Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Jamiii forum tuwe tunaingia kwa interview sasa ukute kuna la saba wengi humu..... sasa hujui kuzaliana ni kwa ajili ya survival of the species .... rudi soma mtu anaitwa charles darwin......next time jamii forum muwe mnaomba vyeti vya member matunguli kama haya yanachafua jamii forum
 
Japo wanasemaga hakuna swali lakijinga lakini kwa hili nachelea kuamini ni swali la kijinga sana

Kama hakuna kuzaliana maana yake ni hakuna MAISHA
Yaani viumbe wa zamani kabisa wasinge zaliana maana yake kusingekuwa na kiumbe hai chochote duniani

Sasa kama unaona DUNIA hii na viumbe vyote tuliopo hatuna FAIDA yoyote kuwepo duniani basi hoja yako itakua na mashiko..

Kuna sababu kwanini sex is most pleasurable thing na ni jambo lenye msukumo mkubwa sana kwa viumbe hai wengi
 
kuna siku nilijiuliza hili swali. mimi niliwaza kuhusu babu yangu aliyekuwa na watoto wengi kama 60 hivi na wajukuu wa kutosha
nikajiuliza babu alisahakufa, sasa watoto wake lukuki wanamfaa nini huko alipo
wenye uelewa watusaidie
ukisoma biblia utaona Mungu anamfariji Ibrahim ambaye alichelewa kuwa na mtoto, kwamba uzao wake utakuwa kama mchanga wa bahari, je hiyo kuwa wengi inamfaidia vipi mhusika
 
mkuu nadhani hujaelewa vizuri swali lake,, kapitie tena upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…