Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuna mtu anaomba ushauri humuhumu kadeki kwa miezi sita ( I think continuously/ nonstop hahaa) ulimi kooni umechunika!? Anaogopa kueleza hospt...keep it up .....
Muipitie hiyo thread mtajifunza kitu kwani kuna acidity kidogo ndani ya V.G.N ......
 
Haina mdhara yeyote iliyothibitishwa kwa 100% kiafya isipokuwa kama mwanamke atakuwa na maambukizi ya maradhi yatokanayo na magonjwa ya zinaa azima akuambukize. Kuzama chumvini hata mimi napenda lakini ni kwa mpenzi wangu tu na si vinginevyo

Ni kweli madhara ni pale mpenz wako akiwa na maambukizi uko baharini kinyume na apo haina tatizo.
 
moja kati ya madhara ambayo unayapata kiurahisi ni kupoteza testa ya ladha mdomoni
 
Wakuu habarini za asubui, najua wengi wetu tupo kwenye ujenzi wa taifa mida hii. tuachane na ayo, wana MMU Kuna kitu kinanitatiza sana hivi kwa wale wanaopenda kunyonya K au chumvini ni kweli ina madhara kama wanavyosema watu mana Mimi ni mdau mmoja wapo napenda sana hii kitu sasa kwa mujibu wa maelezo ya madokta usema kwamba kansa ya koo uhenda ikawa inasababishwa na kuzama chumvini! embu tupeane kinaga ubaga kuhusu hii kitu.nawasilisha wakuu
 
Mkapime afya kinagaubaga kabla ya kufanya hivo vitu mnavyoiga. Kuna vimelea vya kawaida maeneo hayo lkn vikahamia sehemu nyingine husababisha ugonjwa mf. Fangas za kinywa, na iwapo mwanamke ana maambukizi ya HPV hii itakuwa sababu ya kansa ya koo lako na ukweli ni kwamba watu wengi wameambukizwa HPV lkn hawajui.
 
mada nyingine mie sitakagi hata kuzisikia!
 

Mkuu nmekuelewa, ila nikuulize kitu kama ukienda chumvini kwa mama watoto wako yaani mke wako wa ndoa inakuwaje au napo bado ni hatari!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…