Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?



aisee watu mko deep sana.. hii ya watu kunyonya hadi haja kubwa kuna mtu ana experience atumegee? sipati picha kabisa:fear:
 


Mmmmmmh!!! Mtanisamehe tu!!!
Hapa inabidi Mshipa wa Kinyaa uwe umekatika au?
Mmmmh!!!! Ni mimi tu lakini.
 
Mimi hilo la kulambwa koni silazimishi, anayefanya nitamshukuru kwani ninapenda sana, lakini huko unakokuita kuzama chumvini....oooooh! hiyo nitaomba, nitashawishi, ikibidi nitalia mpaka niruhusiwe. What a pleasure! Utamu wa ngoma ingia ucheze!

Umenichekesha!!!!!
Dah!!!
 

  1. It is a matter of choice. Ukiona kuzama ni sawa zama. Ukiona koni ni poa ilambe. Maisha yanabadirika kwa kasi sana na kimsingi hakuna tena maisha ya kiafrika kwa sasa. Maisha yote ni ya kizungu ndiyo maana tupo kwenye mtandao ambao ni wa KIDHUNGU!
 

Ni rimming (Yaani kwenye rim), wasije watu wakaenda kuomba rumming huko ikawa balaa :smash:
 
Nashukuru kwa waliochangia ujumbe ambao nimeondoka nao ni kulamba tuuuuuu sasa ngoja yeye mwenyewe atakoma!!!
 
Umeniudhi kwa unafiki wako, unajifanya hujui, mara tena hapo chini wewe mwenyewe unatoa mchanganuo, wewe endelea kuzama chumvini kama ulivyozoea usituzuge hapa, ila angalia yasikukute ya mwenzio aliyewashwa mdomo mwezi mzima!

Huyu anatuenjooooyyy vile tunahangaika wakati kila kitu anakijua watu wengine bana haya hongera sana
 
hakuna raha kama kulamba koni,wakimfungia bakhresa ntaandamana:lol:
 
Huyu anatuenjooooyyy vile tunahangaika wakati kila kitu anakijua watu wengine bana haya hongera sana

Dena Amsi nashukuru na ama kwa hakika nimekuwa nifuatilia majibu yako muda mrefu... kumbuka nimekuwa humu tangu 2009. Nimeshuudia wadau wakitoa majibu vizuri sana na ninapenda post zako sana sana. Lakini upande mwingine wa shilingi uaonekana kujibu oja bila kuwa makini na mara nyingi nakuona una rukia hoja kwa jaziba. Mandela alisema ni bora uwe na mtu mmoja anayekupinga kuliko kuwa na watu kumi wanakupongeza kumbe hakuna kitu. Ni mtazamo tu mie siwa enjoy am very serious sana sana na kumbuka situmii umeme na computure ya shirika. Gharama hizi ni personal badala ya kunywa bia natenga muda wangu kutembelea JF. Please changia kama una hoja kama huna waachie wenye hoja wajimwageeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…