Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Hata chakula, ukila kisicho salama au kwenye mazingira hatarishi lazima udhurike. Maji pia japo ni uhai ila lazima yawe safi na salama, la sivyo ni msala.
 
Kuna wadau sijawaona kwenye huu uzi,sijui wamelala bado?.
Cc miss chaga,
 
Ungeenda na kupima ngoma kijana!!
 
Hongera mambo ya kuiga huko majuu bila kujua kwanini wanafanya hivyo endelea sasa kwa kuwa na dawa unajua utatibu tena
 
Zameni chumvini kwa wanawake wenu permanent acheni kutaka kuonekana mnajua mapenzi...
 
kule n ncha tuuu uncle...yaan ulimi na kisimi(crit..) sio mdomo wote kisha husimeze uwe na lesso yako mkononi
 
Mkuu you made my day nilikua nakunywa maji mpaka nimepaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…