomba vyeti vya member matunguli kama haya yanachafua jamii forum