bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
ExactlyYes nakama hujafanikiwa wewe umelogwa huna nyota
MTAZAMO wenye uhalisiaIt is just an opinion not fact
Itakuwa hajawahi tembea kuziona fursa huko kwingineko.Njoo Kahama halafu urudi dsm ukawasimulie wenzio.
Naona masuala ya ridhiki mnayachukulia poa.Yes nakama hujafanikiwa wewe umelogwa huna nyota
Suala la ridhiki hajipangii mtu ila huwa tunabahatisha tu, tukiamini itakuwa hivyo.Sio kweli. Unamaanisha watu wa Dar wote ni matajiri, ama mimi sijaelewa!
Tunawaona vijana wa Dar vile walivyo, hiyo ndo dhana ya kufanikia kwao? Fursa ni popote mkuu, laa sivyo wote tungeishia huko.
Unaposema Mbagala ni kubwa sawa na Kilimanjaro unamaanisha nini mbona kama hujaelewekaKuzaliwa na kuishi dar Ni fursa,upo tofauti na wazaliwa wa mikoa mingine,usijichukulie poa
Mfano: Mbagala inafanana kiukubwa na mkoa wa KILIMANJARO,Manyara na Singida,pia imechangamka zaidi
Dar is everything ,ukishindwa kuwa tajiri, wewe ndio mwenye tatizo.
NB:NI MTAZAMO TU ,TUSIJENGE CHUKI
Utafutaji wa ridhiki siyo rahisi km unavyofikiria.MTAZAMO wenye uhalisia
Ni kweli kwa uyasemayo mkuu, sijajua mtoa mada alikuwa analenga nini.Suala la ridhiki hajipangii mtu ila huwa tunabahatisha tu, tukiamini itakuwa hivyo.
Fursa zipo popote ila siyo rahisi km tunavyofikiria
Umekaa hapo Mbagala na kulishwa ujinga wa kutosha wa kufikiri Dar ni kila kitu na Mbagala ni kubwa kuliko Kilimanjaro wakati mkoa wa Dar wote ni mdogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro. Tembea kuna mazuri mengi mikoani kuliko hapo Dar.Kuzaliwa na kuishi Dar ni fursa, upo tofauti na wazaliwa wa mikoa mingine, usijichukulie poa
Mfano: Mbagala inafanana kiukubwa na mkoa wa KILIMANJARO, Manyara na Singida, pia imechangamka zaidi
Dar is everything, ukishindwa kuwa tajiri, wewe ndio mwenye tatizo.
NB: NI MTAZAMO TU, TUSIJENGE CHUKI