Hii ni moja ya kitu ambayo sitakuja kukifanya asilani!.
itakuwa ni mafua ya ........!Habari zenu wapendwa.mwenzenu nlijiona ngangali kinoumer, nikajidai na mimi kuingia chumvini weee!!. Nimeambulia kupata mafua hata sijui ni mafua ya aina gani. Nilikua nasikia chumvini kuna mafua nabisha. Duh! ile kitu ni noumer coz usiku pua zinapumua kwa zamu, kama moja inapumua nyingine inaziba. nmekoma na sirudii tena.duh!!.Mia
Lahaula. Weye jamaa angu usiombe nkeo apite anga zangu. Atakukimbia
kama umemfanyia hivo mkeo kumridhisha basi niseme umempa roho ya umalaya... Ni sawa na kujaribu kufikiria namba kubwa kuliko zote na yeye awe anaongeza moja, siku ukishindwa kumhudumia atahangaika sana kutafta mwingine kama ww mpaka akamkose atakua amesha kuletea kisonono cha kinywa
Rudia kwanza kusoma badiko lako. Utaona ulichoandika hakistahili kuandikwa ,
So kwa nini nishindwe? Why? toa sababu zinazoweza kusababisha nishindwe.
BTW !! Hayo ya kuhusu mkeo sijui nini i was joking.. Sinaga time na wake za watu so relax
Hii ni moja ya kitu ambayo sitakuja kukifanya asilani!.
Waachie wenyewe wenye ulimi Mkali Kama kisu na mpendaje mume wangu
pole sana mkuu. Asubuhi ukiamka sikilizia lips zitavyoumukaa
Habari zenu wapendwa.mwenzenu nlijiona ngangali kinoumer, nikajidai na mimi kuingia chumvini weee!!. Nimeambulia kupata mafua hata sijui ni mafua ya aina gani. Nilikua nasikia chumvini kuna mafua nabisha. Duh! ile kitu ni noumer coz usiku pua zinapumua kwa zamu, kama moja inapumua nyingine inaziba. nmekoma na sirudii tena.duh!!.Mia
Du ...pole ingawa mimi ndo ushanikosa