Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

we unaramba kila mtu! jifunze pia kuandika vizuri kama una jambo unataka kuwashirikisha vijana wenzio.
 
Mmh. Inashangaza sana unapofanya kitu kwa moyo wako halafu mwisho wa siku unalalamika. Ndio umwambie yaliyokukuta ili akae akijua huwezi ukarudia tena.

Hivyo usimfiche
 
Pole, uvinza ndiko kulivyo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila kama kakuganda endelea kuzama tu uvinza lakini hakikisha kuwa kama ana fungus, anazitibu na kupona pamoja na kutumia disinfectact mbali mbali, au atawadhe kwa kutumia dettol kabla ya wewe kwenda kumzamia[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Daah pole aisee sie wenzio tunatangukiza mwakilishi kwanza kuona kama hali nzuri tena akiwa ameshaoga, kidole ndio kinahakiki [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Umeitambulisha HABATSODA!? ww uliigundua wapi!? Ama ndio biashara yako mpya!? Wazinzi bhana mara vumbi la kongo mara chumvi mara duh!? Hayo yote ya nini! Hujitoshelezi!?
 

uende hospitali, kuna virus inaitwa HPV inakuwa kwenye sehemu za siri za kike na kiume. haina madhara na mara nyingi huisha yenyewe ila inaweza pia kusababisha cancer. So nenda kachekiwe usifiche maradhi bro.
 
ww uliramba kifala mkuu,problem yako hujui style ya kuramba huko,siyo una ramba ka maembe ya Tanga,hebu rudi shule ujifunze style za kuramba chumvini pasipo kupata hayo madhara wala alambwaye asiboeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…