rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
kwamba tuzaliane mkuu... sasa mtoa mada haoni maana maana tutakufaNimependa namba 4 hapo.
Pia ni jukumu tulilopewa na mwenyezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba tuzaliane mkuu... sasa mtoa mada haoni maana maana tutakufaNimependa namba 4 hapo.
Pia ni jukumu tulilopewa na mwenyezi.
hakuna faidaa tufe wote mkuuu 😀 😀 😀 maana hakuna faida ila wakifa ndugu zetu hasa wazazi tunalia na kuumia sasa sijui ni bhangiiiKuna faida gani binadamu wakiwepo duniani?
Hilo ndilo swali la msingi.
Écosystème.Vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi na samaki. Wanapata faida gani?
Kwani unajijua kuwa wewe ni nani? Wewe sio huo mwili wako, wala wewe sio hilo jina lako.Yani maisha niyaishi mimi alafu nisitake faida niipatayo katika maisha? Sasa si angekuja huyo Mungu kuishi akaachana na mimi [emoji848]
Wewe ni uzao wa ibilisi, kwa hakika.Huwezi kuja na sababu kutoka kwenye vitabu vya uongo kama Biblia na Quran kwenye mada fikirishi.. Hivyo vitabu ni kusimulia watoto kabla ya kulala
The aim of reproduction is continuation of life on earthWewe ni uzao wa ibilisi, kwa hakika.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Mleta mada anataka ajue faida ya kile kinachozaa, sio lengo "dhumuni"The aim of reproduction is continuation of life on earth
Haahhaaaah! Eti tumefugwa. Umefikiri mbali sana japo hoja yako inafikirisha sana. Lakini ingekuwa na sisi ni kitoweo obviously tungeonaNimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?
Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?
au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.
Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
[emoji1787]Kitoweo mwenyewe[emoji23][emoji23]
Tobaa. Hapo kwenye kitoweo [emoji22][emoji22][emoji22]Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?
Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?
au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.
Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitoweo mwenyewe[emoji23][emoji23]
Likewisehii maana kwa mm ninayependa watoto inakera
Mtafute 'designer' wa binadamu na viumbe vingine vyote akupe jibu, kwani huyo ndio haswa mwenye jibu sahihi.Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Masikini ndo huwa tunawaza hivi, assets tunazaa ili tuje tusaidiwe uzeeni.Mtoto ni assests hebu waza wazazi wa leonel messi, wa Diamond Platnumz,
Mtoto ni uwekezaji wa uzeeni kama pension yaani
Hamjamuelewa mwamba, hazungumzii short term profit anazungumzia longterm.babu wa babu wako wa babu wako amefaidika na nn kuhusu wewe.ukifikilia kwa umakini unaona hafaidiki na chochote.Upo sahihi coz ni kama betting unaweza zaa mtoto na akaja kuwa liability.
But why kunakiwa na upendo kati ya mzazi na mtoto.?