Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Hata chakula, ukila kisicho salama au kwenye mazingira hatarishi lazima udhurike. Maji pia japo ni uhai ila lazima yawe safi na salama, la sivyo ni msala.
 
tapatalk_1505494281546.png
 
Za usiku wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuchi,yani yamenikuta makubwa nduguzanguni.

Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimaliza mzigo wa uraru lakini Siku chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni koo lilinikauka saaana Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohozi flani ila halitemeki.

Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana bahati nzuri nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously baada ya,mwezi nikapona lile tatizo
ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena.

Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila siyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani
Ungeenda na kupima ngoma kijana!!
 
Hongera mambo ya kuiga huko majuu bila kujua kwanini wanafanya hivyo endelea sasa kwa kuwa na dawa unajua utatibu tena
 
Zameni chumvini kwa wanawake wenu permanent acheni kutaka kuonekana mnajua mapenzi...
 
kule n ncha tuuu uncle...yaan ulimi na kisimi(crit..) sio mdomo wote kisha husimeze uwe na lesso yako mkononi
 
Za usiku wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuchi,yani yamenikuta makubwa nduguzanguni.

Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimaliza mzigo wa uraru lakini Siku chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni koo lilinikauka saaana Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohozi flani ila halitemeki.

Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana bahati nzuri nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously baada ya,mwezi nikapona lile tatizo
ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena.

Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila siyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani
Mkuu you made my day nilikua nakunywa maji mpaka nimepaliwa
 
Back
Top Bottom