Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

pole sana, asikuambie mtu, chumvini ni kuzuri sana ila ni kwa vile hujazoea mkubwa
teh teh teh uzuri wake ni nini? ukakasi? raha anapata mzamiaji au mzamiwaji?
 


huh! Kaaz kweli kweli!😕
 
Yaani hapo hakuna solution ndugu zangu ni kuacha tuuuuuuuuuuu kwani madhara ni mara 10 ya faida
 
Inaonekana hukujui Chumvini wewe!
 
huko down kuzuri weweeeeeeeeeeeeeee....
ndio maana mwl nyerere alisema mtu ukila nyama ya mtu mara moja basi hutoacha kamwe.....utakuwa unataka kuila kila siku....
 
Wakati mwingine huwa simlaumu sana teja wa unga. Ukizoea chumvini unakuwa teja ile mbaya. Siku hizi kuna hadi chumvi ya pwani. Hii usiipimie. So addictive
 
Ndiyo, watoto wa siku hizi wakisha balehe wanasumbua sana...inawezekana ameshaanza kuchungulia chupi huko basi anachefua na watu wengine! Anikome!
 
jamanui mjadala hauna maana, tupo tunaopenda tena wengi tu. cha muhimu weka hayo mafunzo, anayetaka ajifunze asiyetaka ajipotezee. nashauri mafunzo yawe kwa vitendo (movie) na sio maandishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…