samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,602
- 4,811
kulamba koni ni kumnyonya mwanamme korodani zake au gololi(kwa kilatini huitwa fellatio au minyet)na kwenda chumvini ni kumnyonya mwanamke uchi(kwa kilatini huitwa cunnilingus).Haya yote ni vionjo vya penzi ambavyo husaidia wote wawe tayari kwa penzi.Wenzetu wazungu(hata weusi wa nje)pia humnyonya mwanamke/mwanamme mpaka sehemu ya aja kubwa(hii huitwa rumming).Haya hayamhusu asiye na nguvu za kiume tu bali wote. Moja ya madhara ya haswa cunnilingus ni kuambukizana maradhi ya fangasi(utando mweupe mdomoni)kama mwanamke atakuwa si msafi,pia kwasababu ya ukaribu wa maumbile ya mwanamke,kuna hatari ya kula haja ya mwanamke jambo ambalo laweza kupelekea kupata maambukizi ya bacteria wa salmonella au E.coli ambao husababisha kuhara
aisee watu mko deep sana.. hii ya watu kunyonya hadi haja kubwa kuna mtu ana experience atumegee? sipati picha kabisa:fear: